< Mithali 27 >
1 Usijisifu kwa ajili ya kesho, maana hujui siku italeta nini.
Yarınla övünme, Çünkü ne getireceğini bilemezsin.
2 Mtu mwingine akusifu na wala si kinywa chako mwenyewe, mgeni na wala si midomo yako mwenyewe.
Seni kendi ağzın değil, başkaları övsün, Kendi dudakların değil, yabancı övsün.
3 Fikiria uzito wa jiwe na uzito wa mchanga- uchokozi wa mpumbavu ni mzito zaidi kuliko hivyo vyote.
Taş ağırdır, kum bir yüktür, Ama ahmağın kışkırtması ikisinden de ağırdır.
4 Kuna ukatili wenye ghadhabu kali na mafuriko ya hasira, lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?
Öfke zalim, hiddet azgındır, Ama kıskançlığa kim dayanabilir?
5 Ni bora karipio la wazi kuliko upendo uliofichwa.
Açık bir azar, Gizli tutulan sevgiden iyidir.
6 Mwaminifu ni jeraha zilizosababishwa na rafiki, lakini adui anaweza kukubusu kwa kuomba radhi mno.
Düşmanın öpücükleri aldatıcıdır, Ama dostun seni iyiliğin için yaralar.
7 Mtu aliyekula na kushiba hulikataa hata sega la asali, bali kwa mtu mwenye njaa, kila kitu kichungu ni kitamu.
Tok insanın canı balı bile çekmez, Aç kişiye en acı şey tatlı gelir.
8 Ndege anayezurura kutoka kwenye kiota chake ni kama mtu anayepotea sehemu ambayo anaishi.
Yuvasından uzak kalan kuş nasılsa, Yurdundan uzak kalan insan da öyledir.
9 Pafumu na manukato huufanya moyo ufurahi, lakini utamu wa rafiki ni bora kuliko ushauri wake.
Güzel koku ve buhur canı ferahlatır, Dostun verdiği öğüt insana tatlı gelir.
10 Usimwache rafiki yako na rafiki wa baba yako, na usiende kwenye nyumba ya ndugu yako katika siku ya msiba wako. Ni bora rafiki ambaye yupo karibu kuliko ndugu ambaye yupo mbali.
Kendi dostunu da babanın dostunu da bırakma Ve felakete uğradığın gün kardeşinin evine gitme; Yakın komşun uzaktaki kardeşten yeğdir.
11 Mwanangu, uwe na busara, moyo wangu ufurahi; kisha nitamjibu yule anayenidhihaki.
Oğlum, bilgece davran ki yüreğim sevinsin, Beni ayıplayana yanıt vereyim.
12 Mtu mwenye busara huiona taabu na kujificha mwenyewe, lakini mjinga huendelea mbele na kuteseka kwa ajili ya taabu.
İhtiyatlı kişi tehlikeyi görünce saklanır, Bönse öne atılır ve zarar görür.
13 vazi kama mwenyewe anaweka pesa kama dhamana kwa deni la mgeni; lichukue kama anaweka dhamana kwa malaya.
Tanımadığı birine kefil olanın giysisini al; Bir yabancı için yapıyorsa bunu, Giysisini rehin tut.
14 Anayempa jirani yake baraka kwa sauti ya juu mapema asubuhi, baraka hiyo itafikiriwa kuwa laana!
Sabah sabah komşuya verilen gürültülü bir selam Küfür sayılır.
15 Mke mgomvi ni kama siku ya manyunyu ya mvua ya daima;
Kavgacı kadının dırdırı Yağmurlu günde damlaların dinmeyen sesi gibidir.
16 kumzuia ni kama kuuzuia upepo, au kujaribu kushika mafuta kwa mkono wako wa kulia.
Böyle bir kadını dizginlemeye kalkmak, Rüzgarı ya da yağı avuçta tutmaya çalışmak gibidir.
17 Chuma hunoa chuma; kwa njia ile ile; mtu humnoa rafiki yake.
Demir demiri biler, İnsan da insanı...
18 Yule anayeutunza mtini atakula matunda yake, na yule mwenye kumlinda bwana wake ataheshimiwa.
İncir ağacını budayan meyvesini yer, Efendisine hizmet eden onurlandırılır.
19 Kama maji yanavyoakisi taswira ya sura ya mtu, ndivyo hivyo moyo wa mtu humwaksi mtu.
Su görüntümüzü nasıl yansıtıyorsa, Yürek de insanın içini yansıtır.
20 Kama kuzimu na Uharibifu havitosheki, ndivyo yalivyo macho ya mtu hayawezi kutosheka. (Sheol )
Ölüm ve yıkım diyarı insana doymaz, İnsanın gözü de hiç doymaz. (Sheol )
21 Kalibu ni kwa fedha na tanuru ni kwa dhahabu; na mtu hujaribiwa anaposifiwa.
Altın ocakta, gümüş potada sınanır, İnsansa aldığı övgüyle sınanır.
22 Hata kama utamponda mpumbavu kwa mchI- pamoja na nafaka- bado upumbavu wake hautatoka.
Ahmağı buğdayla birlikte dibekte tokmakla dövsen bile, Ahmaklığından kurtulmaz.
23 Hakikisha unajua hali ya makundi yako na ujishughulishe juu ya makundi yako,
Davarına iyi bak, Sığırlarına dikkat et.
24 maana utajiri haudumu daima. Je taji hudumu kwa vizazi vyote?
Çünkü zenginlik kalıcı değildir Ve taç kuşaktan kuşağa geçmez.
25 Majani huondoka na ukuaji mpya huonekana na milima ya chakula cha mifugo hukusanywa ndani.
Çayır biçilince, yeni çimen çıkınca, Dağlardaki otlar toplanınca,
26 Wanakondoo watakupatia mavazi yako na mbuzi watakupatia gharama ya shamba.
Kuzular seni giydirir, Tekeler tarlanın bedeli olur.
27 Kutakuwa na maziwa ya mbuzi kwa chakula chako- chakula kwa kaya yako- na chakula kwa watumishi wako wasichana.
Keçilerin sütü yalnız seni değil, Ev halkını, hizmetçilerini de doyurmaya yeter.