< Mithali 28 >

1 Waovu hukimbia wakati hakuna mtu anayewafukuza, bali wale watendao haki ni thabiti kama simba kijana.
Los malvados huyen, incluso cuando nadie los persigue, pero los justos tienen la audacia confiada de los leones.
2 Kwa sababu ya uhalifu wa nchi, kuna wakuu wengi, bali kwa mtu mwenye ufahamu na maarifa, itadumu kwa muda mrefu.
Cuando un país está en rebelión, tiene muchos gobernantes; pero un gobernante sabio e inteligente proporciona fuerza y continuidad.
3 Mtu masikini mwenye kukandamiza watu wengine masikini ni kama mvua inayopiga ambayo haisazi chakula.
Cuando un pobre oprime a los pobres, es como una lluvia fuerte que golpea las cosechas.
4 Wale wanaokataa sheria huwatukuza watu waovu, bali wale wenye kuitunza sheria hupigana dhidi yao.
Los que rechazan la ley alaban a los malvados, pero los que guardan la ley luchan contra ellos.
5 Watu wabaya hawafahamu haki, bali wale wanaomtafuta Yehova wanafahamu kila kitu.
Los lavados no entienden nada acerca de la justicia, pero los que siguen al Señor, la entienden por completo.
6 Ni bora mtu masikini ambaye anatembea katika uadilifu, kuliko mtu tajiri ambaye ni mdanganyifu katika njia zake.
Mejor es ser pobre y tener integridad, que ser tramposo y rico.
7 Yeye anayetunza sheria ni mwana mwenye ufahamu, bali mwenye ushirika na walafi humwaibisha baba yake.
Si guardas la ley, eres un hijo sabio; pero si te juntas con malas compañías serás vergüenza de tu padre.
8 Anayepata mafanikio kwa kutoza riba kubwa anakusanya utajiri wake kwa ajili ya mwingine ambaye atakuwa na huruma kwa watu masikini.
Cualquiera que se haga rico cobrando intereses y ganancias, lo estará ahorrando para alguien que es bondadoso con los pobres.
9 Kama mtu atageuzia mbali sikio lake kusikia sheria, hata maombi yake ni chukizo.
Dios odia las oraciones de los que ignoran la ley.
10 Yeye anayempotosha mwenye uadilifu katika njia ya uovu ataangukia kwenye shimo lake mwenyewe, bali wakamilifu watapata urithi mwema.
Los que conducen a los justos por malos caminos, caerán en sus propias trampas; pero los inocentes recibirán una buena recompensa.
11 Mtu tajiri anaweza kuwa mwenye hekima machoni pake mwenyewe, bali mtu masikini mwenye ufahamu atamtafuta.
Los ricos se ven a sí mismos como sabios, pero los pobres con inteligencia pueden verlos como son en realidad.
12 Kunapokuwa na ushindi kwa wenye kutenda haki, kunafuraha kuu, bali wanapoinuka waovu, watu hujificha wenyewe.
Cuando los justos ganan, todos celebran; pero cuando los malvados llegan al poder, la gente se esconde.
13 Yeye afichaye dhambi zake hatafanikiwa, bali mwenye kutubu na kuziacha ataonyeshwa rehema.
Los que ocultan sus pecados no prosperarán; pero los que confiesan y se apartan de sus pecados, serán tratados con bondad.
14 Anafuraha ambaye huishi kwa unyenyekevu, bali anayeufanya moyo wake ataanguka katika taabu.
Benditos son los que siempre respetan al Señor, pero los obstinados terminarán en gran tribulación.
15 Kama simba anayeunguruma au dubu anayeshabulia ni kama mtawala mwovu juu ya watu masikini.
Un gobernante malvado que extorsiona a los pobres es como un león rugiente o un oso.
16 Mtawala anayekosa ufahamu ni mkandamizaji katili, bali mwenye kuchukia aibu atadumu katika siku zake.
Un gobernante malvado que extorsiona a su pueblo, pero se niega a sacar provecho ilegalmente, vivirá mucho tiempo.
17 Kama mtu anahatia kwa sababu amemwaga damu ya mtu, atakuwa mkimbizi hadi kifo na hakuna atakayemsaidia.
El culpable de asesinato seguirá huyendo de lo que hizo hasta morir. No trates de detenerlo.
18 Mwenye kuenenda kwa ukaminifu atakuwa salama, bali mwenye njia ya udanganyifu ataanguka ghafla.
Si tienes integridad, estarás a salvo; pero si vives una vida torcida, caerás.
19 Anayefanya kazi kwenye shamba lake atapata chakula kingi, bali afuataye shughuli za upuuzi atapata umasikini mkubwa.
Si cultivas la tierra, tendrás abundante alimento; pero si sales a cazar fantasías, terminarás con las manos vacías.
20 Mtu mwaminifu atapata baraka nyingi bali apataye utajiri wa haraka hawezi kukosa adhabu.
Si eres digno de confianza, serás recompensado ricamente; pero si tratas de hacer dinero rápido, no quedarás sin castigo.
21 Siyo vema kuonyesha upendeleo, lakini kwa kipande cha mkate mtu atafanya ubaya.
Mostrar favoritismo no es bueno, pero algunos harán el mal por un trozo de pan.
22 Mtu mchoyo huharakisha kwenye utajiri, lakini hajui ni umasikini gani utakuja juu yake.
Los envidiosos se apresuran para volverse ricos; no se dan cuenta de que terminarán pobres.
23 Anayemkaripia mtu baadaye atapata fadhila zaidi kutoka kwake kuliko mwenye kumsifia sana kwa ulimi wake.
La crítica honesta es de mayor estima que la adulación.
24 Yule anayemwibia baba yake na mama yake na kusema, “Hiyo siyo dhambi,” ni mshirika wa mwenye kuharibu.
El hombre que roba a su madre y a su madre, y dice “no es un crimen”, está a un solo paso de volverse un asesino.
25 Mtu mwenye tamaa huchochea mafarakano, bali anayemtumaini Yehova atafanikiwa.
Los avaros crean problemas, pero los que confían en el Señor prosperarán.
26 Yule anayeutumaini moyo wake mwenyewe ni mpumbavu, bali anayekwenda kwa hekima atajilinda mbali na hatari.
Los que confían en su propia mente son necios, pero los que siguen caminos sabios se mantendrán a salvo.
27 Mwenye kuwapa masikini hatapungukiwa kitu, bali anayewafumbia macho atapokea laana nyingi.
Si das al pobre, no tendrás necesidad; pero si ignoras su necesidad, caerán muchas maldiciones sobre ti.
28 Watu waovu wanapoinuka, watu hujificha wenyewe, lakini watu waovu wataangamia, wale watendao haki wataongezeka.
Cuando los malvados llegan al poder, la gente se esconde; pero cuando caen, a los justos les va bien.

< Mithali 28 >