< Mithali 27 >
1 Usijisifu kwa ajili ya kesho, maana hujui siku italeta nini.
Nie chlub się dniem jutrzejszym, bo nie wiesz, co dzień przyniesie.
2 Mtu mwingine akusifu na wala si kinywa chako mwenyewe, mgeni na wala si midomo yako mwenyewe.
Niech inny cię chwali, a nie twoje usta; ktoś obcy, a nie twoje wargi.
3 Fikiria uzito wa jiwe na uzito wa mchanga- uchokozi wa mpumbavu ni mzito zaidi kuliko hivyo vyote.
Ciężki jest kamień i piasek waży, ale gniew głupca cięższy od obu.
4 Kuna ukatili wenye ghadhabu kali na mafuriko ya hasira, lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?
Okrutny jest gniew i straszliwa zapalczywość, lecz któż się ostoi przed zazdrością?
5 Ni bora karipio la wazi kuliko upendo uliofichwa.
Lepsza jest jawna nagana niż skryta miłość.
6 Mwaminifu ni jeraha zilizosababishwa na rafiki, lakini adui anaweza kukubusu kwa kuomba radhi mno.
Rany przyjaciela [są] wierne, ale pocałunki wroga [są] zwodnicze.
7 Mtu aliyekula na kushiba hulikataa hata sega la asali, bali kwa mtu mwenye njaa, kila kitu kichungu ni kitamu.
Dusza nasycona podepcze plaster miodu, a dla głodnej duszy wszystko, co gorzkie, jest słodkie.
8 Ndege anayezurura kutoka kwenye kiota chake ni kama mtu anayepotea sehemu ambayo anaishi.
Jak ptak odlatuje od swego gniazda, tak człowiek odchodzi od swego miejsca.
9 Pafumu na manukato huufanya moyo ufurahi, lakini utamu wa rafiki ni bora kuliko ushauri wake.
Maść i kadzidło radują serce, tak słodycz przyjaciela dzięki radzie od serca.
10 Usimwache rafiki yako na rafiki wa baba yako, na usiende kwenye nyumba ya ndugu yako katika siku ya msiba wako. Ni bora rafiki ambaye yupo karibu kuliko ndugu ambaye yupo mbali.
Nie opuszczaj swego przyjaciela ani przyjaciela twego ojca, a w dniu twego nieszczęścia nie wchodź do domu twego brata, bo lepszy [jest] sąsiad bliski niż brat daleki.
11 Mwanangu, uwe na busara, moyo wangu ufurahi; kisha nitamjibu yule anayenidhihaki.
Bądź mądrym, synu mój, rozwesel moje serce, abym mógł odpowiedzieć temu, który mi urąga.
12 Mtu mwenye busara huiona taabu na kujificha mwenyewe, lakini mjinga huendelea mbele na kuteseka kwa ajili ya taabu.
Roztropny dostrzega zło i ukrywa się, a prości idą dalej i ponoszą karę.
13 vazi kama mwenyewe anaweka pesa kama dhamana kwa deni la mgeni; lichukue kama anaweka dhamana kwa malaya.
Zabierz szatę temu, kto [ręczył za] obcego, i od tego, który ręczył za cudzą kobietę, weź zastaw.
14 Anayempa jirani yake baraka kwa sauti ya juu mapema asubuhi, baraka hiyo itafikiriwa kuwa laana!
Kto wczesnym rankiem błogosławi swemu przyjacielowi donośnym głosem, temu będzie to poczytane za przekleństwo.
15 Mke mgomvi ni kama siku ya manyunyu ya mvua ya daima;
Nieustające kapanie w dniu rzęsistego deszczu i kłótliwa żona są sobie podobne;
16 kumzuia ni kama kuuzuia upepo, au kujaribu kushika mafuta kwa mkono wako wa kulia.
Kto ją ukrywa, ukrywa wiatr i w prawej ręce [wonny] olejek, który sam siebie wydaje.
17 Chuma hunoa chuma; kwa njia ile ile; mtu humnoa rafiki yake.
Żelazo ostrzy się żelazem, tak człowiek zaostrza oblicze swego przyjaciela.
18 Yule anayeutunza mtini atakula matunda yake, na yule mwenye kumlinda bwana wake ataheshimiwa.
Kto strzeże drzewa figowego, spożyje jego owoc; tak kto posługuje swemu panu, dozna czci.
19 Kama maji yanavyoakisi taswira ya sura ya mtu, ndivyo hivyo moyo wa mtu humwaksi mtu.
Jak w wodzie odbija się twarz, tak w sercu człowieka – człowiek.
20 Kama kuzimu na Uharibifu havitosheki, ndivyo yalivyo macho ya mtu hayawezi kutosheka. (Sheol )
Piekło i zatracenie są nienasycone, tak oczy człowieka są niesyte. (Sheol )
21 Kalibu ni kwa fedha na tanuru ni kwa dhahabu; na mtu hujaribiwa anaposifiwa.
Czym dla srebra jest tygiel, a dla złota piec, tym dla człowieka pochwała.
22 Hata kama utamponda mpumbavu kwa mchI- pamoja na nafaka- bado upumbavu wake hautatoka.
Choćbyś zmiażdżył głupca w moździerzu tłuczkiem razem z ziarnami, nie opuści go głupota.
23 Hakikisha unajua hali ya makundi yako na ujishughulishe juu ya makundi yako,
Doglądaj pilnie swego dobytku [i] troszcz się o [swe] stada.
24 maana utajiri haudumu daima. Je taji hudumu kwa vizazi vyote?
Bo bogactwo nie [trwa] na wieki ani korona przez wszystkie pokolenia.
25 Majani huondoka na ukuaji mpya huonekana na milima ya chakula cha mifugo hukusanywa ndani.
Trawa wyrasta, pojawia się zieleń, z gór zioła zbierają.
26 Wanakondoo watakupatia mavazi yako na mbuzi watakupatia gharama ya shamba.
Owce są na twoje szaty, a kozły [są] zapłatą za pole.
27 Kutakuwa na maziwa ya mbuzi kwa chakula chako- chakula kwa kaya yako- na chakula kwa watumishi wako wasichana.
I dosyć mleka koziego na pokarm dla ciebie, na wyżywienie twego domu i na utrzymanie twoich służebnic.