< Mithali 26 >

1 Kama theluji wakati wa joto au mvua kwenye mavuno, ndivyo mpumbavu asivyostahili heshima.
Honrar a un tonto es tan inoportuno como la nieve en el verano, o la lluvia durante la cosecha.
2 Kama shorowanda hurukaruka na kumeza wadudu wakati wa kuruka, ndivyo ilivyo laana isiyostahili haishuki.
La maldición no caerá sobre la persona que no la merece. Será como el ave o la golondrina que revolotean.
3 Mjeledi ni kwa ajili ya farasi, hatamu kwa ajili ya punda na fimbo ni kwa ajili mgongo wa wapumbavu.
Los caballos necesitan un látigo, los asnos necesitan un freno. ¡Del mismo modo, los tontos necesitan vara en sus lomos!
4 Usimjibu mpumbavu na kujiunga katika upumbavu wake, au utakuwa kama yeye.
No respondas al tonto según su estupidez, o terminarás igual que ellos.
5 Mjibu mpumbavu na jiunge katika upumbavu wake, ili asiweze kuwa na busara katika macho yake mwenyewe.
No respondas al tonto según su estupidez, o pensaran que son sabios.
6 Anayetuma ujumbe kwa mkono wa mpumbavu huikata miguu yake mwenyewe na kunywa vurugu.
Confiar la entrega de un mensaje en manos de un tonto, es como cortar tus pies o beber veneno.
7 Miguu ya kiwete inayoning'ia chini ni kama mithali kwenye kinywa cha wapumbavu.
Un proverbio dicho por un tonto es tan inútil como las piernas de un inválido.
8 Kujaribisha jiwe kwenye kombeo ni sawa na kumpa heshima mpumbavu.
Honrar a un tonto es tan inútil como tratar de atar una piedra a una honda.
9 Mwiba unaochoma kwenye mkono wa mlevi ni kama mithali kwenye kinywa cha wapumbavu.
Un proverbio dicho por un tonto es tan ridículo como ver a un borracho entre espinos.
10 Mpiga mishale anayejeruhi kila mtu ni kama mtu anayemwajiri mpumbavu au kila mtu anayepita karibu yake.
Todo el que contrata a un tonto o a un desconocido errante, es como un arquero que hiere a la gente lanzando flechas al azar.
11 Kama mbwa anavyorudia matapishi yake, ndivyo alivyo mpumbavu anayerudia upuuzi wake.
Los tontos repiten su estupidez, así como un perro vuelve a comer su vomito.
12 Je unamwona mtu mwenye busara katika macho yake mwenyewe? Mpumbavu anamatumaini zaidi kuliko yeye.
¡Has visto a un hombre sabio en su propia opinión? ¡Hay más esperanza para un tonto que para él!
13 Mtu mvivu husema “Kuna simba kwenye barabara! Kuna simba katikati ya njia kuu!”
Los perezosos son los que dicen: “¡Hay un león en el camino, un león por las calles!”
14 Kama mlango unavyogeuka kwenye bawaba zake, ndivyo alivyo mtu mvivu kwenye kitanda chake.
El perezoso se voltea en la cama, como la puerta se recuesta en sus bisagras.
15 Mtu mvivu hutia mkono wake kwenye sufuria na bado hana nguvu kuunyanyua kwenda kwenye kinywa chake.
Los perezosos extienden su mano hasta el plato, pero están demasiado cansados como para llevarse la comida a la boca.
16 Mtu mvivu ni mwenye hekima kwenye macho yake mwenyewe kuliko watu saba wenye ufahamu.
Los perezosos son más sabios en su propia opinión que muchos consejeros prudentes.
17 Kama mtu anayeshikilia masikio ya mbwa, ndivyo alivyo mpitajia anayepata hasira kwenye ugomvi ambao si wake.
Tomar parte en la disputa de otra persona es como agarrar a un perro callejero por las orejas.
18 Kama mtu mwendawazimu anayetupa mishale,
Serás como un loco lanzando flechas con fuego y matando gente
19 ndivyo alivyo ambaye humdanganya jirani yake na kusema, “Je sikuwa naongea utani?”
si mientes a tu amigo, para luego decirle que era una broma.
20 Kwa kukosa kuni, moto huzimika; na pale pasipo na mmbea ugomvi hukoma.
Sin madera, el fuego se apaga, y sin chismosos, se acaba la discordia.
21 Mkaa ni kwa kuwasha makaa na kuni kwa ajili ya moto, ndivyo alivyo mtu mgomvi kwa kuwasha ugomvi.
Una persona conflictiva aumenta la discordia, como poner carbón en brasas, o madera en el fuego.
22 Maneno ya mmbea ni kama chembe tamu; nazo zinashuka chini kwenye sehemu za ndani ya mwili.
Escuchar chismes es como tragar bocados de tu comida preferida. Llegan hasta lo más profundo.
23 Kioo kinachofunika chombo cha udongo ni kama midomo inayoungua na moyo mbaya.
La persuación con intenciones malvadas es como un esmalte brillante de plomo en una olla de barro.
24 Yule ambaye huwachukia wengine huficha hisia zake kwa midomo na hufunika uongo ndani yake mwenyewe.
La gente te adulará aunque te odien. En el fondo te mienten.
25 Ataongea kwa huruma, lakini usimwamini, maana kuna machukizo saba kwenye moyo wake.
Cuando las personas sean buenas contigo, no les creas. Su mente está llena de odio hacia ti.
26 Ingawa chuki zake zimefunikwa kwa udanganyifu, uovu wake utakuwa wazi katika kusanyiko.
Aunque su odio esté oculto detrás de su astucia, su maldad quedará expuesta delante de todos.
27 Anayechimba shimo atatumbukia ndani yake na jiwe litamsaga yule anayelisukuma.
Aquellos que cavan fosos para hacer caer a otros, terminarán cayendo ellos mismos. Y los que hacen rodar piedras, quedarán aplastados por ellas.
28 Ulimi wa uongo huchukia watu unaowajeruhi na kinywa cha uongo husogeza karibu uharibifu.
Si mientes, muestras odio por las víctimas de tus mentiras. Si halagas a las personas, causarás desastre.

< Mithali 26 >