< Mithali 29 >

1 Mtu aliyepokea makaripio mengi lakini anashupaza shingo yake atavunjika ndani ya muda mfupi na hata pona.
Defalarca azarlandığı halde dikbaşlılık eden, Ansızın yıkıma uğrayacak, çare yok.
2 Watenda mema wanapoongezeka, watu wanafurahi, bali wakati mtu mwovu anapotawala, watu huugua.
Doğru kişiler çoğalınca halk sevinir, Kötü kişi hükümdar olunca halk inler.
3 Mwenye kupenda hekima baba yake anafurahi, bali anayeshikamana na makahaba huuharibu utajiri wake.
Bilgeliği seven babasını sevindirir, Fahişelerle dostluk eden malını yitirir.
4 Mfalme huimarisha nchi kwa haki, bali mwenye kudai rushwa huirarua.
Adaletle yöneten kral ülkesini ayakta tutar, Rüşvet alansa çökertir.
5 Mtu anayejipendekeza kwa jirani yake anatandaza wavu kwenye miguu yake.
Başkasını pohpohlayan kişi, Ona tuzak olur.
6 Mtu mbaya hunaswa kwenye mtego wa dhambi yake mwenyewe, bali yeye atendaye haki huimba na kufurahi.
Kötünün başkaldırısı kendine tuzak olur, Doğru kişiyse ezgi söyler ve sevinir.
7 Atendaye haki hutetea madai ya masikini; mtu mwovu hafahamu maarifa kama hayo.
Doğru kişi yoksulların hakkını verir, Kötü kişi hak hukuk nedir bilmez.
8 Mwenye dhihaka huutia moto mji, bali wale wenye busara huigeuza ghadhabu.
Alaycı kişiler kentleri bile karıştırır, Bilgelerse öfkeyi yatıştırır.
9 Mtu mwenye busara anapojadiliana na mpumbavu, hughadhabika na kucheka, hakutakuwa na utulivu.
Bilge kişiyle davası olan ahmak Kızar, alay eder ve rahat vermez.
10 Mkatili humchukia mwenye ukamilifu na hutafuta maisha ya mwenye haki.
Kana susamışlar dürüst kişiden nefret eder, Doğrularsa onun canını korur.
11 Mpumabavu huonyesha hasira yake, bali mtu mwenye busara huishikilia na kujituliza mwenyewe.
Akılsız hep patlamaya hazırdır, Bilgeyse öfkesini dizginler.
12 Kama matawala atazinagatia uongo, maafisa wake wote watakuwa waovu.
Hükümdar yalana kulak verirse, Bütün görevlileri de kötü olur.
13 Mtu masikini na mkandamizaji wanafanana, maana Yehova huyapa nuru macho yao wote.
Zorbayla yoksulun ortak bir noktası var: İkisinin de gözünü açan RAB'dir.
14 Kama mfalme atamhukumu masikini kwa uaminifu, kiti chake cha enzi kitaimarishwa milele.
Yoksulları adaletle yöneten kralın Tahtı hep güvenlikte olur.
15 Fimbo na maonyo huleta hekima, bali mtoto huru mbali na makaripio humwaibisha mama yake.
Değnekle terbiye bilgelik kazandırır, Kendi haline bırakılan çocuksa annesini utandırır.
16 Watu waovu wanapotawala, uovu huongezeka, bali wenye kutenda haki wataona anguko la watu waovu.
Kötüler çoğalınca başkaldırı da çoğalır, Ama doğrular onların düşüşünü görecektir.
17 Mwadibishe mwanao naye atakupa pumziko; ataleta furaha katika maisha yako.
Oğlunu terbiye et, o da sana huzur verecek Ve gönlünü hoşnut edecektir.
18 Pasipo na maono ya kinabii watu huenda bila utaratibu, bali mwenye kuitunza sheria amebarikiwa.
Tanrısal esinden yoksun olan halk Sınır tanımaz olur. Ne mutlu Kutsal Yasa'yı yerine getirene!
19 Mtumwa hawezi kurekebishwa kwa maneno, maana ingawa anaelewa, hakuna mwitikio.
Köle salt sözle terbiye edilemez, Çünkü anlasa da kulak asmaz.
20 Je unamwona mtu mwenye haraka katika maneno yake? Kuna matumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko kwake.
Sözünü tartmadan konuşan birini tanıyor musun? Akılsızın durumu bile onunkinden daha umut vericidir.
21 Mwenye kumdekeza mtumwa wake tangu ujana, mwisho wake itakuwa taabu.
Çocukluğundan beri kölesini şımartan, Sonunda cezasını çeker.
22 Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi na bwana mwenye hasira sana hutenda dhambi nyingi.
Öfkeli kişi çekişme yaratır, Huysuz kişinin başkaldırısı eksik olmaz.
23 Kiburi cha mtu humshusha chini, bali mwenye roho ya unyenyekevu atapewa heshima.
Kibir insanı küçük düşürür, Alçakgönüllülükse onur kazandırır.
24 Anayeshirikiana na mwizi huyachukia maisha yake mwenyewe; husikia laana na wala hasemi chochote.
Hırsızla ortak olanın düşmanı kendisidir, Mahkemede yemin etse de bildiğini söylemez.
25 Kumwogopa binadamu ni mtego, bali mwenye kumtumaini Yehova atalindwa.
İnsandan korkmak tuzaktır, Ama RAB'be güvenen güvenlikte olur.
26 Wengi huutafuta uso wa mtawala, bali kutoka kwa Yehova huja haki kwa ajili yake.
Hükümdarın gözüne girmek isteyen çoktur, Ama RAB'dir insana adalet sağlayan.
27 Mtu dhalimu ni chukizo kwa wenye kutenda haki, bali mwenye njia ya haki ni chukizo kwa watu waovu.
Doğrular haksızlardan iğrenir, Kötüler de dürüst yaşayanlardan.

< Mithali 29 >