< Mithali 3 >

1 Mwanangu, usizisahau amri zangu na uyatunze mafundisho yangu katika moyo wako,
我兒,不要忘了我的法律,該誠心恪守我的誡命,
2 maana ziatakuongezea siku zako na miaka ya maisha yako na amani.
因為這樣能使你延年益壽,也能增加你的康寧。
3 Usiache utiifu wa agano na uaminifu viondoke kwako, vifunge katika shingo yako, viandike katika vibao vya moyo wako.
不要讓慈祥和忠實離棄你,要將她們繫在你的頸上,刻在你的心版上;
4 Ndipo utapata kibali na heshima mbele Mungu na wanadamu.
這樣,你在天主和世人面前,必獲得寵幸和恩愛。
5 Mtegemee Yehova kwa moyo wako wote na wala usitegemee ufahamu wako mwenyewe,
你應全心信賴上主,總不要依賴自己的聰明;
6 katika njia zako zote mkiri Yeye na yeye atayanyosha mapito yako.
應步步體會上主,他必修平你的行徑。
7 Usiwe mwenye busara machoni pako mwenyewe; mche Yehova na jiepushe na uovu.
不要自作聰明,應敬畏上主,遠避邪惡;
8 Itakuponya mwili wako na kukuburudisha mwili wako.
如此,你的身體必會康健,你的骨骼也會舒適。
9 Mheshimu Yehova kwa utajiri wako na kwa malimbuko ya mazao kwa kila unachozalisha,
應以你的財物和一切初熟之物,去尊崇上主;
10 na ndipo ghala zako zitajaa na mapipa makubwa yatafurika kwa divai mpya.
這樣,你的倉廩必充滿糧食,你的榨酒池必盈溢新酒。
11 Mwanangu, usidharau kuadibishwa na Yohova na wala usichukie karipio lake,
我兒,不要輕視上主的懲戒,也不要厭惡他的譴責,
12 maana Yehova huwaadibisha wale wapendao, kama baba anavyoshughulika kwa mtoto wake ampendezaye.
因為上主譴責他所愛的,有如父親譴責他的愛子。
13 Yeye apataye hekima anafuraha, naye hupata ufahamu.
尋得智慧和獲取睿智的人是有福的,
14 Kwani katika hekima unapata manufaa kuliko ukibadilisha kwa fedha na faida yake inafaa zaidi kuliko dhahabu.
因為賺得智慧勝於賺得銀錢;智慧的果實勝於純金。
15 Hekima inathamani zaidi kuliko kito, na hakuna unachokitamani kinaweza kulinganishwa na hekima.
智慧比珍珠還要寶貴;凡你所貪求的,都不足以與她倫比。
16 Yeye anasiku nyingi katika mkono wake wa kuume; na mkono wake wa kushoto ni utajiri na heshima.
在她右邊是延年益壽,在她左邊是富貴榮華。
17 Njia zake ni njia za ukarimu na mapito yake ni amani.
她的道路是康樂之道,她的行徑是一片安寧。
18 Yeye ni mti wa uzima kwa wale wanaomshikilia, wale wanaomshikilia wanafuraha.
她為掌握她的人,是一株生命樹;凡堅持她的,必將納福。
19 Kwa hekima Yehova aliweka msingi wa dunia, kwa ufahamu aliziimarisha mbingu.
上主以智慧奠定了大地,以睿智堅定了高天;
20 Kwa maarifa yake vina vilipasuka na mawingu kudondosha umande wake.
賴他的智識,深淵纔裂口噴水,雲彩纔降下甘露。
21 Mwanangu, zingatia hukumu ya kweli na ufahamu, na wala usiache kuvitazama.
我兒,你應保持明智和慎重,不要讓她們離開你的視線:
22 Vitakuwa uzima wa nafsi yako na urembo wa hisani wa kuvaa shingoni mwako.
二者應是你心靈的生命,是你頸項的華飾;
23 Ndipo utatembea katika njia yako kwa usalama na mguu wako hautajikwaa;
這樣,你走路必感安全,你的腳不致絆倒。
24 ulalapo hutaogopa; utakapolala, usingizi wako utakuwa mtamu.
你若坐下,必無所恐懼;你若躺下,必睡得甘甜。
25 Usitishwe na hofu ya ghafula au uharibifu uliosababishwa na waovu unapotokea,
你決不怕驟然而來的恐怖,也不怕惡人突然而至的摧殘,
26 kwa maana Yehova utakuwa upande wako na ataulinda mguu wako usinaswe kwenye mtego.
因為上主將要護佑你,使你的腳遠離陷阱。
27 Usizuie mema kwa wale wanaoyastahili, wakati utendaji upo ndani ya mamlaka yako.
你若有能力作到,不要拒絕向有求於你的人行善;
28 Jirani yako usimwambie, “Nenda, na uje tena, na kesho nitakupa,” wakati pesa unazo.
如果你能即刻作到,不要對你的近人說:「去! 明天再來,我纔給你。」
29 Usiweke mpango wa kumdhuru jirani yako- anayeishi jirani nawe na yeye anakuamini.
幾時你的近人安心與你居住,你不應暗算他。
30 Usishindane na mtu pasipo sababu, ikiwa hajafanya chochote kukudhuru.
若他人沒有加害你,你不應與他無端爭辯。
31 Usimhusudu mtu jeuri au kuchagua njia zake zozote.
不要羨慕強暴的人,更不要選擇他的任何行徑,
32 Maana mtu mjanja ni chukizo kwa Yehova, bali humleta mtu mwaminifu kwenye tumaini lake.
因為上主厭惡乖戾的人,摯愛正直的人。
33 Laana ya Yehova ipo katika nyumba ya watu waovu, bali huibariki maskani ya watu wenye haki.
上主詛咒惡人的住宅,祝福義人的寓所。
34 Yeye huwadhihaki wenye dhihaka, bali huwapa hisani watu wanyenyekevu.
上主嘲弄好愚弄的人,卻寵愛謙卑的人。
35 Watu wenye busara huirithi heshima, bali wapumbavu huinuliwa kwa fedheha yao wenyewe.
智慧的人必承受尊榮,愚昧的人必蒙受羞辱。

< Mithali 3 >