< Mithali 28 >

1 Waovu hukimbia wakati hakuna mtu anayewafukuza, bali wale watendao haki ni thabiti kama simba kijana.
惡者は逐ふ者なけれども逃げ 義者は獅子のごとくに勇まし
2 Kwa sababu ya uhalifu wa nchi, kuna wakuu wengi, bali kwa mtu mwenye ufahamu na maarifa, itadumu kwa muda mrefu.
國の罪によりて侯伯多くなり 智くして知識ある人によりて國は長く保つ
3 Mtu masikini mwenye kukandamiza watu wengine masikini ni kama mvua inayopiga ambayo haisazi chakula.
弱者を虐ぐる貧人は糧をのこさざる暴しき雨のごとし
4 Wale wanaokataa sheria huwatukuza watu waovu, bali wale wenye kuitunza sheria hupigana dhidi yao.
律法を棄るものは惡者をほめ 律法を守る者はこれに敵す
5 Watu wabaya hawafahamu haki, bali wale wanaomtafuta Yehova wanafahamu kila kitu.
惡人は義きことを覚らず ヱホバを求むる者は凡の事をさとる
6 Ni bora mtu masikini ambaye anatembea katika uadilifu, kuliko mtu tajiri ambaye ni mdanganyifu katika njia zake.
義しくあゆむ貧者は曲れる路をあゆむ富者に愈る
7 Yeye anayetunza sheria ni mwana mwenye ufahamu, bali mwenye ushirika na walafi humwaibisha baba yake.
律法を守る者は智子なり 放蕩なる者に交るものは父を辱かしむ
8 Anayepata mafanikio kwa kutoza riba kubwa anakusanya utajiri wake kwa ajili ya mwingine ambaye atakuwa na huruma kwa watu masikini.
利息と高利とをもてその財産を増すものは貧人をめぐむ者のために之をたくはふるなり
9 Kama mtu atageuzia mbali sikio lake kusikia sheria, hata maombi yake ni chukizo.
耳をそむけて律法を聞ざる者はその祈すらも憎まる
10 Yeye anayempotosha mwenye uadilifu katika njia ya uovu ataangukia kwenye shimo lake mwenyewe, bali wakamilifu watapata urithi mwema.
義者を惡き這に惑す者はみづから自己の阱に陥らん されど質直なる者は福祉をつぐべし
11 Mtu tajiri anaweza kuwa mwenye hekima machoni pake mwenyewe, bali mtu masikini mwenye ufahamu atamtafuta.
富者はおのれの目に自らを智恵ある者となす されど聡明ある貧者は彼をはかり知る
12 Kunapokuwa na ushindi kwa wenye kutenda haki, kunafuraha kuu, bali wanapoinuka waovu, watu hujificha wenyewe.
義者の喜ぶときは大なる榮あり 惡者の起るときは民身を匿す
13 Yeye afichaye dhambi zake hatafanikiwa, bali mwenye kutubu na kuziacha ataonyeshwa rehema.
その罪を隠すものは榮ゆることなし 然ど認らはして之を離るる者は憐憫をうけん
14 Anafuraha ambaye huishi kwa unyenyekevu, bali anayeufanya moyo wake ataanguka katika taabu.
恒に畏るる人は幸福なり その心を剛愎にする者は災禍に陥るべし
15 Kama simba anayeunguruma au dubu anayeshabulia ni kama mtawala mwovu juu ya watu masikini.
貧しき民を治むるあしき侯伯は吼る獅子あるひは飢たる熊のごとし
16 Mtawala anayekosa ufahamu ni mkandamizaji katili, bali mwenye kuchukia aibu atadumu katika siku zake.
智からざる君はおほく暴虐をおこなふ 不義の利を惡む者は遐齢をうべし
17 Kama mtu anahatia kwa sababu amemwaga damu ya mtu, atakuwa mkimbizi hadi kifo na hakuna atakayemsaidia.
人を殺してその血を心に負ふ者は墓に奔るなり 人これを阻むること勿れ
18 Mwenye kuenenda kwa ukaminifu atakuwa salama, bali mwenye njia ya udanganyifu ataanguka ghafla.
義く行む者は救をえ 曲れる路に行む者は直に跌れん
19 Anayefanya kazi kwenye shamba lake atapata chakula kingi, bali afuataye shughuli za upuuzi atapata umasikini mkubwa.
おのれの田地を耕す者は糧にあき 放蕩なる者に從ふものは貧乏に飽く
20 Mtu mwaminifu atapata baraka nyingi bali apataye utajiri wa haraka hawezi kukosa adhabu.
忠信なる人は多くの幸幅をえ 速かに富を得んとずる者は罪を免れず
21 Siyo vema kuonyesha upendeleo, lakini kwa kipande cha mkate mtu atafanya ubaya.
人を偏視るはよからず 人はただ一片のパンのために愆を犯すなり
22 Mtu mchoyo huharakisha kwenye utajiri, lakini hajui ni umasikini gani utakuja juu yake.
惡目をもつ者は財をえんとて急がはしく 却て貧窮のおのれに來るを知らず
23 Anayemkaripia mtu baadaye atapata fadhila zaidi kutoka kwake kuliko mwenye kumsifia sana kwa ulimi wake.
人を譴むる者は舌をもて諮ふ者よりも大なる感謝をうく
24 Yule anayemwibia baba yake na mama yake na kusema, “Hiyo siyo dhambi,” ni mshirika wa mwenye kuharibu.
父母の物を竊みて非ならずといふ者は滅す者の友なり
25 Mtu mwenye tamaa huchochea mafarakano, bali anayemtumaini Yehova atafanikiwa.
心に貪る者は争端を起し ヱホバに倚頼むものは豊饒になるべし
26 Yule anayeutumaini moyo wake mwenyewe ni mpumbavu, bali anayekwenda kwa hekima atajilinda mbali na hatari.
おのれの心を恃む者は愚なり 智慧をもて行む者は救をえん
27 Mwenye kuwapa masikini hatapungukiwa kitu, bali anayewafumbia macho atapokea laana nyingi.
貧者に賙すものは乏しからず その目を掩ふ者は詛を受ること多し
28 Watu waovu wanapoinuka, watu hujificha wenyewe, lakini watu waovu wataangamia, wale watendao haki wataongezeka.
惡者の起るときは人匿れ その滅るときは義者ます

< Mithali 28 >