Preface
Bibles
+
SWN
CSG
X
<
h8450
>
X
<
^
>
<
>
<
Mithali
26
>
1
Kama theluji wakati wa joto au mvua kwenye mavuno, ndivyo mpumbavu asivyostahili heshima.
有如夏日下雪,秋收降雨,不合時令;同樣愚昧的人獲得光榮,亦不適宜。
2
Kama shorowanda hurukaruka na kumeza wadudu wakati wa kuruka, ndivyo ilivyo laana isiyostahili haishuki.
有如麻雀逃走,燕子飛去:無端的咒罵,也一去無蹤。
3
Mjeledi ni kwa ajili ya farasi, hatamu kwa ajili ya punda na fimbo ni kwa ajili mgongo wa wapumbavu.
馬需要皮鞭,驢需要轡頭,愚昧人的脊背需要棍棒。
4
Usimjibu mpumbavu na kujiunga katika upumbavu wake, au utakuwa kama yeye.
回答愚昧人,別照樣愚昧,免得你也像他一樣;
5
Mjibu mpumbavu na jiunge katika upumbavu wake, ili asiweze kuwa na busara katika macho yake mwenyewe.
回答愚昧人,有時應愚昧,免得他自以為聰明。
6
Anayetuma ujumbe kwa mkono wa mpumbavu huikata miguu yake mwenyewe na kunywa vurugu.
派遣愚昧人,去作傳話者,是自斷己足,是自尋苦惱。
7
Miguu ya kiwete inayoning'ia chini ni kama mithali kwenye kinywa cha wapumbavu.
猶如跛子的腳虛懸無力,箴言在愚人口中也是如此。
8
Kujaribisha jiwe kwenye kombeo ni sawa na kumpa heshima mpumbavu.
將光榮體面授給愚昧人,無異將寶石投在石堆裏。
9
Mwiba unaochoma kwenye mkono wa mlevi ni kama mithali kwenye kinywa cha wapumbavu.
箴言在愚人口中,猶如荊棘在醉漢手中。
10
Mpiga mishale anayejeruhi kila mtu ni kama mtu anayemwajiri mpumbavu au kila mtu anayepita karibu yake.
雇用愚人或過路人的人,無異射傷眾人的弓箭手。
11
Kama mbwa anavyorudia matapishi yake, ndivyo alivyo mpumbavu anayerudia upuuzi wake.
愚人一再重複他的愚行,猶如狗再來吃牠嘔吐之物。
12
Je unamwona mtu mwenye busara katika macho yake mwenyewe? Mpumbavu anamatumaini zaidi kuliko yeye.
你是否見過自作聰明的人﹖寄望於愚人必寄望於他更好。
13
Mtu mvivu husema “Kuna simba kwenye barabara! Kuna simba katikati ya njia kuu!”
懶惰人常說:「路上有猛獅,街市有壯獅。」
14
Kama mlango unavyogeuka kwenye bawaba zake, ndivyo alivyo mtu mvivu kwenye kitanda chake.
懶人在床榻上輾轉,猶如門扇在樞紐上旋轉。
15
Mtu mvivu hutia mkono wake kwenye sufuria na bado hana nguvu kuunyanyua kwenda kwenye kinywa chake.
懶人伸手在盤中取食,送到口邊也感到辛苦。
16
Mtu mvivu ni mwenye hekima kwenye macho yake mwenyewe kuliko watu saba wenye ufahamu.
懶惰人自認為聰明人,遠勝過七個善於應對的人。
17
Kama mtu anayeshikilia masikio ya mbwa, ndivyo alivyo mpitajia anayepata hasira kwenye ugomvi ambao si wake.
干涉與己無關的爭端,有如抓過路狗的尾巴。
18
Kama mtu mwendawazimu anayetupa mishale,
誰騙了人而後說:「我只開玩笑! 」
19
ndivyo alivyo ambaye humdanganya jirani yake na kusema, “Je sikuwa naongea utani?”
猶如狂人投擲火把、利箭和死亡。
20
Kwa kukosa kuni, moto huzimika; na pale pasipo na mmbea ugomvi hukoma.
沒有木柴,火即熄滅;沒有讒言,爭端即息。
21
Mkaa ni kwa kuwasha makaa na kuni kwa ajili ya moto, ndivyo alivyo mtu mgomvi kwa kuwasha ugomvi.
誰惹事生非,挑撥爭端,是在火炭上加炭,火上加柴。
22
Maneno ya mmbea ni kama chembe tamu; nazo zinashuka chini kwenye sehemu za ndani ya mwili.
進讒者的話,如可口美味,能深深透入肺腑的深處。
23
Kioo kinachofunika chombo cha udongo ni kama midomo inayoungua na moyo mbaya.
口蜜腹劍的人,有如塗上銀的陶器。
24
Yule ambaye huwachukia wengine huficha hisia zake kwa midomo na hufunika uongo ndani yake mwenyewe.
懷恨他人的,善措詞掩飾;但在他心底,卻藏有陰險。
25
Ataongea kwa huruma, lakini usimwamini, maana kuna machukizo saba kwenye moyo wake.
誰聲調過柔,你不要相信;因在他心中,藏有七種惡。
26
Ingawa chuki zake zimefunikwa kwa udanganyifu, uovu wake utakuwa wazi katika kusanyiko.
仇恨雖可以詭計來掩飾,但在集會中險惡必敗露。
27
Anayechimba shimo atatumbukia ndani yake na jiwe litamsaga yule anayelisukuma.
挖掘陷阱的必自陷其中,滾轉石頭的必為石所壓。
28
Ulimi wa uongo huchukia watu unaowajeruhi na kinywa cha uongo husogeza karibu uharibifu.
撒謊的唇舌,必痛恨真理;諂媚的嘴臉必製造喪亡。
<
Mithali
26
>
Go to
>
Bookmark
/
Concordance
/
Maps
/
Report Issue
The world's first Holy Bible un-translation!