< Mithali 29 >

1 Mtu aliyepokea makaripio mengi lakini anashupaza shingo yake atavunjika ndani ya muda mfupi na hata pona.
L'homme qui étant repris roidit son cou, sera subitement brisé, sans qu'il y ait de guérison.
2 Watenda mema wanapoongezeka, watu wanafurahi, bali wakati mtu mwovu anapotawala, watu huugua.
Quand les justes sont avancés, le peuple se réjouit; mais quand le méchant domine, le peuple gémit.
3 Mwenye kupenda hekima baba yake anafurahi, bali anayeshikamana na makahaba huuharibu utajiri wake.
L'homme qui aime la sagesse, réjouit son père; mais celui qui entretient les femmes débauchées, dissipe ses richesses.
4 Mfalme huimarisha nchi kwa haki, bali mwenye kudai rushwa huirarua.
Le Roi maintient le pays par le jugement; mais l'homme qui est adonné aux présents, le ruinera.
5 Mtu anayejipendekeza kwa jirani yake anatandaza wavu kwenye miguu yake.
L'homme qui flatte son prochain, étend le filet devant ses pas.
6 Mtu mbaya hunaswa kwenye mtego wa dhambi yake mwenyewe, bali yeye atendaye haki huimba na kufurahi.
Le mal qui est au forfait de l'homme, lui est comme un piège; mais le juste chantera, et se réjouira.
7 Atendaye haki hutetea madai ya masikini; mtu mwovu hafahamu maarifa kama hayo.
Le juste prend connaissance de la cause des pauvres; [mais] le méchant n'en prend point connaissance.
8 Mwenye dhihaka huutia moto mji, bali wale wenye busara huigeuza ghadhabu.
Les hommes moqueurs troublent la ville; mais les sages apaisent la colère.
9 Mtu mwenye busara anapojadiliana na mpumbavu, hughadhabika na kucheka, hakutakuwa na utulivu.
L'homme sage contestant avec l'homme fou, soit qu'il s'émeuve, soit qu'il rie, n'aura point de repos.
10 Mkatili humchukia mwenye ukamilifu na hutafuta maisha ya mwenye haki.
Les hommes sanguinaires ont en haine l'homme intègre, mais les hommes droits tiennent chère sa vie.
11 Mpumabavu huonyesha hasira yake, bali mtu mwenye busara huishikilia na kujituliza mwenyewe.
Le fou pousse au-dehors toute sa passion, mais le sage la réprime, et [la renvoie] en arrière.
12 Kama matawala atazinagatia uongo, maafisa wake wote watakuwa waovu.
Tous les serviteurs d'un Prince qui prête l'oreille à la parole de mensonge, sont méchants.
13 Mtu masikini na mkandamizaji wanafanana, maana Yehova huyapa nuru macho yao wote.
Le pauvre et l'homme usurier s'entre-rencontrent, et l'Eternel illumine les yeux de tous deux.
14 Kama mfalme atamhukumu masikini kwa uaminifu, kiti chake cha enzi kitaimarishwa milele.
Le trône du Roi qui fait justice selon la vérité aux pauvres, sera établi à perpétuité.
15 Fimbo na maonyo huleta hekima, bali mtoto huru mbali na makaripio humwaibisha mama yake.
La verge et la répréhension donnent la sagesse; mais l'enfant abandonné à lui-même fait honte à sa mère.
16 Watu waovu wanapotawala, uovu huongezeka, bali wenye kutenda haki wataona anguko la watu waovu.
Quand les méchants sont avancés, les forfaits se multiplient; mais les justes verront leur ruine.
17 Mwadibishe mwanao naye atakupa pumziko; ataleta furaha katika maisha yako.
Corrige ton enfant, et il te mettra en repos, et il donnera du plaisir à ton âme.
18 Pasipo na maono ya kinabii watu huenda bila utaratibu, bali mwenye kuitunza sheria amebarikiwa.
Lorsqu'il n'y a point de vision, le peuple est abandonné; mais bienheureux est celui qui garde la Loi.
19 Mtumwa hawezi kurekebishwa kwa maneno, maana ingawa anaelewa, hakuna mwitikio.
Le serviteur ne se corrige point par des paroles; car il entendra, et ne répondra point.
20 Je unamwona mtu mwenye haraka katika maneno yake? Kuna matumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko kwake.
As-tu vu un homme précipité en ses paroles? il y a plus d'espérance d'un fou que de lui.
21 Mwenye kumdekeza mtumwa wake tangu ujana, mwisho wake itakuwa taabu.
Le serviteur sera enfin fils de celui qui l'élève délicatement dès sa jeunesse.
22 Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi na bwana mwenye hasira sana hutenda dhambi nyingi.
L'homme colère excite les querelles, et l'homme furieux [commet] plusieurs forfaits.
23 Kiburi cha mtu humshusha chini, bali mwenye roho ya unyenyekevu atapewa heshima.
L'orgueil de l'homme l'abaisse, mais celui qui est humble d'esprit obtient la gloire.
24 Anayeshirikiana na mwizi huyachukia maisha yake mwenyewe; husikia laana na wala hasemi chochote.
Celui qui partage avec le larron, hait son âme; il entend le serment d'exécration, et il ne le décèle point.
25 Kumwogopa binadamu ni mtego, bali mwenye kumtumaini Yehova atalindwa.
L'effroi que conçoit un homme, lui tend un piège; mais celui qui s'assure en l'Eternel aura une haute retraite.
26 Wengi huutafuta uso wa mtawala, bali kutoka kwa Yehova huja haki kwa ajili yake.
Plusieurs recherchent la face de celui qui domine; mais c'est de l'Eternel que vient le jugement qu'on donne touchant quelqu'un.
27 Mtu dhalimu ni chukizo kwa wenye kutenda haki, bali mwenye njia ya haki ni chukizo kwa watu waovu.
L'homme inique est en abomination aux justes; et celui qui va droit, est en abomination au méchant.

< Mithali 29 >