< Mithali 27 >
1 Usijisifu kwa ajili ya kesho, maana hujui siku italeta nini.
Ne te glorifie pas des choses de demain; car tu ne sais pas ce qu'enfantera le jour qui va venir.
2 Mtu mwingine akusifu na wala si kinywa chako mwenyewe, mgeni na wala si midomo yako mwenyewe.
Que ton prochain te loue, et non ta bouche; qu'un étranger fasse ton éloge, et non tes lèvres.
3 Fikiria uzito wa jiwe na uzito wa mchanga- uchokozi wa mpumbavu ni mzito zaidi kuliko hivyo vyote.
La pierre est lourde et le sable est difficile à transporter; la colère de l'insensé est plus pesante que la pierre et le sable.
4 Kuna ukatili wenye ghadhabu kali na mafuriko ya hasira, lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?
Le courroux est sans pitié, la colère pénétrante; mais l'envie ne peut rien supporter.
5 Ni bora karipio la wazi kuliko upendo uliofichwa.
Mieux vaut le blâme à découvert que des amitiés cachées.
6 Mwaminifu ni jeraha zilizosababishwa na rafiki, lakini adui anaweza kukubusu kwa kuomba radhi mno.
Les blessures faites par un ami sont plus dignes de confiance que les baisers d'un ennemi.
7 Mtu aliyekula na kushiba hulikataa hata sega la asali, bali kwa mtu mwenye njaa, kila kitu kichungu ni kitamu.
L'âme dans la satiété ne fait aucun cas d'un rayon de miel; à l'âme affamée tout semble doux, même les choses amères.
8 Ndege anayezurura kutoka kwenye kiota chake ni kama mtu anayepotea sehemu ambayo anaishi.
L'homme qui s'est expatrié est réduit en esclavage, comme le petit oiseau tombé de son nid.
9 Pafumu na manukato huufanya moyo ufurahi, lakini utamu wa rafiki ni bora kuliko ushauri wake.
Le cœur se réjouit du vin, des parfums et de l'encens; mais l'âme est déchirée par les malheurs.
10 Usimwache rafiki yako na rafiki wa baba yako, na usiende kwenye nyumba ya ndugu yako katika siku ya msiba wako. Ni bora rafiki ambaye yupo karibu kuliko ndugu ambaye yupo mbali.
N'abandonne point ton ami ni l'ami de ton père; si tu es en détresse, n'entre point dans la maison de ton frère; mieux vaut un ami auprès de toi qu'un frère qui demeure au loin.
11 Mwanangu, uwe na busara, moyo wangu ufurahi; kisha nitamjibu yule anayenidhihaki.
Sois sage, ô mon fils, afin que ton cœur se réjouisse; éloigne de toi les paroles de blâme.
12 Mtu mwenye busara huiona taabu na kujificha mwenyewe, lakini mjinga huendelea mbele na kuteseka kwa ajili ya taabu.
L'homme habile, à l'approche d'un malheur, se tient caché; mais les insensés courent au-devant, et en portent la peine.
13 vazi kama mwenyewe anaweka pesa kama dhamana kwa deni la mgeni; lichukue kama anaweka dhamana kwa malaya.
Ôte son manteau à quiconque ravage le champ d'autrui; car c'est un méchant qui a passé là.
14 Anayempa jirani yake baraka kwa sauti ya juu mapema asubuhi, baraka hiyo itafikiriwa kuwa laana!
Celui qui bénira son ami à haute voix, dès l'aurore, semblera ne différer en rien de celui qui le maudit.
15 Mke mgomvi ni kama siku ya manyunyu ya mvua ya daima;
La pluie, en hiver, tombant dans une maison en chasse le maître; il en est de même d'une femme querelleuse dans sa propre maison.
16 kumzuia ni kama kuuzuia upepo, au kujaribu kushika mafuta kwa mkono wako wa kulia.
L'aquilon est un vent rigoureux, et pourtant il est réputé de bon augure.
17 Chuma hunoa chuma; kwa njia ile ile; mtu humnoa rafiki yake.
Le fer aiguise le fer; ainsi l'ami ranime le visage de son ami.
18 Yule anayeutunza mtini atakula matunda yake, na yule mwenye kumlinda bwana wake ataheshimiwa.
Qui plante un figuier en mange les fruits; qui barde son maître sera honoré.
19 Kama maji yanavyoakisi taswira ya sura ya mtu, ndivyo hivyo moyo wa mtu humwaksi mtu.
Les visages ne ressemblent point aux visages; ainsi en est-il des pensées des hommes.
20 Kama kuzimu na Uharibifu havitosheki, ndivyo yalivyo macho ya mtu hayawezi kutosheka. (Sheol )
L'enfer et la perdition ne sont jamais rassasiés; de même les yeux des hommes sont insatiables; (Sheol )
21 Kalibu ni kwa fedha na tanuru ni kwa dhahabu; na mtu hujaribiwa anaposifiwa.
On éprouve par le feu l'or et l'argent; l'épreuve de l'homme est la bouche de ceux qui le louent.
22 Hata kama utamponda mpumbavu kwa mchI- pamoja na nafaka- bado upumbavu wake hautatoka.
Tu auras beau flageller en pleine assemblée l'imprudent qui se déshonore, tu ne lui ôteras point son imprudence.
23 Hakikisha unajua hali ya makundi yako na ujishughulishe juu ya makundi yako,
Apprends à bien connaître les besoins de tes brebis, et applique ton cœur au soin de tes grands troupeaux.
24 maana utajiri haudumu daima. Je taji hudumu kwa vizazi vyote?
La force et le pouvoir de l'homme de durent pas des siècles; ils ne passent pas de génération en génération.
25 Majani huondoka na ukuaji mpya huonekana na milima ya chakula cha mifugo hukusanywa ndani.
Occupe-toi de l'herbe des champs; fauche tes près et recueille du fourrage durant l'été.
26 Wanakondoo watakupatia mavazi yako na mbuzi watakupatia gharama ya shamba.
Si tu veux avoir des brebis pour te vêtir, cultive tes champs pour avoir des agneaux.
27 Kutakuwa na maziwa ya mbuzi kwa chakula chako- chakula kwa kaya yako- na chakula kwa watumishi wako wasichana.
Mon fils, tu tiens de moi des préceptes sûrs pour ta vie et pour la vie de tes serviteurs.