< Mithali 7 >
1 Mwanangu, yatunze maneno yangu na ndani yako udhihifadhi amri zangu.
son: child my to keep: guard word my and commandment my to treasure with you
2 Uzilinde amri zangu ili uishi na uyatunzetu mafundisho yangu kama mboni ya jicho.
to keep: guard commandment my and to live and instruction my like/as pupil eye your
3 Uyafunge katika vidole vyako; uyaandike katika kibao cha moyo wako.
to conspire them upon finger your to write them upon tablet heart your
4 Mwambie hekima, “wewe ni dada yangu,” na ufahamu mwite jamaa yako,
to say to/for wisdom sister my you(f. s.) and kinsman to/for understanding to call: call to
5 ili ujitunze mwenyewe dhidi ya mwanake haramu, dhidi ya mwanamke mgeni mwenye maneno laini.
to/for to keep: guard you from woman be a stranger from foreign word her to smooth
6 Nilikuwa naangalia kwenye wavu wa dirisha la nyumba yangu.
for in/on/with window house: home my about/through/for lattice my to look
7 Nikawatazama watu mwenye ukosefu wa uzoefu, na miongoni mwa watu vijana nikamwona kijana asiye na akili.
and to see: see in/on/with simple to understand in/on/with son: child youth lacking heart
8 Kijana huyo alishuka mtaani kwenye kona karibu na yule mwanamke, akaenda kwenye nyumba yake.
to pass in/on/with street beside corner her and way: road house: home her to march
9 Ilikuwa katika utusiutusi wa siku muda wa jioni, wakati wa usiku na giza.
in/on/with twilight in/on/with evening day in/on/with pupil night and darkness
10 Akakutana na yule mwanake, amevaa kama kahaba, katika moyo wa udanyanyifu.
and behold woman to/for to encounter: meet him garment to fornicate and to watch heart
11 Alikuwa na kelele na upotovu; miguu yake haikutulia kwenye masikani.
to roar he/she/it and to rebel in/on/with house: home her not to dwell foot her
12 Alielekea mitaani, kisha sehemu ya sokoni, na katika kila upande alisubiri kwa kuviza.
beat in/on/with outside beat in/on/with street/plaza and beside all corner to ambush
13 Basi akamshika na kumbusu, kwa uso wa nguvu akamwambia,
and to strengthen: hold in/on/with him and to kiss to/for him be strong face her and to say to/for him
14 leo nimetoa sadaka yangu ya amani, nimelipa nadhili yangu,
sacrifice peace offering upon me [the] day to complete vow my
15 hivyo nilikuja kukutana nawe, kuutafuta uso wako kwa hamu, na sasa nimekupata.
upon so to come out: come to/for to encounter: meet you to/for to seek face of your and to find you
16 Nimeweka matandiko juu ya kitanda changu, kitani za rangi kutoka Misri.
covering to spread bed my colored fine linen Egypt
17 Kitanda changu nimenyunyizia manemane, udi na mdalasini.
to sprinkle bed my myrrh aloe and cinnamon
18 Njoo, tunywe tujishibishe kwa upendo wetu hata asubuhi; tupate furaha kuu kwa matendo ya mahaba.
to go: come! [emph?] to quench beloved: love till [the] morning to rejoice in/on/with beloved
19 Maana mume wangu hayupo nyumbani kwake; amekwenda safari ya mbali.
for nothing [the] man: husband in/on/with house: home his to go: went in/on/with way: journey from distant
20 Alichukua mkoba wa fedha; atarudi siku ya mwezi mpevu.
bundle [the] silver: money to take: take in/on/with hand: to his to/for day [the] full moon to come (in): come house: home his
21 katika maneno yake mengi akamshinda; na kwa midomo yake laini anampotosha.
to stretch him in/on/with abundance teaching her in/on/with smoothness lip: words her to banish him
22 Ghafula alimfuata kama maksai anayekwenda kwa mchinjaji, kama ayala aliyekamatwa kwa nguvu,
to go: follow after her suddenly like/as cattle to(wards) slaughter to come (in): come and like/as anklet to(wards) discipline: bonds fool(ish)
23 mpaka mshale upasue ini lake. Alikuwa kama ndege anayekimbili kwenye mtego. Hakujua kuwa itamgharimu maisha yake.
till to cleave arrow liver his like/as to hasten bird to(wards) snare and not to know for in/on/with soul: life his he/she/it
24 Na sasa, wanangu, nisikilizeni; zingatieni maneno ya kinywa changu.
and now son: descendant/people to hear: hear to/for me and to listen to/for word lip my
25 Moyo wako usiyageukie mapito yake; usipotoshwe katika mapito yake.
not to turn aside to(wards) way: conduct her heart your not to go astray in/on/with path her
26 Amesababisha watu wengi kuanguka kwa kuwajeruhi; ameua watu wengi.
for many slain: wounded to fall: deserting and mighty all to kill her
27 Nyumba yake ipo juu ya barabara ya kwenda kuzimu; huelekea chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol )
way: journey hell: Sheol house: home her to go down to(wards) chamber death (Sheol )