< Mithali 7 >
1 Mwanangu, yatunze maneno yangu na ndani yako udhihifadhi amri zangu.
Mon fils, garde mes paroles et cache par-devers toi mes commandements.
2 Uzilinde amri zangu ili uishi na uyatunzetu mafundisho yangu kama mboni ya jicho.
Garde mes commandements, et tu vivras, – et mon enseignement, comme la prunelle de tes yeux.
3 Uyafunge katika vidole vyako; uyaandike katika kibao cha moyo wako.
Lie-les sur tes doigts, écris-les sur la tablette de ton cœur.
4 Mwambie hekima, “wewe ni dada yangu,” na ufahamu mwite jamaa yako,
Dis à la sagesse: Tu es ma sœur! et appelle l’intelligence ton amie;
5 ili ujitunze mwenyewe dhidi ya mwanake haramu, dhidi ya mwanamke mgeni mwenye maneno laini.
pour te garder de la femme étrangère, de la foraine qui use de paroles flatteuses.
6 Nilikuwa naangalia kwenye wavu wa dirisha la nyumba yangu.
Car, à la fenêtre de ma maison, je regardais à travers mon treillis,
7 Nikawatazama watu mwenye ukosefu wa uzoefu, na miongoni mwa watu vijana nikamwona kijana asiye na akili.
et je vis parmi les simples, j’aperçus parmi les jeunes gens, un jeune homme dépourvu de sens,
8 Kijana huyo alishuka mtaani kwenye kona karibu na yule mwanamke, akaenda kwenye nyumba yake.
qui passait dans la rue, près du coin où demeurait cette femme, et il prit le chemin de sa maison,
9 Ilikuwa katika utusiutusi wa siku muda wa jioni, wakati wa usiku na giza.
au crépuscule, au soir du jour, au sein de la nuit et de l’obscurité.
10 Akakutana na yule mwanake, amevaa kama kahaba, katika moyo wa udanyanyifu.
Et voici, une femme [vint] à sa rencontre, ayant la mise d’une prostituée et le cœur rusé.
11 Alikuwa na kelele na upotovu; miguu yake haikutulia kwenye masikani.
Elle était bruyante et sans frein; ses pieds ne demeuraient pas dans sa maison,
12 Alielekea mitaani, kisha sehemu ya sokoni, na katika kila upande alisubiri kwa kuviza.
elle était tantôt dehors, tantôt sur les places, et guettait à tous les coins.
13 Basi akamshika na kumbusu, kwa uso wa nguvu akamwambia,
Et elle le saisit, et l’embrassa, et d’un visage effronté lui dit:
14 leo nimetoa sadaka yangu ya amani, nimelipa nadhili yangu,
J’ai chez moi des sacrifices de prospérités, j’ai aujourd’hui payé mes vœux;
15 hivyo nilikuja kukutana nawe, kuutafuta uso wako kwa hamu, na sasa nimekupata.
c’est pourquoi je suis sortie à ta rencontre pour chercher ton visage, et je t’ai trouvé.
16 Nimeweka matandiko juu ya kitanda changu, kitani za rangi kutoka Misri.
J’ai étendu sur mon lit des tapis, des couvertures de fil d’Égypte de couleurs variées;
17 Kitanda changu nimenyunyizia manemane, udi na mdalasini.
j’ai parfumé ma couche de myrrhe, d’aloès, et de cinnamome.
18 Njoo, tunywe tujishibishe kwa upendo wetu hata asubuhi; tupate furaha kuu kwa matendo ya mahaba.
Viens, enivrons-nous d’amours jusqu’au matin, délectons-nous de volupté;
19 Maana mume wangu hayupo nyumbani kwake; amekwenda safari ya mbali.
car [mon] mari n’est pas à la maison, il s’en est allé loin en voyage;
20 Alichukua mkoba wa fedha; atarudi siku ya mwezi mpevu.
il a pris un sac d’argent en sa main, il viendra à sa maison au jour de la pleine lune.
21 katika maneno yake mengi akamshinda; na kwa midomo yake laini anampotosha.
Elle le détourna par beaucoup de douces paroles, elle l’entraîna par la flatterie de ses lèvres.
22 Ghafula alimfuata kama maksai anayekwenda kwa mchinjaji, kama ayala aliyekamatwa kwa nguvu,
Il est allé aussitôt après elle, comme le bœuf va à la boucherie, et comme les ceps [servent à] l’instruction du fou,
23 mpaka mshale upasue ini lake. Alikuwa kama ndege anayekimbili kwenye mtego. Hakujua kuwa itamgharimu maisha yake.
jusqu’à ce que la flèche lui transperce le foie; comme l’oiseau se hâte vers le piège et ne sait pas qu’il y va de sa vie.
24 Na sasa, wanangu, nisikilizeni; zingatieni maneno ya kinywa changu.
Maintenant donc, fils, écoutez-moi, et soyez attentifs aux paroles de ma bouche.
25 Moyo wako usiyageukie mapito yake; usipotoshwe katika mapito yake.
Que ton cœur ne se détourne pas vers ses voies, et ne t’égare pas dans ses sentiers;
26 Amesababisha watu wengi kuanguka kwa kuwajeruhi; ameua watu wengi.
car elle a fait tomber beaucoup de blessés, et ceux qu’elle a tués sont très nombreux.
27 Nyumba yake ipo juu ya barabara ya kwenda kuzimu; huelekea chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol )
Ce sont les voies du shéol que sa maison; elles descendent dans les chambres de la mort. (Sheol )