< Mithali 25 >
1 Hizi tena ni mithali za Sulemani, zilinakiliwa na watu wa Hezekia, mfalme wa Yuda.
И это притчи Соломона, которые собрали мужи Езекии, царя Иудейского.
2 Ni utukufu wa Mungu kuficha jambo, bali utukufu wa wafalme kutafiti juu ya jambo.
Слава Божия - облекать тайною дело, а слава царей - исследовать дело.
3 Kama mbingu ni kwa kimo na dunia ni kwa kina, ndivyo hivyo moyo wa wafalme hauchunguziki.
Как небо в высоте и земля в глубине, так сердце царей - неисследимо.
4 Ondoa takataka kutoka kwenye fedha na mfua vyuma anaweza kutumia fedha katika ufundi wake.
Отдели примесь от серебра, и выйдет у серебряника сосуд:
5 Pamoja na hayo, waondoe watu waovu mbele ya mfalme na kiti chake cha enzi kitaimarishwa kwa kutenda haki.
удали неправедного от царя, и престол его утвердится правдою.
6 Usijitukuze mwenyewe mbele ya mfalme na usisimame katika sehemu iliyoteuliwa kwa watu wakuu.
Не величайся пред лицом царя, и на месте великих не становись;
7 Ni bora yeye akuambie, “Njoo hapa” kuliko wewe kujiaibisha mbele ya mkuu.
потому что лучше, когда скажут тебе: “пойди сюда повыше”, нежели когда понизят тебя пред знатным, которого видели глаза твои.
8 Usiharakishe kufanya kuhukumu, kwa kile ulichokishuhudia. Maana utafanya nini mwishoni, wakati jirani yako atakapokuaibisha?
Не вступай поспешно в тяжбу: иначе что будешь делать при окончании, когда соперник твой осрамит тебя?
9 Jitetee kesi yako kati ya jirani yako na wewe na usifunue siri ya mtu mwingine,
Веди тяжбу с соперником твоим, но тайны другого не открывай,
10 au vinginevyo anayekusikia ataleta aibu juu yako na taarifa mbaya juu yako haiwezi kunyamazishwa.
дабы не укорил тебя услышавший это, и тогда бесчестие твое не отойдет от тебя. Любовь и дружба освобождают: сбереги их для себя, чтобы не сделаться тебе достойным поношения; сохрани пути твои благоустроенными.
11 Kunena maneno yenye kuchaguliwa vizuri, ni kama nakshi za dhahabu iliyoungwa kwenye fedha.
Золотые яблоки в серебряных прозрачных сосудах - слово, сказанное прилично.
12 Kama pete ya dhahabu au kito kilichotengenezwa kwa dhahabu safi ndivyo lilivyo karipio la busara kwenye sikio linalosikia.
Золотая серьга и украшение из чистого золота - мудрый обличитель для внимательного уха.
13 Kama baridi ya theluji wakati wa mavuno ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwa wenye kumtuma; huyahifadhi maisha ya mabwana wake.
Что прохлада от снега во время жатвы, то верный посол для посылающего его: он доставляет душе господина своего отраду.
14 Kama mawingu na upepo bila mvua ndivyo alivyo mwenye kujisifu kuhusu zawadi asiyoitoa.
Что тучи и ветры без дождя, то человек, хвастающий ложными подарками.
15 Kwa uvumilivu mtawala anaweza kushawishiwa na ulimi raini unaweza kuvunja mfupa.
Кротостью склоняется к милости вельможа, и мягкий язык переламывает кость.
16 Kama utapata asali, kula ya kutosha- vingenevyo, ukila nyingi sana, utaitapika.
Нашел ты мед, - ешь, сколько тебе потребно, чтобы не пресытиться им и не изблевать его.
17 Usiweke mguu wako kwenye nyumba ya jirani yako mara nyingi, anaweza kuchoshwa nawe na kukuchukia.
Не учащай входить в дом друга твоего, чтобы он не наскучил тобою и не возненавидел тебя.
18 Mtu anayetoa ushuhuda wa uongo dhidi ya jirani yake ni kama rungu lililotumiwa katika vita, au upanga, au mshale mkali.
Что молот и меч и острая стрела, то человек, произносящий ложное свидетельство против ближнего своего.
19 Kumtumaini mtu asiye mwaminifu wakati wa taabu ni kama jino bovu au mguu unaoteleza.
Что сломанный зуб и расслабленная нога, то надежда на ненадежного человека в день бедствия.
20 Kama mtu anayevua nguo katika hali ya baridi, au kama siki iliyotiwa kwenye magadi, ndivyo alivyo anayeimba wimbo kwa mwenye moyo mzito.
Что снимающий с себя одежду в холодный день, что уксус на рану, то поющий песни печальному сердцу. Как моль одежде и червь дереву, так печаль вредит сердцу человека.
21 Kama adui yako ana njaa, mpe chakula ale na kama ana kiu, mpe maji ya kunywa,
Если голоден враг твой, накорми его хлебом; и если он жаждет, напой его водою:
22 maana utamwekea mkaa juu ya kichwa chake na Yehova atakupa thawabu.
ибо, делая сие, ты собираешь горящие угли на голову его, и Господь воздаст тебе.
23 Ni hakika upepo wa kaskazini huleta mvua, ndivyo mtu anayesema siri hufanya sura zikasirike.
Северный ветер производит дождь, а тайный язык - недовольные лица.
24 Ni bora kuishi kwenye pembe ya darini kuliko kuchangia nyumba pamoja na mwanamke mgomvi.
Лучше жить в углу на кровле, нежели со сварливою женою в пространном доме.
25 Kama maji ya baridi kwa mwenye kiu, ndivyo ilivyo habari njema kutoka nchi ya mbali.
Что холодная вода для истомленной жаждой души, то добрая весть из дальней страны.
26 Kama chemchemi iliyochafuliwa au kisima kilichoharibiwa ndivyo alivyo mtu mwema ambaye huyumbayumba mbele ya watu waovu.
Что возмущенный источник и поврежденный родник, то праведник, падающий пред нечестивым.
27 Si vema kula asali nyingi mno; hivyo ni kama kutafuta heshima baada heshima.
Как нехорошо есть много меду, так домогаться славы не есть слава.
28 Mtu bila kujitawala ni kama mji ulibomolewa na usiokuwa na kuta.
Что город разрушенный, без стен, то человек, не владеющий духом своим.