< Mithali 27 >

1 Usijisifu kwa ajili ya kesho, maana hujui siku italeta nini.
Ne te glorifie pas pour le lendemain, ignorant ce que produira le jour qui doit venir.
2 Mtu mwingine akusifu na wala si kinywa chako mwenyewe, mgeni na wala si midomo yako mwenyewe.
Qu’un autre te loue, et non ta bouche: un étranger, et non tes lèvres.
3 Fikiria uzito wa jiwe na uzito wa mchanga- uchokozi wa mpumbavu ni mzito zaidi kuliko hivyo vyote.
Lourde est la pierre, et pesant le sable; mais la colère de l’insensé est plus pesante que l’une et l’autre.
4 Kuna ukatili wenye ghadhabu kali na mafuriko ya hasira, lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?
La colère n’a point de miséricorde, ni la fureur qui éclate; et le choc impétueux d’un emporté, qui pourra le soutenir.
5 Ni bora karipio la wazi kuliko upendo uliofichwa.
Mieux vaut une correction manifeste qu’un amour caché.
6 Mwaminifu ni jeraha zilizosababishwa na rafiki, lakini adui anaweza kukubusu kwa kuomba radhi mno.
Les blessures que fait celui qui aime valent mieux que les baisers trompeurs de celui qui hait.
7 Mtu aliyekula na kushiba hulikataa hata sega la asali, bali kwa mtu mwenye njaa, kila kitu kichungu ni kitamu.
Une âme rassasiée foulera aux pieds un rayon de miel: et une âme qui a faim trouvera doux même ce qui est amer.
8 Ndege anayezurura kutoka kwenye kiota chake ni kama mtu anayepotea sehemu ambayo anaishi.
Comme l’oiseau qui émigré de son nid, ainsi est l’homme qui abandonne son propre lieu.
9 Pafumu na manukato huufanya moyo ufurahi, lakini utamu wa rafiki ni bora kuliko ushauri wake.
Dans le parfum et les odeurs variées, le cœur trouve du plaisir; et dans les bons conseils d’un ami, l’âme trouve des douceurs.
10 Usimwache rafiki yako na rafiki wa baba yako, na usiende kwenye nyumba ya ndugu yako katika siku ya msiba wako. Ni bora rafiki ambaye yupo karibu kuliko ndugu ambaye yupo mbali.
Ton ami et l’ami de ton père, ne les abandonne pas; et dans la maison de ton frère n’entre pas au jour de ton affliction. Vaut mieux un voisin qui est près, qu’un frère qui est loin.
11 Mwanangu, uwe na busara, moyo wangu ufurahi; kisha nitamjibu yule anayenidhihaki.
Applique-toi à la sagesse, mon fils, et réjouis mon cœur, afin de pouvoir répondre à celui qui te fera des reproches.
12 Mtu mwenye busara huiona taabu na kujificha mwenyewe, lakini mjinga huendelea mbele na kuteseka kwa ajili ya taabu.
Un homme habile, voyant le mal, s’est caché; les simples en passant ont souffert des dommages.
13 vazi kama mwenyewe anaweka pesa kama dhamana kwa deni la mgeni; lichukue kama anaweka dhamana kwa malaya.
Ôte le vêtement de celui qui a répondu pour un étranger; et parce qu’il a répondu pour des étrangers, prends-lui un gage.
14 Anayempa jirani yake baraka kwa sauti ya juu mapema asubuhi, baraka hiyo itafikiriwa kuwa laana!
Celui qui bénit son prochain d’une voix élevée, se levant dès la nuit pour cela, sera semblable à celui qui le maudit.
15 Mke mgomvi ni kama siku ya manyunyu ya mvua ya daima;
Des toits dégouttant en un jour de froid et une femme querelleuse sont semblables;
16 kumzuia ni kama kuuzuia upepo, au kujaribu kushika mafuta kwa mkono wako wa kulia.
Celui qui veut la retenir est comme celui qui veut arrêter le vent, et appeler l’huile qui s’écoule de sa droite.
17 Chuma hunoa chuma; kwa njia ile ile; mtu humnoa rafiki yake.
Le fer est aiguisé par le fer; et l’homme aiguise la face de son ami.
18 Yule anayeutunza mtini atakula matunda yake, na yule mwenye kumlinda bwana wake ataheshimiwa.
Celui qui conserve un figuier en mangera les fruits; et celui qui est gardien de son maître sera élevé en gloire.
19 Kama maji yanavyoakisi taswira ya sura ya mtu, ndivyo hivyo moyo wa mtu humwaksi mtu.
De même que dans les eaux reluisent les visages de ceux qui s’y regardent; de même, les cœurs des hommes sont manifestes aux prudents.
20 Kama kuzimu na Uharibifu havitosheki, ndivyo yalivyo macho ya mtu hayawezi kutosheka. (Sheol h7585)
L’enfer et la perdition ne sont jamais rassasiés: semblablement aussi les yeux de l’homme sont insatiables. (Sheol h7585)
21 Kalibu ni kwa fedha na tanuru ni kwa dhahabu; na mtu hujaribiwa anaposifiwa.
De même que l’argent est éprouvé dans un creuset, et l’or dans une fournaise; de même est éprouvé l’homme par la bouche de celui qui le loue. Le cœur de l’homme inique recherche les choses mauvaises; mais le cœur droit recherche la science.
22 Hata kama utamponda mpumbavu kwa mchI- pamoja na nafaka- bado upumbavu wake hautatoka.
Si tu broies l’insensé dans un mortier comme des orges, en frappant dessus avec un pilon, sa folie ne lui sera pas enlevée.
23 Hakikisha unajua hali ya makundi yako na ujishughulishe juu ya makundi yako,
Connais soigneusement ton bétail, et considère tes troupeaux;
24 maana utajiri haudumu daima. Je taji hudumu kwa vizazi vyote?
Car tu n’auras pas toujours la puissance; mais une couronne te sera donnée pour toutes les générations.
25 Majani huondoka na ukuaji mpya huonekana na milima ya chakula cha mifugo hukusanywa ndani.
Les prés sont ouverts, et les herbes vertes ont paru, et les foins des montagnes ont été recueillis.
26 Wanakondoo watakupatia mavazi yako na mbuzi watakupatia gharama ya shamba.
Les agneaux sont pour ton vêtement, et les chevreaux pour le prix du champ.
27 Kutakuwa na maziwa ya mbuzi kwa chakula chako- chakula kwa kaya yako- na chakula kwa watumishi wako wasichana.
Que le lait des chèvres te suffise pour ta nourriture et pour le nécessaire de ta maison; qu’il suffise aussi pour leur vivre, à tes servantes.

< Mithali 27 >