< Mithali 7 >

1 Mwanangu, yatunze maneno yangu na ndani yako udhihifadhi amri zangu.
Mijn zoon, bewaar mijn redenen, en leg mijn geboden bij u weg.
2 Uzilinde amri zangu ili uishi na uyatunzetu mafundisho yangu kama mboni ya jicho.
Bewaar mijn geboden, en leef, en mijn wet als den appel uwer ogen.
3 Uyafunge katika vidole vyako; uyaandike katika kibao cha moyo wako.
Bind ze aan uw vingeren, schrijf ze op de tafels uws harten.
4 Mwambie hekima, “wewe ni dada yangu,” na ufahamu mwite jamaa yako,
Zeg tot de wijsheid: Gij zijt mijn zuster; en heet het verstand uw bloedvriend;
5 ili ujitunze mwenyewe dhidi ya mwanake haramu, dhidi ya mwanamke mgeni mwenye maneno laini.
Opdat zij u bewaren voor een vreemde vrouw, voor de onbekende, die met haar redenen vleit.
6 Nilikuwa naangalia kwenye wavu wa dirisha la nyumba yangu.
Want door het venster van mijn huis, door mijn tralie keek ik uit;
7 Nikawatazama watu mwenye ukosefu wa uzoefu, na miongoni mwa watu vijana nikamwona kijana asiye na akili.
En ik zag onder de slechten; ik merkte onder de jonge gezellen een verstandelozen jongeling;
8 Kijana huyo alishuka mtaani kwenye kona karibu na yule mwanamke, akaenda kwenye nyumba yake.
Voorbijgaande op de straat, nevens haar hoek, en hij trad op den weg van haar huis.
9 Ilikuwa katika utusiutusi wa siku muda wa jioni, wakati wa usiku na giza.
In de schemering, in den avond des daags, in den zwarten nacht en de donkerheid;
10 Akakutana na yule mwanake, amevaa kama kahaba, katika moyo wa udanyanyifu.
En ziet, een vrouw ontmoette hem in hoerenversiersel, en met het hart op haar hoede;
11 Alikuwa na kelele na upotovu; miguu yake haikutulia kwenye masikani.
Deze was woelachtig en wederstrevig, haar voeten bleven in haar huis niet;
12 Alielekea mitaani, kisha sehemu ya sokoni, na katika kila upande alisubiri kwa kuviza.
Nu buiten, dan op de straten zijnde, en bij alle hoeken loerende;
13 Basi akamshika na kumbusu, kwa uso wa nguvu akamwambia,
En zij greep hem aan, en kuste hem; zij sterkte haar aangezicht, en zeide tot hem:
14 leo nimetoa sadaka yangu ya amani, nimelipa nadhili yangu,
Dankoffers zijn bij mij, ik heb heden mijn geloften betaald;
15 hivyo nilikuja kukutana nawe, kuutafuta uso wako kwa hamu, na sasa nimekupata.
Daarom ben ik uitgegaan u tegemoet, om uw aangezicht naarstiglijk te zoeken, en ik heb u gevonden.
16 Nimeweka matandiko juu ya kitanda changu, kitani za rangi kutoka Misri.
Ik heb mijn bedstede met tapijtsieraad toegemaakt, met uitgehouwen werken, met fijn linnen van Egypte;
17 Kitanda changu nimenyunyizia manemane, udi na mdalasini.
Ik heb mijn leger met mirre, aloe en kaneel welriekende gemaakt;
18 Njoo, tunywe tujishibishe kwa upendo wetu hata asubuhi; tupate furaha kuu kwa matendo ya mahaba.
Kom, laat ons dronken worden van minnen tot den morgen toe; laat ons ons vrolijk maken in grote liefde.
19 Maana mume wangu hayupo nyumbani kwake; amekwenda safari ya mbali.
Want de man is niet in zijn huis, hij is een verren weg getogen;
20 Alichukua mkoba wa fedha; atarudi siku ya mwezi mpevu.
Hij heeft een bundel gelds in zijn hand genomen; ten bestemden dage zal hij naar zijn huis komen.
21 katika maneno yake mengi akamshinda; na kwa midomo yake laini anampotosha.
Zij bewoog hem door de veelheid van haar onderricht, zij dreef hem aan door het gevlei harer lippen.
22 Ghafula alimfuata kama maksai anayekwenda kwa mchinjaji, kama ayala aliyekamatwa kwa nguvu,
Hij ging haar straks achterna, gelijk een os ter slachting gaat, en gelijk een dwaas tot de tuchtiging der boeien.
23 mpaka mshale upasue ini lake. Alikuwa kama ndege anayekimbili kwenye mtego. Hakujua kuwa itamgharimu maisha yake.
Totdat hem de pijl zijn lever doorsneed; gelijk een vogel zich haast naar den strik, en niet weet, dat dezelve tegen zijn leven is.
24 Na sasa, wanangu, nisikilizeni; zingatieni maneno ya kinywa changu.
Nu dan, kinderen, hoort naar mij, en luistert naar de redenen mijns monds.
25 Moyo wako usiyageukie mapito yake; usipotoshwe katika mapito yake.
Laat uw hart tot haar wegen niet wijken, dwaalt niet op haar paden.
26 Amesababisha watu wengi kuanguka kwa kuwajeruhi; ameua watu wengi.
Want zij heeft veel gewonden nedergeveld, en al haar gedoden zijn machtig vele.
27 Nyumba yake ipo juu ya barabara ya kwenda kuzimu; huelekea chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol h7585)
Haar huis zijn wegen des grafs, dalende naar de binnenkameren des doods. (Sheol h7585)

< Mithali 7 >