< Mithali 29 >

1 Mtu aliyepokea makaripio mengi lakini anashupaza shingo yake atavunjika ndani ya muda mfupi na hata pona.
人屢次受責罰,仍然硬着頸項; 他必頃刻敗壞,無法可治。
2 Watenda mema wanapoongezeka, watu wanafurahi, bali wakati mtu mwovu anapotawala, watu huugua.
義人增多,民就喜樂; 惡人掌權,民就歎息。
3 Mwenye kupenda hekima baba yake anafurahi, bali anayeshikamana na makahaba huuharibu utajiri wake.
愛慕智慧的,使父親喜樂; 與妓女結交的,卻浪費錢財。
4 Mfalme huimarisha nchi kwa haki, bali mwenye kudai rushwa huirarua.
王藉公平,使國堅定; 索要賄賂,使國傾敗。
5 Mtu anayejipendekeza kwa jirani yake anatandaza wavu kwenye miguu yake.
諂媚鄰舍的, 就是設網羅絆他的腳。
6 Mtu mbaya hunaswa kwenye mtego wa dhambi yake mwenyewe, bali yeye atendaye haki huimba na kufurahi.
惡人犯罪,自陷網羅; 惟獨義人歡呼喜樂。
7 Atendaye haki hutetea madai ya masikini; mtu mwovu hafahamu maarifa kama hayo.
義人知道查明窮人的案; 惡人沒有聰明,就不得而知。
8 Mwenye dhihaka huutia moto mji, bali wale wenye busara huigeuza ghadhabu.
褻慢人煽惑通城; 智慧人止息眾怒。
9 Mtu mwenye busara anapojadiliana na mpumbavu, hughadhabika na kucheka, hakutakuwa na utulivu.
智慧人與愚妄人相爭, 或怒或笑,總不能使他止息。
10 Mkatili humchukia mwenye ukamilifu na hutafuta maisha ya mwenye haki.
好流人血的,恨惡完全人, 索取正直人的性命。
11 Mpumabavu huonyesha hasira yake, bali mtu mwenye busara huishikilia na kujituliza mwenyewe.
愚妄人怒氣全發; 智慧人忍氣含怒。
12 Kama matawala atazinagatia uongo, maafisa wake wote watakuwa waovu.
君王若聽謊言, 他一切臣僕都是奸惡。
13 Mtu masikini na mkandamizaji wanafanana, maana Yehova huyapa nuru macho yao wote.
貧窮人、強暴人在世相遇; 他們的眼目都蒙耶和華光照。
14 Kama mfalme atamhukumu masikini kwa uaminifu, kiti chake cha enzi kitaimarishwa milele.
君王憑誠實判斷窮人; 他的國位必永遠堅立。
15 Fimbo na maonyo huleta hekima, bali mtoto huru mbali na makaripio humwaibisha mama yake.
杖打和責備能加增智慧; 放縱的兒子使母親羞愧。
16 Watu waovu wanapotawala, uovu huongezeka, bali wenye kutenda haki wataona anguko la watu waovu.
惡人加多,過犯也加多, 義人必看見他們跌倒。
17 Mwadibishe mwanao naye atakupa pumziko; ataleta furaha katika maisha yako.
管教你的兒子,他就使你得安息, 也必使你心裏喜樂。
18 Pasipo na maono ya kinabii watu huenda bila utaratibu, bali mwenye kuitunza sheria amebarikiwa.
沒有異象,民就放肆; 惟遵守律法的,便為有福。
19 Mtumwa hawezi kurekebishwa kwa maneno, maana ingawa anaelewa, hakuna mwitikio.
只用言語,僕人不肯受管教; 他雖然明白,也不留意。
20 Je unamwona mtu mwenye haraka katika maneno yake? Kuna matumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko kwake.
你見言語急躁的人嗎? 愚昧人比他更有指望。
21 Mwenye kumdekeza mtumwa wake tangu ujana, mwisho wake itakuwa taabu.
人將僕人從小嬌養, 這僕人終久必成了他的兒子。
22 Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi na bwana mwenye hasira sana hutenda dhambi nyingi.
好氣的人挑啟爭端; 暴怒的人多多犯罪。
23 Kiburi cha mtu humshusha chini, bali mwenye roho ya unyenyekevu atapewa heshima.
人的高傲必使他卑下; 心裏謙遜的,必得尊榮。
24 Anayeshirikiana na mwizi huyachukia maisha yake mwenyewe; husikia laana na wala hasemi chochote.
人與盜賊分贓,是恨惡自己的性命; 他聽見叫人發誓的聲音,卻不言語。
25 Kumwogopa binadamu ni mtego, bali mwenye kumtumaini Yehova atalindwa.
懼怕人的,陷入網羅; 惟有倚靠耶和華的,必得安穩。
26 Wengi huutafuta uso wa mtawala, bali kutoka kwa Yehova huja haki kwa ajili yake.
求王恩的人多; 定人事乃在耶和華。
27 Mtu dhalimu ni chukizo kwa wenye kutenda haki, bali mwenye njia ya haki ni chukizo kwa watu waovu.
為非作歹的,被義人憎嫌; 行事正直的,被惡人憎惡。

< Mithali 29 >