< Mithali 31 >

1 Maneno ya mfalme Lemueli - mausia aliyofundishwa na mama yake.
Goe da gogolosu sia: amo hina bagade Lemiuele ea: me da ema sia: i,
2 Mwanangu nini? Na ni nini mwana wa tumbo langu? Na ni nini mwana wa nadhiri zangu?
“Di da na dogolegei manodafa. Na da Godema sia: ne gadoiba: le, E da di nama i. Na da dima adi adoma: bela: ?
3 Nguvu zako usiwape wanawake; au wenye kuharibu wafalme njia zako.
Dia gasa huluane dagosa: besa: le, wadela: i uda adole lasu hou maedafa hamoma. Dia muni amoga mae galagama, wadela: i uda adole lasu amoga. Amo wadela: i uda da hina bagade dunu wadela: lesimusa: dawa:
4 Lemueli, kunywa divai, siyo kwa ajili ya wafalme, wala kwa watawala kuuliza, “kileo kikali kiko wapi?”
Lemiuele! Nabima! Hina bagade dunu da waini (adini) hame manu da defea. Amola ilia waini hame hanamu da defea.
5 Kwa sababu kama watakunywa, watasahau sheria ni nini, na kupotosha haki za wote walioonewa.
Be ilia da adini nasea ilia da sema gogolesa amola ilia da hame gagui dunu ilia moloiwane fofada: su hame dawa: sa.
6 Wape kileo kikali watu wanaopotea na mvinyo kwa wale wenye kutaabika kwa uchungu.
Adini da amo dunu bogolalebe ilia liligi, amola nowa dunu da da: i dioi bagade galea amo ilia liligi.
7 Atakunywa na kusahau umasikini wake na hataikumbuka taabu yake.
Amaiba: le, ilia nawene, hame gagui hou amola da: i dioi hou gogolema: ne manu da defea.
8 Ongea kwa ajili yao wasioweza kuongea, kwa madai ya wote wanaopotea.
Nowa dunu da ha: gi sia: mu gogolei galea, amo fidima: ne ha: gi sia: ma. Gasa hame dunu fidima: ne ouligima!
9 Ongea na uhukumu kwa vipimo vya haki na utetee dai la masikini na watu wahitaji.
Ili fidili, molole sia: ne fofada: ma. Moloiwane hame gagui amo gaga: ma amola fidima: ne fofada: ma!”
10 Mke hodari ni nani anaweza kumpata? Thamani yake ni zaidi kuliko vito.
Moloidafa uda lamu da hogoi helele gasa bagade ba: sa. Moloidafa uda ea lasu da igi noga: i muni bagadega lasu amo bagadewane baligisa.
11 Moyo wa mume wake humwamini, na hatakuwa masikini.
Amo uda ea egoa da idua ea hou da moloidafa dafawaneyale dawa: sa. Amola egoa da eso huluane liligi defele gagui dialumu.
12 Humtendea mambo mema na wala si mabaya siku zote za maisha yake.
Amaiwane uda esalea, egoa noga: le fidisa amola egoama da: i diosu hame iaha.
13 Huchagua sufu na kitani, na hufanya kazi yake ya mikono kwa furaha.
E da eso huluane hawa: hamosa esala. E da wulo gobea ha: sa amola abula amuna esala.
14 Yupo kama meli za wafanyabiashara; huleta chakula chake kutoka mbali.
E da dusagai bagade defele, ha: i manu amo soge sedadega gaguli maha.
15 Huamka wakati wa usiku na kuwapa chakula watu wa kaya yake, na kugawa kazi kwa watumishi wake wa kike.
Agoaiwane uda e da hame hadigia, wa: legadole, ea sosogo fi amogili ha: i manu gobesa, amola ea fidisu a: fini ilima hawa: hamosu hamoma: ne olelesa.
16 Hulifikiria shamba na kulinunua, kwa tunda la mikono yake hupanda shamba la mizabibu.
Amaiwane uda e da soge ba: lalu bu amo soge bidilasa. Amola muni ea lai amoga e da amo soge ganodini waini hawa: bugisa.
17 Yeye mwenyewe hujivika nguvu na kuimarisha mikono yake.
Agoaiwane uda e da gasa bagade gala. Amola e da hawa: obenane gasa bagade hamosa.
18 Huangalia ni kipi kitaleta faida nzuri kwake; usiku wote taa yake haizimishwi.
E da ea hamobe huluane ea lamu defei amo dawa: Amola e da gasibi galu mae helefili, hawa: hamonana.
19 Mikono yake huiweka kwenye mpini wa kisokotea nyuzi na hushikilia kisokotea nyuzi.
Amaiwane uda da hifawane gobea ha: le, amola ea abula hi fawane amuna.
20 Mkono wake huwafikia watu masikini; mikono yake huwafikia watu wahitaji.
E da hame gagui dunu ilima asigiba: le, liligi iaha.
21 Haogopi theluji kwa ajili ya kaya yake, kwa maana nyumba yake yote imevika kwa nguo nyekundu.
Anegagi eso doaga: sea e da hame da: i diosa. Bai e da ea sosogo fi ilia anegagi abula hahamoi dagoiba: le.
22 Hutengeneza matandiko ya kitanda chake, na huvaa nguo za kitani ya dhambarau safi.
E da ea sosogo fi ilia golamusa: fafai amo da: iya abula ida: iwane fa: sisa. Amola e da oga: yei abula amo sala.
23 Mume wake anajulikana malangoni, anapoketi na wazee wa nchi.
Egoa da dunu huluane ilia e dawa: Amola e da ea fi ganodini bisilua esala.
24 Hutengeneza mavazi ya kitani na kuyauza, na naleta mishipi kwa wafanyabiashara.
Amaiwane uda da abula amola idinigisu bulu hahamosa. Amalalu, e da bidi lasu dunu ilima amo liligi bidi lasa.
25 Amevaa nguvu na heshima, na wakati ujao huucheka.
Amola amo uda e da gasa bagade amola eno dunu da ema nodosa. Amola e da fa: no misunu hou amoga hame beda: sa.
26 Anafumbua kinywa chake kwa hekima na sheria ya ukarimu ipo kwenye ulimi wake.
Amola e da asabole, dawa: le sia: sa.
27 Huangalia njia za nyumba yake na hawezi kula mkate wa uvivu.
Amola amo uda da mae hihini amola hame helefisa. E da ea sosogo fi ilia hanai liligi huluane defele hamosa.
28 Watoto wake huinuka na kumwita heri na mume wake humsifia, akisema,
Ea mano amola egoa da ema hahawane nodosa.
29 “Wanawake wengi wamefanya vizuri, lakini wewe umewapita wote.”
Egoa da ema amane sia: sa, “Uda oda da noga: i, be dia hou da uda huluane ilia hou baligidafa.”
30 Madaha ni udanganyifu, uzuri ni ubatili; bali mwanamke amchaye Yehova, atasifiwa.
Uda mogili da ogogole obebenale hamosa. Amola noga: iwane ba: su hou da fisi dagoi ba: mu. Be nowa uda da Hina Gode Ea hou ida: iwane dafawaneyale dawa: sea, amo udama nodomu da defea.
31 Mpeni tunda la mikono yake na kazi zake zimsifu katika malango.
Amaiwane uda da noga: le hamoiba: le, e da dabe ea hamoi defele lamu da defea. Amola dunu huluane ema nodomu da defea. Sia: Ama Dagoi

< Mithali 31 >