< Mithali 26 >

1 Kama theluji wakati wa joto au mvua kwenye mavuno, ndivyo mpumbavu asivyostahili heshima.
Як літом той сніг, і як дощ у жнива́, — та́к не лицю́є глупце́ві пошана.
2 Kama shorowanda hurukaruka na kumeza wadudu wakati wa kuruka, ndivyo ilivyo laana isiyostahili haishuki.
Як пташка літає, як ла́стівка лине, так невинне прокля́ття не спо́вниться.
3 Mjeledi ni kwa ajili ya farasi, hatamu kwa ajili ya punda na fimbo ni kwa ajili mgongo wa wapumbavu.
Батіг на коня, обро́ть на осла, а різка на спи́ну глупці́в.
4 Usimjibu mpumbavu na kujiunga katika upumbavu wake, au utakuwa kama yeye.
Нерозумному відповіді не дава́й за нерозум його, щоб і ти не став рівний йому.
5 Mjibu mpumbavu na jiunge katika upumbavu wake, ili asiweze kuwa na busara katika macho yake mwenyewe.
Нерозумному відповідь дай за безумством його, щоб він в о́чах своїх не став мудрим.
6 Anayetuma ujumbe kwa mkono wa mpumbavu huikata miguu yake mwenyewe na kunywa vurugu.
Хто через глупця́ посилає слова́, той ноги собі обтинає, отру́ту він п'є.
7 Miguu ya kiwete inayoning'ia chini ni kama mithali kwenye kinywa cha wapumbavu.
Як воло́чаться но́ги в кульга́вого, так у безумних уста́х припові́стка.
8 Kujaribisha jiwe kwenye kombeo ni sawa na kumpa heshima mpumbavu.
Як прив'я́зувати камінь коштовний до пра́щі, так глупце́ві пошану давати.
9 Mwiba unaochoma kwenye mkono wa mlevi ni kama mithali kwenye kinywa cha wapumbavu.
Як те́рен, що влізе у руку, отак припові́стка в уста́х нерозумного.
10 Mpiga mishale anayejeruhi kila mtu ni kama mtu anayemwajiri mpumbavu au kila mtu anayepita karibu yake.
Як стрілець, що все ра́нить, так і той, хто наймає глупця́, і наймає усяких прохо́жих.
11 Kama mbwa anavyorudia matapishi yake, ndivyo alivyo mpumbavu anayerudia upuuzi wake.
Як вертається пес до своєї блюво́тини, так глупо́ту свою повторяє глупа́к.
12 Je unamwona mtu mwenye busara katika macho yake mwenyewe? Mpumbavu anamatumaini zaidi kuliko yeye.
Чи ти бачив люди́ну, що мудра в очах своїх? Більша надія глупце́ві, ніж їй.
13 Mtu mvivu husema “Kuna simba kwenye barabara! Kuna simba katikati ya njia kuu!”
Лінивий говорить: „Лев на дорозі! Лев на майда́ні!“
14 Kama mlango unavyogeuka kwenye bawaba zake, ndivyo alivyo mtu mvivu kwenye kitanda chake.
Двері обе́ртаються на своєму чопі́, а лінивий — на лі́жку своїм.
15 Mtu mvivu hutia mkono wake kwenye sufuria na bado hana nguvu kuunyanyua kwenda kwenye kinywa chake.
Свою руку лінивий стромля́є до миски, — та підне́сти до рота її йому тяжко.
16 Mtu mvivu ni mwenye hekima kwenye macho yake mwenyewe kuliko watu saba wenye ufahamu.
Лінивий мудріший ув очах своїх за сімох, що відповідають розумно.
17 Kama mtu anayeshikilia masikio ya mbwa, ndivyo alivyo mpitajia anayepata hasira kwenye ugomvi ambao si wake.
Пса за ву́ха хапає, хто, йдучи́, устрява́є до сварки чужої.
18 Kama mtu mwendawazimu anayetupa mishale,
Як той, хто вдає божевільного, ки́дає і́скри, стрі́ли та смерть,
19 ndivyo alivyo ambaye humdanganya jirani yake na kusema, “Je sikuwa naongea utani?”
так і люди́на, що обманює друга свого та каже: „Таж це́ я жартую!“
20 Kwa kukosa kuni, moto huzimika; na pale pasipo na mmbea ugomvi hukoma.
З браку дров огонь гасне, а без пліткаря́ мовкне сварка.
21 Mkaa ni kwa kuwasha makaa na kuni kwa ajili ya moto, ndivyo alivyo mtu mgomvi kwa kuwasha ugomvi.
Вугі́лля для жару, а дро́ва огне́ві, а люди́на сварли́ва — щоб сварку розпа́лювати.
22 Maneno ya mmbea ni kama chembe tamu; nazo zinashuka chini kwenye sehemu za ndani ya mwili.
Слова́ обмо́вника — мов ті присма́ки, й у нутро́ живота вони схо́дять.
23 Kioo kinachofunika chombo cha udongo ni kama midomo inayoungua na moyo mbaya.
Як срі́бло з жу́желицею, на горшкові накла́дене, так полу́м'яні уста, а серце лихе, —
24 Yule ambaye huwachukia wengine huficha hisia zake kwa midomo na hufunika uongo ndani yake mwenyewe.
устами своїми маску́ється ворог, і ховає оману в своє́му нутрі́:
25 Ataongea kwa huruma, lakini usimwamini, maana kuna machukizo saba kwenye moyo wake.
коли він говорить лагі́дно — не вір ти йому, бо в серці його сім оги́д!
26 Ingawa chuki zake zimefunikwa kwa udanganyifu, uovu wake utakuwa wazi katika kusanyiko.
Як нена́висть прикрита ома́ною, — її зло відкривається в зборі.
27 Anayechimba shimo atatumbukia ndani yake na jiwe litamsaga yule anayelisukuma.
Хто яму копа́є, той в неї впаде́, а хто ко́тить камі́ння — на нього воно поверта́ється.
28 Ulimi wa uongo huchukia watu unaowajeruhi na kinywa cha uongo husogeza karibu uharibifu.
Брехливий язик нена́видить своїх ути́скуваних, і уста гладе́нькі до згуби прова́дять.

< Mithali 26 >