< Mithali 31 >
1 Maneno ya mfalme Lemueli - mausia aliyofundishwa na mama yake.
Riječ Lemuela, kralja Mase, kojima ga je učila majka njegova.
2 Mwanangu nini? Na ni nini mwana wa tumbo langu? Na ni nini mwana wa nadhiri zangu?
Ne, sine moj! Ne, sine srca mog! Ne, sine zavjeta mojih!
3 Nguvu zako usiwape wanawake; au wenye kuharibu wafalme njia zako.
Ne daj snage svoje ženama ni putova svojih zatiračima kraljeva.
4 Lemueli, kunywa divai, siyo kwa ajili ya wafalme, wala kwa watawala kuuliza, “kileo kikali kiko wapi?”
Nije za kraljeve, Lemuele, ne pristaje kraljevima vino piti, ni glavarima piće opojno,
5 Kwa sababu kama watakunywa, watasahau sheria ni nini, na kupotosha haki za wote walioonewa.
da u piću ne zaborave zakona i prevrnu pravo nevoljnicima.
6 Wape kileo kikali watu wanaopotea na mvinyo kwa wale wenye kutaabika kwa uchungu.
Dajte žestoko piće onomu koji će propasti i vino čovjeku komu je gorčina u duši:
7 Atakunywa na kusahau umasikini wake na hataikumbuka taabu yake.
on će piti i zaboraviti svoju bijedu i neće se više sjećati svoje nevolje.
8 Ongea kwa ajili yao wasioweza kuongea, kwa madai ya wote wanaopotea.
Otvaraj usta svoja za nijemoga i za pravo sviju nesretnika što propadaju.
9 Ongea na uhukumu kwa vipimo vya haki na utetee dai la masikini na watu wahitaji.
Otvaraj usta svoja, sudi pravedno i pribavi pravo siromahu i nevoljniku.
10 Mke hodari ni nani anaweza kumpata? Thamani yake ni zaidi kuliko vito.
Tko će naći ženu vrsnu? Više vrijedi ona nego biserje.
11 Moyo wa mume wake humwamini, na hatakuwa masikini.
Muževljevo se srce uzda u nju i blagom neće oskudijevati.
12 Humtendea mambo mema na wala si mabaya siku zote za maisha yake.
Ona mu čini dobro, a ne zlo, u sve dane vijeka svojeg.
13 Huchagua sufu na kitani, na hufanya kazi yake ya mikono kwa furaha.
Pribavlja vunu i lan i vješto radi rukama marnim.
14 Yupo kama meli za wafanyabiashara; huleta chakula chake kutoka mbali.
Ona je kao lađa trgovačka: izdaleka donosi kruh svoj.
15 Huamka wakati wa usiku na kuwapa chakula watu wa kaya yake, na kugawa kazi kwa watumishi wake wa kike.
Još za noći ona ustaje, hrani svoje ukućane i određuje posao sluškinjama svojim.
16 Hulifikiria shamba na kulinunua, kwa tunda la mikono yake hupanda shamba la mizabibu.
Opazi li polje, kupi ga; plodom svojih ruku sadi vinograd.
17 Yeye mwenyewe hujivika nguvu na kuimarisha mikono yake.
Opasuje snagom bedra svoja i živo miče rukama.
18 Huangalia ni kipi kitaleta faida nzuri kwake; usiku wote taa yake haizimishwi.
Vidi kako joj posao napreduje: noću joj se ne gasi svjetiljka.
19 Mikono yake huiweka kwenye mpini wa kisokotea nyuzi na hushikilia kisokotea nyuzi.
Rukama se maša preslice i prstima drži vreteno.
20 Mkono wake huwafikia watu masikini; mikono yake huwafikia watu wahitaji.
Siromahu dlan svoj otvara, ruke pruža nevoljnicima.
21 Haogopi theluji kwa ajili ya kaya yake, kwa maana nyumba yake yote imevika kwa nguo nyekundu.
Ne boji se snijega za svoje ukućane, jer sva čeljad ima po dvoje haljine.
22 Hutengeneza matandiko ya kitanda chake, na huvaa nguo za kitani ya dhambarau safi.
Sama sebi šije pokrivače, odijeva se lanom i purpurom.
23 Mume wake anajulikana malangoni, anapoketi na wazee wa nchi.
Muž joj je slavan na Vratima, gdje sjedi sa starješinama zemaljskim.
24 Hutengeneza mavazi ya kitani na kuyauza, na naleta mishipi kwa wafanyabiashara.
Platno tka i prodaje ga i pojase daje trgovcu.
25 Amevaa nguvu na heshima, na wakati ujao huucheka.
Odjevena je snagom i dostojanstvom, pa se smije danu budućem.
26 Anafumbua kinywa chake kwa hekima na sheria ya ukarimu ipo kwenye ulimi wake.
Svoja usta mudro otvara i pobožan joj je nauk na jeziku.
27 Huangalia njia za nyumba yake na hawezi kula mkate wa uvivu.
Na vladanje pazi ukućana i ne jede kruha besposlice.
28 Watoto wake huinuka na kumwita heri na mume wake humsifia, akisema,
Sinovi njezini podižu se i sretnom je nazivaju, i muž njezin hvali je:
29 “Wanawake wengi wamefanya vizuri, lakini wewe umewapita wote.”
“Mnoge su žene bile vrsne, ali ti ih sve nadmašuješ.”
30 Madaha ni udanganyifu, uzuri ni ubatili; bali mwanamke amchaye Yehova, atasifiwa.
Lažna je ljupkost, tašta je ljepota: žena sa strahom Gospodnjim zaslužuje hvalu.
31 Mpeni tunda la mikono yake na kazi zake zimsifu katika malango.
Plod joj dajte ruku njezinih i neka je na Vratima hvale djela njezina!