< Mithali 6 >
1 Mwanangu, kama utaweka pesa zako kuwa dhamana kwa mkopo wa jirani yako; kama ukitoa ahadi yako katika mkopo wa mtu usiyemjua,
Mijn zoon! zo gij voor uw naaste borg geworden zijt, voor een vreemde uw hand toegeklapt hebt;
2 basi umejiwekea mtego mwenyewe na umenaswa kwa maneno ya kinywa chako.
Gij zijt verstrikt met de redenen uws monds; gij zijt gevangen met de redenen uws monds.
3 Mwanagu, ukinaswa kwa maneno yako mwenyewe, fanya haya ili kujiokoa, kwa kuwa umeangukia kwenye mikono ya jirani yako; nenda unyenyekee na ufanye shauri mbele ya jirani yako.
Doe nu dit, mijn zoon! en red u, dewijl gij in de hand uws naasten gekomen zijt; ga, onderwerp uzelven, en sterk uw naaste.
4 Usiruhusu usingizi katika macho yako wala kope za macho yako kusinzia.
Laat uw ogen geen slaap toe, noch uw oogleden sluimering.
5 Jiokoe mwenyewe kama swala kutoka katika mkono wa mwindaji, kama ndege kutoka katika mkono wa mwinda ndege.
Red u, als een ree uit de hand des jagers, en als een vogel uit de hand des vogelvangers.
6 Wewe mtu mvivu, mwangalie mchwa, zitafakari njia zake ili kupata busara.
Ga tot de mier, gij luiaard! zie haar wegen, en word wijs;
7 Hana akida, afisa au mtawala,
Dewelke, geen overste, ambtman noch heerser hebbende,
8 lakini huandaa chakula chake wakati wa joto na wakati wa mavuno huweka hazina ili kula baadaye.
Haar brood bereidt in den zomer, haar spijs vergadert in den oogst.
9 Ewe mtu mvivu, utalala hata lini? Wakati gani utainuka usingizini?”
Hoe lang zult gij, luiaard, nederliggen? Wanneer zult gij van uw slaap opstaan?
10 Lala kidogo, sizia kidogo, kunja mikono kupumzika kidogo” -
Een weinig slapens, een weinig sluimerens, een weinig handvouwens, al nederliggende;
11 ndipo umasikini wako utakapokujia kama mporaji na uhitaji wako kama askari wa vita.
Zo zal uw armoede u overkomen als een wandelaar, en uw gebrek als een gewapend man.
12 Mtu asiyefaa-mtu mwovu- huishi kwa kauli za udanganyifu wake,
Een Belialsmens, een ondeugdzaam man gaat met verkeerdheid des monds om;
13 akipepesa macho yake, akiashilia kwa miguu yake na kusonta kwa videle vyake.
Wenkt met zijn ogen, spreekt met zijn voeten, leert met zijn vingeren;
14 Hufanya njama za uovu kwa hila ya moyo wake; daima huchochea faraka.
In zijn hart zijn verkeerdheden, hij smeedt te aller tijd kwaad; hij werpt twisten in.
15 Kwa hiyo msiba wake utamkumba kwa ghafula, punde atavunjika vibaya wala hatapona.
Daarom zal zijn verderf haastelijk komen; hij zal schielijk verbroken worden, dat er geen genezen aan zij.
16 Kuna vitu sita ambavyo Yehova huvichukia, saba ambavyo ni chukizo kwake.
Deze zes haat de HEERE; ja, zeven zijn Zijn ziel een gruwel:
17 Macho ya mtu mwenye kiburi, ulimi wa uongo, mikono inayomwaga damu ya watu maasumu,
Hoge ogen, een valse tong, en handen, die onschuldig bloed vergieten;
18 moyo unaobuni njama mbaya, miguu inayokimbilia maovu upesi,
Een hart, dat ondeugdzame gedachten smeedt; voeten, die zich haasten, om tot kwaad te lopen;
19 shahidi asemaye uongo na apandaye faraka kati ya ndugu.
Een vals getuige, die leugenen blaast; en die tussen broederen krakelen inwerpt.
20 Mwanangu, itii amri ya baba yako na wala usiyaache mafundisho ya mama yako.
Mijn zoon, bewaar het gebod uws vaders, en verlaat de wet uwer moeder niet.
21 Uyafunge katika moyo wako siku zote; yafunge kwenye shingo yako.
Bind ze steeds aan uw hart, hecht ze aan uw hals.
22 utembeapo, yatakuongoza; ulalapo yatakulinda, na uamkapo yatakufundisha.
Als gij wandelt, zal dat u geleiden; als gij nederligt, zal het over u de wacht houden; als gij wakker wordt, zal hetzelve met u spreken.
23 Maana amri ni taa, na mafundisho ni nuru; kinga za kuadilisha za njia ya uzima.
Want het gebod is een lamp, en de wet is een licht, en de bestraffingen der tucht zijn de weg des levens;
24 Yanakulinda dhidi ya mwanamke malaya, dhidi ya maneno laini ya uzinzi.
Om u te bewaren voor de kwade vrouw, voor het gevlei der vreemde tong.
25 Moyoni mwako usiutamani uzuri wake wala usitekwe katika kope zake.
Begeer haar schoonheid niet in uw hart, en laat ze u niet vangen met haar oogleden.
26 Kulala na malaya inaweza kugharimu bei ya kipande cha mkate, lakini mke wa mtu mwingine inagharimu uzima wako wote.
Want door een vrouw, die een hoer is, komt men tot een stuk broods; en eens mans huisvrouw jaagt de kostelijke ziel.
27 Je mtu anaweza kubeba moto katika kifua chake bila kuuguza mavazi yake?
Zal iemand vuur in zijn boezem nemen, dat zijn klederen niet verbrand worden?
28 Je mtu anaweza kutembea juu ya makaa bila kuchomwa miguu yake?
Zal iemand op kolen gaan, dat zijn voeten niet branden?
29 Ndivyo alivyo mtu alalaye na mke wa jirani yake; yule alalaye na huyo mke hatakosa adhabu.
Alzo die tot zijns naasten huisvrouw ingaat; al wie haar aanroert, zal niet onschuldig gehouden worden.
30 Watu hawawezi kumdharau mwizi kama anaiba ili kukidhi hitaji lake la njaa.
Men doet een dief geen verachting aan, als hij steelt om zijn ziel te vullen, dewijl hij honger heeft;
31 Walakini akimatwa, atalipa mara saba ya kile alichoiba; lazima atoe kila kitu cha thamani katika nyumba yake.
En gevonden zijnde, vergeldt hij het zevenvoudig; hij geeft al het goed van zijn huis.
32 Mtu anayefanya uzinzi hana akili; hufanya hiyo kwa uharibifu wake mwenyewe.
Maar die met een vrouw overspel doet, is verstandeloos; hij verderft zijn ziel, die dat doet;
33 Anasitahili aibu na majeraha na fedheha yake haiwezi kuondolewa.
Plage en schande zal hij vinden, en zijn smaad zal niet uitgewist worden.
34 Maana vivu humghadhibisha mtu; hatakuwa na huruma wakati wa kulipa kisasi chake.
Want jaloersheid is een grimmigheid des mans; en in den dag der wraak zal hij niet verschonen.
35 Ujapompa zawadi nyingi, hatakubali mbadala wa kusuruhishwa wala kulipwa.
Hij zal geen verzoening aannemen; en hij zal niet bewilligen, ofschoon gij het geschenk vergroot.