< Mithali 5 >

1 Mwanangu, zingatia hekima yangu; sikiliza kwa makini ufahamu wangu,
בני לחכמתי הקשיבה לתבונתי הט-אזנך
2 ili ujifunze busara na midomo yako iweze kuhifadhi maarifa.
לשמר מזמות ודעת שפתיך ינצרו
3 Maana midomo ya malaya hutiririsha asali na kinywa chake ni laini kuliko mafuta,
כי נפת תטפנה שפתי זרה וחלק משמן חכה
4 lakini mwishoni anakuwa mchungu kama mnyoo, hukata kama upunga mkali.
ואחריתה מרה כלענה חדה כחרב פיות
5 Miguu yake huelekea mauti; hatua zake huelekea njia yote ya kuzimu. (Sheol h7585)
רגליה ירדות מות שאול צעדיה יתמכו (Sheol h7585)
6 Hafikirii njia ya uzima. Hatua za miguu yake hupotea, maana hajui anakwenda wapi.
ארח חיים פן-תפלס נעו מעגלתיה לא תדע
7 Sasa, wanangu, nisikilizeni; wala msiache kusikiliza maneno ya kinywa changu.
ועתה בנים שמעו-לי ואל-תסורו מאמרי-פי
8 Lindeni njia yenu mbali naye wala msiende karibu na mlango wa nyumba yake.
הרחק מעליה דרכך ואל-תקרב אל-פתח ביתה
9 Kwa njia hiyo hamtawapa wengine heshima yenu au miaka ya uzima wenu kwa mtu mkatiri;
פן-תתן לאחרים הודך ושנתיך לאכזרי
10 wageni usije kufanya karamu kwa utajiri wenu; kazi mliyoifanya haitaenda katika nyumba ya wageni.
פן-ישבעו זרים כחך ועצביך בבית נכרי
11 Mwishoni mwa maisha yenu mtajuta ambapo nyama na mwili wenu vitaangamia.
ונהמת באחריתך בכלות בשרך ושארך
12 Nanyi mtasema, “Namna gani nilichukia fundisho na moyo wangu ulidharau sahihisho!
ואמרת--איך שנאתי מוסר ותוכחת נאץ לבי
13 Sikuweza kuwatii walimu wangu au kuwasikiliza walionielekeza.
ולא-שמעתי בקול מורי ולמלמדי לא-הטיתי אזני
14 Nilikuwa nimeharibika kabisa katikati ya kusanyiko, miongoni mwa makutano ya watu.”
כמעט הייתי בכל-רע-- בתוך קהל ועדה
15 Munywe maji kutoka kwenye birika lenu mwenyewe na munywe maji yanatiririka kutoka kwenye kisima chenu.
שתה-מים מבורך ונזלים מתוך בארך
16 Je inapaswa chemichemi yenu ifurike popote na mifereji yenu ya maji itiririke katika njia kuu?
יפוצו מעינתיך חוצה ברחבות פלגי-מים
17 Yawe yenu wenyewe peke yenu wala si kwa wageni.
יהיו-לך לבדך ואין לזרים אתך
18 Chemichemi yako ibarikiwe na umfurahie mke wa ujana wako.
יהי-מקורך ברוך ושמח מאשת נעורך
19 Maana ni ayala apendezaye na kulungu mwenye uzuri. Matiti yake na yakujaze furaha muda wote; daima na utekwe na upendo wake.
אילת אהבים ויעלת-חן דדיה ירוך בכל-עת באהבתה תשגה תמיד
20 Mwanangu, kwa nini uwe mateka wa malaya, kwa nini uyakumbatie matiti ya mwanamke mgeni?
ולמה תשגה בני בזרה ותחבק חק נכריה
21 Yehova huona kila kitu afanyacho mtu na huangalia mapito yake yote.
כי נכח עיני יהוה--דרכי-איש וכל-מעגלתיו מפלס
22 Mtu mwovu atatekwa na makosa yake mwenyewe; kamba za dhambi yake zitamnasa kwa nguvu.
עוונתיו--ילכדנו את-הרשע ובחבלי חטאתו יתמך
23 Atakufa kwa kukosa maonyo; atapotelea mbali kwa upumbavu wake wingi.
הוא--ימות באין מוסר וברב אולתו ישגה

< Mithali 5 >