< Mithali 23 >
1 Unapoketi kula pamoja na mtawala, angalia kwa uangalifu kilichopo mbele yako,
Si tu t'assieds pour dîner à la table d'un prince, fais bien attention à ce qui te sera présenté
2 na kama ni mtu unayependa kula chakula sana weka kisu kooni.
puis étends la main, sachant qu'il convient qu'on te serve de tels mets; toutefois, même si tu as grand appétit,
3 Usitamani vinono vyake maana ni chakula cha uongo.
ne convoite point leur repas; car c'est là une vie factice.
4 Usifanye kazi sana ili kupata mali; uwe na busara ya kutosha ili ujue wakati wa kuacha.
Si tu es pauvre, n'aspire pas à la richesse; repousse-la même en pensée.
5 Je utaruhusu macho yako yaangaze juu yake? Itaondoka, maana itawaa mabawa kama tai na kuruka angani.
Si tu fixes ton regard sur elle, tu la vois disparaître; car elle a, comme l'aigle, des ailes prêtes à s'envoler, et retourne à la maison de son premier maître.
6 Usile chakula cha yule mwenye jicho baya- na usiwe na shauku ya vinono vyake,
Ne dîne pas avec un homme envieux; ne désire rien de sa table;
7 maana ni mtu mwenye kuhesabu gharama ya chakula. “Kula na kunywa!” anakuambia, lakini moyo wake haupo pamoja nawe.
car il mange et il boit comme on avalerait un cheveu. Ne l'introduis pas chez toi, et ne mange pas un morceau avec lui;
8 Utatapika kiasi kidogo ulichokula na utakuwa umepoteza sifa zako njema.
car il le vomirait et souillerait tes meilleures paroles.
9 Usiongee katika usikivu wa mpumbavu, maana atadharau hekima ya maneno yako.
Ne dis rien à l'insensé, de peur que peut-être il ne tourne en dérision tes sages discours.
10 Usihamishe jiwe la mpaka wa kale au kunyang'anya mashamba ya yatima,
Ne dépasse pas les bornes anciennes, et n'entre pas dans le champ de l'orphelin;
11 maana Mkombozi wao ni imara na atatetea kesi yao dhidi yako.
car il est fort celui que le Seigneur rachète; et, si tu es en procès avec lui, Dieu plaidera sa cause.
12 Elekeza moyo wako katika mafundisho na masikio yako kwenye maneno ya maarifa.
Livre ton cœur à la discipline, et prépare ton oreille aux paroles de la doctrine.
13 Usizuie kuadilisha mtoto, maana ukimchapa kwa fimbo, hatakufa.
Ne cesse de corriger un enfant; car si tu le frappes de verges, il n'en mourra pas.
14 Ni wewe unayepaswa kumchapa kwa fimbo na kuikoa nafsi yake kuzimu. (Sheol )
Et si tu le frappes de verges, tu sauveras son âme de la mort. (Sheol )
15 Mwanangu, kama moyo wako una busara, basi moyo wangu utafurahi pia;
Mon fils, si ton cœur est sage, tu réjouiras aussi mon cœur;
16 sehemu zangu ndani kabisa zitafurahi sana midomo yako inaponena haki.
et si tes lèvres sont droites, elles converseront avec mes lèvres.
17 Usiruhusu moyo wako kuwahusudu wenye dhambi, lakini endelea kumcha Yehova siku zote.
Que ton cœur ne porte point envie aux pécheurs; mais sois toujours dans la crainte de Dieu.
18 Hakika tumaini lako halitaondolewa na siku zako za hapo baadaye.
Car si tu observes ces choses, tu auras des descendants, et ton espérance ne sera pas trompée.
19 Sikia- wewe! - mwanangu, na uwe mwenye busara na uelekeze moyo wako katika njia.
Écoute, mon fils, et sois sage; et maintiens droites les pensées de ton cœur.
20 Usishirikiane pamoja na walevi, au pamoja na walaji wa nyama walafi,
Ne sois pas buveur de vin; évite les longs banquets et la profusion des viandes.
21 maana mlevi na mlafi wanakuwa masikini na usingizi utawavika kwa matambara.
Car l'ivrogne et le débauché mendieront; le paresseux sera revêtu de haillons en lambeaux.
22 Msikilize baba yako ambaye alikuzaa na usimdharau mama yako wakati akiwa mzee.
Écoute, mon fils, le père qui t'a engendré, et ne méprise pas ta mère parce qu'elle a vieilli.
23 Inunue kweli, lakini usiiuze; nunua hekima, nidhamu, na ufahamu.
24 Baba yake mwenye haki atafurahia sana, na yule amzaaye mtoto mwenye busara atamfurahia.
Un père juste élève bien ses enfants, et la sagesse d'un fils réjouit son âme.
25 Mfurahishe baba yako na mama yako na yule aliyekuzaa afurahie.
Que ton père et ta mère se réjouissent en toi, et que celle qui t'a enfanté soit heureuse.
26 Mwanangu, nipe moyo wako na macho yako yachunguze njia zangu.
Mon fils, donne-moi ton cœur; que tes yeux gardent mes voies.
27 Maana malaya ni shimo refu, na mke wa mume mwingine ni kisima chembamba.
La maison étrangère est comme un tonneau percé; il est étroit le puits de l'étranger.
28 Anavizia kama mnyang'anyi na huongeza idadi ya wadanganyifu miongoni mwa wanadamu.
Celui qui les recherche périra bientôt, et tout pécheur sera détruit.
29 Nani mwenye taabu? Nani mwenye huzuni? Nani mwenye mapigano? Nani mwenye malalamiko? Nani mwenye majeraha bila sababu? Nani mwenye macho mekundu?
Pour qui les gémissements? Pour qui le trouble? Pour qui les contestations? Pour qui les ennuis et les entretiens frivoles? Pour qui les repentirs inutiles? Pour qui les yeux livides?
30 Ni wale ambao huzengea kwenye mvinyo, wale wanaojaribu kuchanganya mvinyo.
N'est-ce pas pour ceux qui passent leur temps dans l'ivresse et qui hantent les lieux où l'on boit?
31 Usiutazame mvinyo ukiwa mwekundu, wakati unametameta kwenye kikombe na kutelemka kwa uraini.
Ne vous enivrez pas; mais faites votre société des hommes justes, et fréquentez-les publiquement. Car si vos yeux s'arrêtent sur les fioles et les coupes, plus tard vous marcherez plus nu qu'un pilon à mortier.
32 Mwisho wake unauma kama nyoka na sumu yake kama kifutu.
L'homme ivre finit par s'étendre comme si un serpent l'avait mordu; le venin se répand sur lui comme de la dent d'un reptile.
33 Macho yako yataona vitu vigeni na moyo wako utatamka vitu vya ukaidi.
Si tes yeux regardent une femme étrangère, la langue aussitôt divaguera,
34 Utakuwa kama anayelala kwenye bahari au anayelala juu ya mlingoti. “
et tu seras gisant comme au sein de la mer, et comme un pilote au milieu de l'orage.
35 Wamenipiga,” utasema, “lakini sikuumia. Wamenichapa, lakini sikuwa na hisia. Nitaamka lini? Nitatafuta kinywaji kingine.”
Et tu diras: On m'a frappé, et je n'en ai pas souffert; on s'est joué de moi, et je ne m'en suis pas douté; quand viendra l'aurore, pour m'en aller encore chercher des hommes avec qui je puisse me retrouver?