< Mithali 24 >
1 Usiwe na husuda kwa wenye ubaya, wala usitamani kuambatana nao,
Pa fè anvi a moun mechan, ni dezire pou avèk yo;
2 kwa sababu mioyo yao inapanga njama za vurugu na midomo ya huongea juu ya madhara.
paske panse yo fòmante vyolans e lèv yo pale inikite.
3 Kwa hekima nyumba hujengwa na kwa ufahamu huimarishwa.
Avèk sajès, kay la bati e avèk bon konprann, li vin etabli.
4 Kwa maarifa vyumba hujazwa vitu vyote vya thamani na utajiri wa kupendeza.
Pa konesans, chanm yon moun vin ranpli avèk tout bèl kalite richès.
5 Shujaa wa hekima ni imara, na mtu wa maarifa huongeza nguvu zake;
Yon nonm saj byen fò, e yon nonm ak konesans ogmante pouvwa li.
6 maana kwa uongozi wa busara unaweza kufanya vita na kwa washauri wengi kuna ushindi.
Paske ak konsèy saj ou va fè lagè, e ak konseye an abondans, gen viktwa.
7 Hekima ipo juu sana kwa mpumbavu; hafumbui kinywa chake kwenye mlango.
Sajès twò wo pou moun ensanse a; li pa ouvri bouch li nan pòtay la.
8 Kuna yule mwenye kupanga kufanya mabaya- watu wanamwita bwana wa njama.
Yon moun ki fè plan pou fè mal, moun va rele li magouyè.
9 Mipango ya mpumbavu ni dhambi na watu humchukia mwenye dhihaka.
Fòmante foli se peche, e mokè a abominab a tout moun.
10 Kama utakuwa dhaifu na mwenye kuogopa siku ya taabu, basi nguvu zako ni haba.
Si ou lach nan jou gran pwoblèm nan, fòs ou pa fò.
11 Waokoe wanaochukuliwa kwenda kwenye mauti na uwashikilie wale wanaopepesuka kwenda kwa mchinjaji.
Delivre sila k ap mennen vè lanmò a, ak sila k ap mache tonbe vè labatwa a. O, kenbe yo!
12 Kama utasema, “Tazama, hatujui chochote juu ya hili,” je yule anayepima mioyo hajui unachosema? Na yule anayelinda maisha yako, je hajui? Je Mungu hatampa kila mmoja kile anachostahili?
Si ou di: “Gade, nou pa t konnen sa”; èske Li pa konsidere sa, sila ki peze kè? Epi èske Li pa konnen sa, sila kap kenbe nanm ou an? Èske Li p ap rann a lòm selon zèv li?
13 Mwanangu, kula asali kwa kuwa ni nzuri, kwa sababu matone ya sega la asali ni matamu unapoonja.
Fis mwen, manje siwo myèl, paske li bon; wi, siwo sòti nan nich lan dous pou goute.
14 Hekima ndiyo ilivyo katika nafsi yako - kama utaitafuta, tumaini lako halitabatilika na kutakuwa na tumaini.
Konnen ke sajès se konsa pou nanm ou; si ou twouve li, va gen yon avni, e espwa ou p ap anile.
15 Usisubiri kwa kuvizia kama waovu ambao hushambulia nyumba ya mwenye haki. Usiiharibu nyumba yake!
Pa kouche mete pyèj, o lòm mechan, kont kote ke moun dwat la rete a. Pa detwi kote repo li a;
16 Maana mwenye haki huanguka mara saba na kuinuka tena, lakini waovu huangushwa kwa maafa.
paske yon nonm ladwati tonbe sèt fwa e leve ankò, men se nan lè gwo malè ke mechan an tonbe.
17 Usisherekee wakati adui yako anapoanguka na wala moyo wako usifurahi anapojikwaa,
Pa rejwi lè lènmi ou tonbe. Ni pa kite kè ou kontan lè l tonbe;
18 au Yehova ataona na kutoridhika na kuondoa ghadhabu juu yake.
Oswa, SENYÈ a va wè l, vin pa kontan e detounen kòlè Li de li.
19 Usifadhaike kwa sababu ya watenda mabaya, na wala usiwahusudu watu waovu,
Pa twouble tèt ou pou malveyan yo, ni fè lanvi pou mechan yo,
20 maana mtu mbaya hana matumaini na taa ya watu waovu itazimika.
paske pou yon nonm mechan, pa gen avni. Lanp a mechan an va etenn nèt.
21 Mwanangu; mche Yehova, na umwogope mfalme, usishirikiane na watu wenye kuasi dhidi yao,
Fis mwen an, gen lakrent SENYÈ a ak wa a; pa asosye ak sila ki pa stab yo,
22 maana kwa ghafula msiba wao utakuja na ni nani ajuaye ukubwa wa uharibifu utakao kuja kutoka kwa hao wote?
paske, malè yo va leve vit. Kilès ki konnen destriksyon an k ap sòti nan yo de a.
23 Haya ni maneno ya wenye busara pia. Upendeleo katika kuhukumu kesi kwa sheria si vizuri.
Sila yo, anplis, se pawòl a sajès: Fè patipri nan jijman pa bon.
24 Anayemwambia mwenye hatia, “Wewe upo sawa,” atalaaniwa na watu na mataifa yatamchukia.
Sila ki di a mechan an: “Ou dwat”, pèp yo va modi li e nasyon yo va rayi li;
25 Bali wenye kuwakemea waovu watakuwa na furaha na zawadi za wema zitakuja kwao.
men pou sila ki repwoche mechan yo, lap wale byen ak yo. Bon benediksyon va tonbe sou yo.
26 Anayetoa jibu la kweli hutoa busu kwenye midomo.
Yon repons onèt tankou yon bo sou lèv yo.
27 Andaa kazi yako ya nje, na tayarisha kila kitu kwa ajili yako mwenyewe shambani; baada ya hapo, jenga nyumba yako.
Prepare tout travay ou a deyò; byen prepare chan ou. Apre, alò, bati kay ou.
28 Usitoe ushahidi dhidi ya jirani yako bila sababu na usidanganye kwa midomo yako.
Pa vin yon temwen kont vwazen ou san koz, e pa bay manti ak lèv ou.
29 Usiseme, “Mimi nitamtendea kile alichonitendea; nitalipiza kwa kile alichofanya.”
Pa di: “Se konsa mwen va fè l paske li te fè m konsa; mwen va rann a nonm nan selon zèv li yo.”
30 Nilikwenda jirani na shamba la mtu mvivu, nikapita kwenye shamba la mzabibu la mtu asiye na akili.
Mwen te pase nan chan parese a; akote chan rezen a nonm ki manke bon konprann nan.
31 Miiba imeota kila sehemu, ardhi ilikuwa imefunikwa kwa upupu, na ukuta wake wa mawe ulikuwa umebomoka.
Epi gade byen, li te plen ak raje pikan, e kouvri ak move zèb, Miray an wòch la te fin kraze nèt.
32 Kisha nikaliona na kufikiria juu yake; nikatazama na kupokea mafundisho.
Lè m te wè, mwen te reflechi sou sa; mwen te gade e m te resevwa enstriksyon.
33 Kulala kidogo, kusinzia kidogo, kupumzika kwa kukunja mikono kidogo-
“Yon ti dòmi, yon ti somèy, yon ti pliye men pou repoze,”
34 na umasikini huja kwa kutembea juu yako, na mahitaji yako kama askari mwenye silaha.
Konsa mizè ou va vin parèt sou ou tankou yon vòlè; ak bezwen tankou yon bandi kon zam.