< Mithali 23 >

1 Unapoketi kula pamoja na mtawala, angalia kwa uangalifu kilichopo mbele yako,
Cuando te sientes a comer con un gobernante, ten cuidado con lo que te sirven,
2 na kama ni mtu unayependa kula chakula sana weka kisu kooni.
y ponte límites si tienes mucha hambre.
3 Usitamani vinono vyake maana ni chakula cha uongo.
No seas glotón en sus finos banquetes, porque lo ofrecen con motivaciones engañosas.
4 Usifanye kazi sana ili kupata mali; uwe na busara ya kutosha ili ujue wakati wa kuacha.
No te desgastes tratando de volverte rico. ¡Sé sabio y no te afanes en ello!
5 Je utaruhusu macho yako yaangaze juu yake? Itaondoka, maana itawaa mabawa kama tai na kuruka angani.
La riqueza desaparece en un abrir y cerrar de ojos, abriendo repentinamente alas, y volando al cielo como el águila.
6 Usile chakula cha yule mwenye jicho baya- na usiwe na shauku ya vinono vyake,
No aceptes ir a comer con personas mezquinas, ni codicies sus finos banquetes,
7 maana ni mtu mwenye kuhesabu gharama ya chakula. “Kula na kunywa!” anakuambia, lakini moyo wake haupo pamoja nawe.
porque tal como son sus pensamientos, así son ellos. Ellos dicen: “¡Ven, come y bebe!” Pero en sus mentes no tienen ningún interés en ti.
8 Utatapika kiasi kidogo ulichokula na utakuwa umepoteza sifa zako njema.
Vomitarás cada pedazo que hayas comido, y las palabras de aprecio se habrán consumido.
9 Usiongee katika usikivu wa mpumbavu, maana atadharau hekima ya maneno yako.
No hables con los tontos porque ellos se burlarán de tus palabras sabias.
10 Usihamishe jiwe la mpaka wa kale au kunyang'anya mashamba ya yatima,
No muevas las fronteras antiguas, y no invadas los campos que pertenecen a huérfanos,
11 maana Mkombozi wao ni imara na atatetea kesi yao dhidi yako.
porque su Protector es poderoso y él peleará su caso contra ti.
12 Elekeza moyo wako katika mafundisho na masikio yako kwenye maneno ya maarifa.
Enfoca tu mente en la instrucción; escucha las palabras de conocimiento.
13 Usizuie kuadilisha mtoto, maana ukimchapa kwa fimbo, hatakufa.
No evites disciplinar a tus hijos, pues un golpe no los matará.
14 Ni wewe unayepaswa kumchapa kwa fimbo na kuikoa nafsi yake kuzimu. (Sheol h7585)
Si corriges con castigo físico a tu hijo, lo salvarás de la muerte. (Sheol h7585)
15 Mwanangu, kama moyo wako una busara, basi moyo wangu utafurahi pia;
Hijo mío, si piensas con sabiduría me harás feliz;
16 sehemu zangu ndani kabisa zitafurahi sana midomo yako inaponena haki.
Me deleitaré cuando hables con rectitud.
17 Usiruhusu moyo wako kuwahusudu wenye dhambi, lakini endelea kumcha Yehova siku zote.
No mires a los pecadores con envidia, sino recuerda siempre honrar al Señor,
18 Hakika tumaini lako halitaondolewa na siku zako za hapo baadaye.
porque ciertamente hay un futuro para ti, y tu esperanza no será destruida.
19 Sikia- wewe! - mwanangu, na uwe mwenye busara na uelekeze moyo wako katika njia.
Presta atención, hijo mío, y sé sabio. Asegúrate de enfocar tu mente en seguir el camino recto.
20 Usishirikiane pamoja na walevi, au pamoja na walaji wa nyama walafi,
No te juntes con los que beben mucho vino, o con los que se sacian de carne.
21 maana mlevi na mlafi wanakuwa masikini na usingizi utawavika kwa matambara.
Porque los que se emborrachan y comen de más, pierden todo lo que tienen; y pasan el tiempo adormilados, por lo cual solo les quedan trapos para vestir.
22 Msikilize baba yako ambaye alikuzaa na usimdharau mama yako wakati akiwa mzee.
Presta atención a tu padre, y no rechaces a tu madre cuando sea vieja.
23 Inunue kweli, lakini usiiuze; nunua hekima, nidhamu, na ufahamu.
Invierte en tener la verdad y no la vendas. Invierte en la sabiduría, la instrucción y la inteligencia.
24 Baba yake mwenye haki atafurahia sana, na yule amzaaye mtoto mwenye busara atamfurahia.
Los hijos que hacen el bien alegran a sus padres; un hijo sabio trae alegría a su padre.
25 Mfurahishe baba yako na mama yako na yule aliyekuzaa afurahie.
Haz que tu padre y tu madre se alegren; trae alegría a la que te parió.
26 Mwanangu, nipe moyo wako na macho yako yachunguze njia zangu.
Hijo mío, dame toda tu atención, y sigue mi ejemplo con alegría.
27 Maana malaya ni shimo refu, na mke wa mume mwingine ni kisima chembamba.
Una prostituta es como quedar atrapado en un foso. La mujer inmoral es como quedar atrapado en un pozo estrecho.
28 Anavizia kama mnyang'anyi na huongeza idadi ya wadanganyifu miongoni mwa wanadamu.
Tal como un ladrón, ella se recuesta para esperar y agarrar a los hombres por sorpresa, para que sean infieles a sus mujeres.
29 Nani mwenye taabu? Nani mwenye huzuni? Nani mwenye mapigano? Nani mwenye malalamiko? Nani mwenye majeraha bila sababu? Nani mwenye macho mekundu?
¿Quién estará en problemas? ¿Quién sufrirá dolor? ¿Quién estará en discusión? ¿Quién se quejará? ¿Quién saldrá lastimado sin razón alguna? ¿Quién tendrá los ojos enrojecidos?
30 Ni wale ambao huzengea kwenye mvinyo, wale wanaojaribu kuchanganya mvinyo.
Los que pasan mucho tiempo bebiendo vino, los que siempre están probando un nuevo cóctel.
31 Usiutazame mvinyo ukiwa mwekundu, wakati unametameta kwenye kikombe na kutelemka kwa uraini.
No dejes que la apariencia del vino te tiente, ya sea por su color rojo o por sus burbujas en la copa, o por la suavidad con que se asienta.
32 Mwisho wake unauma kama nyoka na sumu yake kama kifutu.
Al final morderá como una serpiente, y te causará dolor como víbora.
33 Macho yako yataona vitu vigeni na moyo wako utatamka vitu vya ukaidi.
Alucinarás, verás cosas extrañas, y tu mente confundida te hará decir toda clase de locuras.
34 Utakuwa kama anayelala kwenye bahari au anayelala juu ya mlingoti. “
Te tropezarás como si rodaras por el océano. Serás sacudido como quien se recuesta en el mástil de una embarcación, diciendo:
35 Wamenipiga,” utasema, “lakini sikuumia. Wamenichapa, lakini sikuwa na hisia. Nitaamka lini? Nitatafuta kinywaji kingine.”
“La gente me golpeó, pero no me dolió; me dieron azotes, pero no sentí nada. Ahora debo levantarme porque necesito otro trago”.

< Mithali 23 >