< Mithali 26 >
1 Kama theluji wakati wa joto au mvua kwenye mavuno, ndivyo mpumbavu asivyostahili heshima.
Yazda qar yéghish, Orma waqtida yamghur yéghish qamlashmighandek, Izzet-hörmet exmeqqe layiq emestur.
2 Kama shorowanda hurukaruka na kumeza wadudu wakati wa kuruka, ndivyo ilivyo laana isiyostahili haishuki.
Leylep uchup yürgen quchqachtek, Uchqan qarlighach yerge qonmighandek, Sewebsiz qarghish kishige ziyan keltürelmes.
3 Mjeledi ni kwa ajili ya farasi, hatamu kwa ajili ya punda na fimbo ni kwa ajili mgongo wa wapumbavu.
Atqa qamcha, éshekke noxta lazim bolghinidek, Exmeqning dümbisige tayaq layiqtur.
4 Usimjibu mpumbavu na kujiunga katika upumbavu wake, au utakuwa kama yeye.
Exmeqning exmiqane gépi boyiche uninggha jawab bermigin, Jawab berseng özüng uninggha oxshap qélishing mumkin.
5 Mjibu mpumbavu na jiunge katika upumbavu wake, ili asiweze kuwa na busara katika macho yake mwenyewe.
Exmeqning exmiqane gépi boyiche uninggha jawab bergin, Jawab bermiseng u özining exmeqliqini eqilliq dep chaghlar.
6 Anayetuma ujumbe kwa mkono wa mpumbavu huikata miguu yake mwenyewe na kunywa vurugu.
Öz putini késiwetkendek, Öz béshigha zulmet tiligendek, Exmeqtin xewer yollashmu shundaq bir ishtur.
7 Miguu ya kiwete inayoning'ia chini ni kama mithali kwenye kinywa cha wapumbavu.
Tokurning kargha kelmigen putliridek, Exmeqning aghzigha sélin’ghan pend-nesihetmu bikar bolur.
8 Kujaribisha jiwe kwenye kombeo ni sawa na kumpa heshima mpumbavu.
Salghigha tashni baghlap atqandek, Exmeqqe hörmet bildürüshmu exmiqane ishtur.
9 Mwiba unaochoma kwenye mkono wa mlevi ni kama mithali kwenye kinywa cha wapumbavu.
Exmeqning aghzigha sélin’ghan pend-nesihet, Mestning qoligha sanjilghan tikendektur.
10 Mpiga mishale anayejeruhi kila mtu ni kama mtu anayemwajiri mpumbavu au kila mtu anayepita karibu yake.
Öz yéqinlirini qarisigha zeximlendürgen oqyachidek, Exmeqni yaki udul kelgen ademni yallap ishletken xojayinmu oxshashla zeximlendürgüchidur.
11 Kama mbwa anavyorudia matapishi yake, ndivyo alivyo mpumbavu anayerudia upuuzi wake.
It aylinip kélip öz qusuqini yalighandek, Exmeq exmeqliqini qaytilar.
12 Je unamwona mtu mwenye busara katika macho yake mwenyewe? Mpumbavu anamatumaini zaidi kuliko yeye.
Özini dana chaghlap memnun bolghan kishini kördüngmu? Uninggha ümid baghlimaqtin exmeqqe ümid baghlimaq ewzeldur.
13 Mtu mvivu husema “Kuna simba kwenye barabara! Kuna simba katikati ya njia kuu!”
Hurun adem: — «Tashqirida dehshetlik bir shir turidu, Kochida bir shir yüridu!» — dep [öydin chiqmas].
14 Kama mlango unavyogeuka kwenye bawaba zake, ndivyo alivyo mtu mvivu kwenye kitanda chake.
Öz mujuqida échilip-yépilip turghan ishikke oxshash, Hurun kariwatta yétip u yaq-bu yaqqa örülmekte.
15 Mtu mvivu hutia mkono wake kwenye sufuria na bado hana nguvu kuunyanyua kwenda kwenye kinywa chake.
Hurun qolini sunup qachigha tiqqini bilen, Ghizani aghzigha sélishtinmu ériner.
16 Mtu mvivu ni mwenye hekima kwenye macho yake mwenyewe kuliko watu saba wenye ufahamu.
Hurun özini pem bilen jawab bergüchi yette kishidinmu dana sanar.
17 Kama mtu anayeshikilia masikio ya mbwa, ndivyo alivyo mpitajia anayepata hasira kwenye ugomvi ambao si wake.
Kochida kéliwétip, özige munasiwetsiz majiragha arilashqan kishi, Itning quliqini tutup sozghan’gha oxshash xeterge duchar bolar.
18 Kama mtu mwendawazimu anayetupa mishale,
Öz yéqinlirini aldap «Peqet chaqchaq qilip qoydum!» deydighan kishi, Otqashlarni, oqlarni, herxil ejellik qorallarni atqan telwige oxshaydu.
19 ndivyo alivyo ambaye humdanganya jirani yake na kusema, “Je sikuwa naongea utani?”
20 Kwa kukosa kuni, moto huzimika; na pale pasipo na mmbea ugomvi hukoma.
Otun bolmisa ot öcher; Gheywet bolmisa, jédel bésilar.
21 Mkaa ni kwa kuwasha makaa na kuni kwa ajili ya moto, ndivyo alivyo mtu mgomvi kwa kuwasha ugomvi.
Choghlar üstige chachqan kömürdek, Ot üstige qoyghan otundek, jédelchi jédelni ulghaytar.
22 Maneno ya mmbea ni kama chembe tamu; nazo zinashuka chini kwenye sehemu za ndani ya mwili.
Gheywetxorning sözliri herxil nazunémetlerdek, Kishining qelbige chongqur singdürüler.
23 Kioo kinachofunika chombo cha udongo ni kama midomo inayoungua na moyo mbaya.
Yalqunluq lewler rezil köngüllerge qoshulghanda, Sapal qachigha kümüsh hel bergen’ge oxshashtur.
24 Yule ambaye huwachukia wengine huficha hisia zake kwa midomo na hufunika uongo ndani yake mwenyewe.
Adawet saqlaydighan adem öchini gepliri bilen yapsimu, Könglide qat-qat suyiqest saqlaydu.
25 Ataongea kwa huruma, lakini usimwamini, maana kuna machukizo saba kwenye moyo wake.
Uning sözi chirayliq bolsimu, ishinip ketmigin; Qelbide yette qat iplasliq bardur.
26 Ingawa chuki zake zimefunikwa kwa udanganyifu, uovu wake utakuwa wazi katika kusanyiko.
U öchmenlikini chirayliq gep bilen yapsimu, Lékin rezilliki jamaetning aldida ashkarilinar.
27 Anayechimba shimo atatumbukia ndani yake na jiwe litamsaga yule anayelisukuma.
Kishige ora kolighan özi chüsher; Tashni domilatqan kishini tash dumilap qaytip kélip uni yanjar.
28 Ulimi wa uongo huchukia watu unaowajeruhi na kinywa cha uongo husogeza karibu uharibifu.
Saxta til özi ziyankeshlik qilghan kishilerge nepretliner; Xushamet qilghuchi éghiz ademni halaketke ittirer.