< Mithali 27 >

1 Usijisifu kwa ajili ya kesho, maana hujui siku italeta nini.
Não te orgulhes do dia de amanhã; porque não sabes o que o dia trará.
2 Mtu mwingine akusifu na wala si kinywa chako mwenyewe, mgeni na wala si midomo yako mwenyewe.
Que o estranho te louve, e não tua [própria] boca; o estrangeiro, e não teus [próprios] lábios.
3 Fikiria uzito wa jiwe na uzito wa mchanga- uchokozi wa mpumbavu ni mzito zaidi kuliko hivyo vyote.
A pedra é pesada, e a areia tem [seu] peso; mas a provocação do tolo é mais pesada do que estas ambas.
4 Kuna ukatili wenye ghadhabu kali na mafuriko ya hasira, lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?
O furor é cruel, e a ira impetuosa; mas quem resistirá firme perante à inveja?
5 Ni bora karipio la wazi kuliko upendo uliofichwa.
Melhor é a repreensão clara do que o amor escondido.
6 Mwaminifu ni jeraha zilizosababishwa na rafiki, lakini adui anaweza kukubusu kwa kuomba radhi mno.
Fiéis são as feridas [feitas] por um amigo, mas os beijos de um inimigo são enganosos.
7 Mtu aliyekula na kushiba hulikataa hata sega la asali, bali kwa mtu mwenye njaa, kila kitu kichungu ni kitamu.
A alma saciada rejeita o favo de mel; mas para a alma faminta, toda coisa amarga é doce.
8 Ndege anayezurura kutoka kwenye kiota chake ni kama mtu anayepotea sehemu ambayo anaishi.
Como a ave, que vagueia de seu ninho, assim é o homem que anda vagueando de seu lugar.
9 Pafumu na manukato huufanya moyo ufurahi, lakini utamu wa rafiki ni bora kuliko ushauri wake.
O óleo e o perfume alegram ao coração; assim é a doçura de um amigo com um conselho sincero.
10 Usimwache rafiki yako na rafiki wa baba yako, na usiende kwenye nyumba ya ndugu yako katika siku ya msiba wako. Ni bora rafiki ambaye yupo karibu kuliko ndugu ambaye yupo mbali.
Não abandones o teu amigo, nem o amigo de teu pai; nem entres na casa de teu irmão no dia de tua adversidade; melhor é o vizinho que está perto do que o irmão que está longe.
11 Mwanangu, uwe na busara, moyo wangu ufurahi; kisha nitamjibu yule anayenidhihaki.
Sê sábio, meu filho, e alegra meu coração; para que eu tenha algo a responder para aquele que me desprezar.
12 Mtu mwenye busara huiona taabu na kujificha mwenyewe, lakini mjinga huendelea mbele na kuteseka kwa ajili ya taabu.
O prudente vê o mal, [e] se esconde; [mas] os ingênuos passam adiante, e sofrem as consequências.
13 vazi kama mwenyewe anaweka pesa kama dhamana kwa deni la mgeni; lichukue kama anaweka dhamana kwa malaya.
Toma a roupa daquele que fica por fiador de estranho; toma penhor daquele [que fica por fiador] da estranha.
14 Anayempa jirani yake baraka kwa sauti ya juu mapema asubuhi, baraka hiyo itafikiriwa kuwa laana!
Aquele que bendiz ao seu amigo em alta voz durante a madrugada lhe será considerado como maldição.
15 Mke mgomvi ni kama siku ya manyunyu ya mvua ya daima;
A mulher briguenta é semelhante a uma goteira contínua em tempo de grande chuva;
16 kumzuia ni kama kuuzuia upepo, au kujaribu kushika mafuta kwa mkono wako wa kulia.
Tentar contê-la é como tentar conter o vento, ou impedir que o óleo escorra de sua mão direita.
17 Chuma hunoa chuma; kwa njia ile ile; mtu humnoa rafiki yake.
O ferro é afiado com ferro; assim também o homem afia o rosto de seu amigo.
18 Yule anayeutunza mtini atakula matunda yake, na yule mwenye kumlinda bwana wake ataheshimiwa.
Aquele que guarda a figueira comerá de seu fruto; e o que dá atenção ao seu senhor será honrado.
19 Kama maji yanavyoakisi taswira ya sura ya mtu, ndivyo hivyo moyo wa mtu humwaksi mtu.
Assim como a água reflete o rosto, assim também o coração reflete o ser humano.
20 Kama kuzimu na Uharibifu havitosheki, ndivyo yalivyo macho ya mtu hayawezi kutosheka. (Sheol h7585)
O Xeol e a perdição nunca estão saciados; assim também os olhos do homem nunca estão satisfeitos. (Sheol h7585)
21 Kalibu ni kwa fedha na tanuru ni kwa dhahabu; na mtu hujaribiwa anaposifiwa.
[Como] o crisol é para a prata, e o forno para o ouro, assim o homem [é provado] pelos louvores que lhe dizem.
22 Hata kama utamponda mpumbavu kwa mchI- pamoja na nafaka- bado upumbavu wake hautatoka.
Ainda que esmagues ao tolo em um pilão junto com os grãos, ainda assim sua loucura não se separaria dele.
23 Hakikisha unajua hali ya makundi yako na ujishughulishe juu ya makundi yako,
Procura conhecer a condição de tuas ovelhas; põe teu coração sobre o gado;
24 maana utajiri haudumu daima. Je taji hudumu kwa vizazi vyote?
porque o tesouro não [dura] para sempre; nem uma coroa [dura] de geração em geração.
25 Majani huondoka na ukuaji mpya huonekana na milima ya chakula cha mifugo hukusanywa ndani.
Quando a erva aparecer, e surgirem a folhagem, e se juntarem as ervas dos montes,
26 Wanakondoo watakupatia mavazi yako na mbuzi watakupatia gharama ya shamba.
Os cordeiros serão para tuas roupas, e os bodes para o preço do campo;
27 Kutakuwa na maziwa ya mbuzi kwa chakula chako- chakula kwa kaya yako- na chakula kwa watumishi wako wasichana.
E o leite das cabras será o suficiente para tua alimentação, para a alimentação de tua casa, e para o sustento de tuas servas.

< Mithali 27 >