< Mithali 25 >
1 Hizi tena ni mithali za Sulemani, zilinakiliwa na watu wa Hezekia, mfalme wa Yuda.
Følgende er ogsaa Ordsprog af Salomo, som Kong Ezekias af Judas Mænd samlede.
2 Ni utukufu wa Mungu kuficha jambo, bali utukufu wa wafalme kutafiti juu ya jambo.
Guds Ære er det at skjule en Sag, Kongers Ære at granske en Sag.
3 Kama mbingu ni kwa kimo na dunia ni kwa kina, ndivyo hivyo moyo wa wafalme hauchunguziki.
Himlens Højde og Jordens Dybde og Kongers Hjerte kan ingen granske.
4 Ondoa takataka kutoka kwenye fedha na mfua vyuma anaweza kutumia fedha katika ufundi wake.
Naar Slagger fjernes fra Sølv, saa bliver det hele lutret;
5 Pamoja na hayo, waondoe watu waovu mbele ya mfalme na kiti chake cha enzi kitaimarishwa kwa kutenda haki.
naar gudløse fjernes fra Kongen, grundfæstes hans Trone ved Retfærd.
6 Usijitukuze mwenyewe mbele ya mfalme na usisimame katika sehemu iliyoteuliwa kwa watu wakuu.
Bryst dig ikke for Kongen og stil dig ikke paa de stores Plads;
7 Ni bora yeye akuambie, “Njoo hapa” kuliko wewe kujiaibisha mbele ya mkuu.
det er bedre, du faar Bud: »Kom herop!« end man flytter dig ned for en Stormands Øjne. Hvad end dine Øjne har set,
8 Usiharakishe kufanya kuhukumu, kwa kile ulichokishuhudia. Maana utafanya nini mwishoni, wakati jirani yako atakapokuaibisha?
skrid ikke til Trætte straks; thi hvad vil du siden gøre, naar din Næste gør dig til Skamme?
9 Jitetee kesi yako kati ya jirani yako na wewe na usifunue siri ya mtu mwingine,
Før Sagen med din Næste til Ende, men røb ej Andenmands Hemmelighed,
10 au vinginevyo anayekusikia ataleta aibu juu yako na taarifa mbaya juu yako haiwezi kunyamazishwa.
thi ellers vil den, der hører det, smæde dig og dit onde Rygte aldrig dø hen.
11 Kunena maneno yenye kuchaguliwa vizuri, ni kama nakshi za dhahabu iliyoungwa kwenye fedha.
Æbler af Guld i Skaale af Sølv er Ord, som tales i rette Tid.
12 Kama pete ya dhahabu au kito kilichotengenezwa kwa dhahabu safi ndivyo lilivyo karipio la busara kwenye sikio linalosikia.
En Guldring, et gyldent Smykke er revsende Vismand for lyttende Øre.
13 Kama baridi ya theluji wakati wa mavuno ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwa wenye kumtuma; huyahifadhi maisha ya mabwana wake.
Som kølende Sne en Dag i Høst er paalideligt Bud for dem, der sender ham; han kvæger sin Herres Sjæl.
14 Kama mawingu na upepo bila mvua ndivyo alivyo mwenye kujisifu kuhusu zawadi asiyoitoa.
Som Skyer og Blæst uden Regn er en Mand, der skryder med skrømtet Gavmildhed.
15 Kwa uvumilivu mtawala anaweza kushawishiwa na ulimi raini unaweza kuvunja mfupa.
Ved Taalmod overtales en Dommer, mild Tunge sønderbryder Ben.
16 Kama utapata asali, kula ya kutosha- vingenevyo, ukila nyingi sana, utaitapika.
Finder du Honning, saa spis til Behov, at du ikke bliver mæt og igen spyr den ud.
17 Usiweke mguu wako kwenye nyumba ya jirani yako mara nyingi, anaweza kuchoshwa nawe na kukuchukia.
Sæt sjældent din Fod i din Næstes Hus, at han ej faar for meget af dig og ledes.
18 Mtu anayetoa ushuhuda wa uongo dhidi ya jirani yake ni kama rungu lililotumiwa katika vita, au upanga, au mshale mkali.
Som Stridsøkse, Sværd og hvassen Pil er den, der vidner falsk mod sin Næste.
19 Kumtumaini mtu asiye mwaminifu wakati wa taabu ni kama jino bovu au mguu unaoteleza.
Som ormstukken Tand og vaklende Fod er troløs Mand paa Trængselens Dag.
20 Kama mtu anayevua nguo katika hali ya baridi, au kama siki iliyotiwa kwenye magadi, ndivyo alivyo anayeimba wimbo kwa mwenye moyo mzito.
Som at lægge Frakken, naar det er Frost, og hælde surt over Natron, saa er det at synge for mismodig Mand.
21 Kama adui yako ana njaa, mpe chakula ale na kama ana kiu, mpe maji ya kunywa,
Sulter din Fjende, saa giv ham at spise, tørster han, giv ham at drikke;
22 maana utamwekea mkaa juu ya kichwa chake na Yehova atakupa thawabu.
da sanker du gloende Kul paa hans Hoved, og HERREN lønner dig for det.
23 Ni hakika upepo wa kaskazini huleta mvua, ndivyo mtu anayesema siri hufanya sura zikasirike.
Nordenvind fremkalder Regn, bagtalende Tunge vrede Miner.
24 Ni bora kuishi kwenye pembe ya darini kuliko kuchangia nyumba pamoja na mwanamke mgomvi.
Hellere bo i en Krog paa Taget end fælles Hus med trættekær Kvinde.
25 Kama maji ya baridi kwa mwenye kiu, ndivyo ilivyo habari njema kutoka nchi ya mbali.
Hvad koldt Vand er for en vansmægtet Sjæl, er Glædesbud fra et Land i det fjerne.
26 Kama chemchemi iliyochafuliwa au kisima kilichoharibiwa ndivyo alivyo mtu mwema ambaye huyumbayumba mbele ya watu waovu.
Som grumset Kilde og ødelagt Væld er retfærdig, der vakler i gudløses Paasyn.
27 Si vema kula asali nyingi mno; hivyo ni kama kutafuta heshima baada heshima.
Ej godt at spise for megen Honning, spar paa hædrende Ord.
28 Mtu bila kujitawala ni kama mji ulibomolewa na usiokuwa na kuta.
Som aaben By uden Mur er en Mand, der ikke kan styre sit Sind.