< Mithali 27 >
1 Usijisifu kwa ajili ya kesho, maana hujui siku italeta nini.
not to boast: boast in/on/with day tomorrow for not to know what? to beget day
2 Mtu mwingine akusifu na wala si kinywa chako mwenyewe, mgeni na wala si midomo yako mwenyewe.
to boast: praise you be a stranger and not lip your foreign and not lips your
3 Fikiria uzito wa jiwe na uzito wa mchanga- uchokozi wa mpumbavu ni mzito zaidi kuliko hivyo vyote.
heaviness stone and weight [the] sand and vexation fool(ish) heavy from two their
4 Kuna ukatili wenye ghadhabu kali na mafuriko ya hasira, lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?
cruel rage and flood face: anger and who? to stand: stand to/for face: before jealousy
5 Ni bora karipio la wazi kuliko upendo uliofichwa.
pleasant argument to reveal: uncover from love to hide
6 Mwaminifu ni jeraha zilizosababishwa na rafiki, lakini adui anaweza kukubusu kwa kuomba radhi mno.
be faithful wound to love: friend and be abundant kiss to hate
7 Mtu aliyekula na kushiba hulikataa hata sega la asali, bali kwa mtu mwenye njaa, kila kitu kichungu ni kitamu.
soul: person sated to trample honey and soul: person hungry all bitter sweet
8 Ndege anayezurura kutoka kwenye kiota chake ni kama mtu anayepotea sehemu ambayo anaishi.
like/as bird to wander from nest her so man to wander from place his
9 Pafumu na manukato huufanya moyo ufurahi, lakini utamu wa rafiki ni bora kuliko ushauri wake.
oil and incense to rejoice heart and sweetness neighbor his from counsel soul: myself
10 Usimwache rafiki yako na rafiki wa baba yako, na usiende kwenye nyumba ya ndugu yako katika siku ya msiba wako. Ni bora rafiki ambaye yupo karibu kuliko ndugu ambaye yupo mbali.
neighbor your (and neighbor *Q(K)*) father your not to leave: forsake and house: home brother: male-sibling your not to come (in): come in/on/with day calamity your pleasant neighboring near from brother: male-sibling distant
11 Mwanangu, uwe na busara, moyo wangu ufurahi; kisha nitamjibu yule anayenidhihaki.
be wise son: child my and to rejoice heart my and to return: reply to taunt me word
12 Mtu mwenye busara huiona taabu na kujificha mwenyewe, lakini mjinga huendelea mbele na kuteseka kwa ajili ya taabu.
prudent to see: see distress: harm to hide simple to pass to fine
13 vazi kama mwenyewe anaweka pesa kama dhamana kwa deni la mgeni; lichukue kama anaweka dhamana kwa malaya.
to take: take garment his for to pledge be a stranger and about/through/for foreign to pledge him
14 Anayempa jirani yake baraka kwa sauti ya juu mapema asubuhi, baraka hiyo itafikiriwa kuwa laana!
to bless neighbor his in/on/with voice great: large in/on/with morning to rise curse to devise: count to/for him
15 Mke mgomvi ni kama siku ya manyunyu ya mvua ya daima;
dripping to pursue in/on/with day rain and woman: wife (contention *Q(K)*) be like
16 kumzuia ni kama kuuzuia upepo, au kujaribu kushika mafuta kwa mkono wako wa kulia.
to treasure her to treasure spirit: breath and oil right his to encounter: toward
17 Chuma hunoa chuma; kwa njia ile ile; mtu humnoa rafiki yake.
iron in/on/with iron to sharpen and man: anyone to sharpen face neighbor his
18 Yule anayeutunza mtini atakula matunda yake, na yule mwenye kumlinda bwana wake ataheshimiwa.
to watch fig to eat fruit her and to keep: guard lord his to honor: honour
19 Kama maji yanavyoakisi taswira ya sura ya mtu, ndivyo hivyo moyo wa mtu humwaksi mtu.
like/as water [the] face to/for face so heart [the] man to/for man
20 Kama kuzimu na Uharibifu havitosheki, ndivyo yalivyo macho ya mtu hayawezi kutosheka. (Sheol )
hell: Sheol (and destruction his *Q(K)*) not to satisfy and eye [the] man not to satisfy (Sheol )
21 Kalibu ni kwa fedha na tanuru ni kwa dhahabu; na mtu hujaribiwa anaposifiwa.
crucible to/for silver: money and furnace to/for gold and man to/for lip praise his
22 Hata kama utamponda mpumbavu kwa mchI- pamoja na nafaka- bado upumbavu wake hautatoka.
if to pound [obj] [the] fool(ish) in/on/with hollow in/on/with midst [the] grain in/on/with pestle not to turn aside: depart from upon him folly his
23 Hakikisha unajua hali ya makundi yako na ujishughulishe juu ya makundi yako,
to know to know face flock your to set: put heart your to/for flock
24 maana utajiri haudumu daima. Je taji hudumu kwa vizazi vyote?
for not to/for forever: enduring wealth and if: surely yes consecration: crown to/for generation (and generation *Q(K)*)
25 Majani huondoka na ukuaji mpya huonekana na milima ya chakula cha mifugo hukusanywa ndani.
to reveal: remove grass and to see: see grass and to gather vegetation mountain: mount
26 Wanakondoo watakupatia mavazi yako na mbuzi watakupatia gharama ya shamba.
lamb to/for clothing your and price land: country goat
27 Kutakuwa na maziwa ya mbuzi kwa chakula chako- chakula kwa kaya yako- na chakula kwa watumishi wako wasichana.
and sufficiency milk goat to/for food your to/for food house: household your and life to/for maiden your