< Mithali 29 >

1 Mtu aliyepokea makaripio mengi lakini anashupaza shingo yake atavunjika ndani ya muda mfupi na hata pona.
Człowiek, który czyni twardym [swój] kark mimo częstych nagan, zostanie nagle zniszczony i pozbawiony ratunku.
2 Watenda mema wanapoongezeka, watu wanafurahi, bali wakati mtu mwovu anapotawala, watu huugua.
Gdy sprawiedliwi są u władzy, lud się weseli, a gdy panują niegodziwi, lud wzdycha.
3 Mwenye kupenda hekima baba yake anafurahi, bali anayeshikamana na makahaba huuharibu utajiri wake.
Kto miłuje mądrość, raduje swego ojca, a kto zadaje się z nierządnicami, trwoni majątek.
4 Mfalme huimarisha nchi kwa haki, bali mwenye kudai rushwa huirarua.
Król utwierdza ziemię sądem, ale kto przyjmuje dary, burzy ją.
5 Mtu anayejipendekeza kwa jirani yake anatandaza wavu kwenye miguu yake.
Człowiek, który pochlebia swemu bliźniemu, rozciąga sieć przed jego nogami.
6 Mtu mbaya hunaswa kwenye mtego wa dhambi yake mwenyewe, bali yeye atendaye haki huimba na kufurahi.
Grzech złego człowieka jest jego sidłem, ale sprawiedliwy śpiewa i weseli się.
7 Atendaye haki hutetea madai ya masikini; mtu mwovu hafahamu maarifa kama hayo.
Sprawiedliwy zważa na sprawę ubogich, [a] niegodziwemu nie zależy na jej poznawaniu.
8 Mwenye dhihaka huutia moto mji, bali wale wenye busara huigeuza ghadhabu.
Szydercy prowadzą miasto w sidła, ale mądrzy odwracają gniew.
9 Mtu mwenye busara anapojadiliana na mpumbavu, hughadhabika na kucheka, hakutakuwa na utulivu.
Jeśli mądry człowiek spiera się z głupim, czy się gniewa, czy się śmieje, nie [ma] pokoju.
10 Mkatili humchukia mwenye ukamilifu na hutafuta maisha ya mwenye haki.
Krwiożercy nienawidzą prawego, ale sprawiedliwi szukają jego duszy.
11 Mpumabavu huonyesha hasira yake, bali mtu mwenye busara huishikilia na kujituliza mwenyewe.
Głupi ujawnia cały swój umysł, a mądry zachowuje go na później.
12 Kama matawala atazinagatia uongo, maafisa wake wote watakuwa waovu.
Jeśli władca słucha kłamstw, to wszyscy jego słudzy są niegodziwi.
13 Mtu masikini na mkandamizaji wanafanana, maana Yehova huyapa nuru macho yao wote.
Ubogi i zdzierca spotykają się, a PAN obu oświeca oczy.
14 Kama mfalme atamhukumu masikini kwa uaminifu, kiti chake cha enzi kitaimarishwa milele.
Tron króla, który sądzi ubogich według prawdy, będzie umocniony na wieki.
15 Fimbo na maonyo huleta hekima, bali mtoto huru mbali na makaripio humwaibisha mama yake.
Rózga i upomnienia dają mądrość, a samowolne dziecko przynosi wstyd swojej matce.
16 Watu waovu wanapotawala, uovu huongezeka, bali wenye kutenda haki wataona anguko la watu waovu.
Gdy niegodziwi się mnożą, to mnoży się i przestępstwo, lecz sprawiedliwi ujrzą ich upadek.
17 Mwadibishe mwanao naye atakupa pumziko; ataleta furaha katika maisha yako.
Karć swego syna, a da ci odpocząć i przyniesie rozkosz twojej duszy.
18 Pasipo na maono ya kinabii watu huenda bila utaratibu, bali mwenye kuitunza sheria amebarikiwa.
Gdy nie ma proroctwa, lud ginie, a kto przestrzega prawa, jest błogosławiony.
19 Mtumwa hawezi kurekebishwa kwa maneno, maana ingawa anaelewa, hakuna mwitikio.
Sługi nie poprawi się słowami, bo choć rozumie, jednak nie odpowiada.
20 Je unamwona mtu mwenye haraka katika maneno yake? Kuna matumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko kwake.
Widzisz człowieka, który jest pochopny w swoich słowach? Więcej nadziei dla głupca niż dla niego.
21 Mwenye kumdekeza mtumwa wake tangu ujana, mwisho wake itakuwa taabu.
Kto czule wychowuje sługę od młodości, na ostatek będzie go miał za syna.
22 Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi na bwana mwenye hasira sana hutenda dhambi nyingi.
Człowiek gniewliwy wszczyna spór, a człowiek porywczy mnoży grzechy.
23 Kiburi cha mtu humshusha chini, bali mwenye roho ya unyenyekevu atapewa heshima.
Pycha człowieka poniża go, ale pokorny w duchu dostąpi chwały.
24 Anayeshirikiana na mwizi huyachukia maisha yake mwenyewe; husikia laana na wala hasemi chochote.
Wspólnik złodzieja nienawidzi swojej duszy; słyszy przekleństwa, a nie wydaje [go].
25 Kumwogopa binadamu ni mtego, bali mwenye kumtumaini Yehova atalindwa.
Strach przed człowiekiem zastawia sidła, ale kto ufa PANU, będzie bezpieczny.
26 Wengi huutafuta uso wa mtawala, bali kutoka kwa Yehova huja haki kwa ajili yake.
Wielu zabiega o względy władcy, ale sąd każdego człowieka pochodzi od PANA.
27 Mtu dhalimu ni chukizo kwa wenye kutenda haki, bali mwenye njia ya haki ni chukizo kwa watu waovu.
Bezbożny budzi odrazę w sprawiedliwych, a kto postępuje uczciwie, budzi odrazę w niegodziwych.

< Mithali 29 >