< Mithali 23 >
1 Unapoketi kula pamoja na mtawala, angalia kwa uangalifu kilichopo mbele yako,
for to dwell to/for to feed on with to rule to understand to understand [obj] which to/for face: before your
2 na kama ni mtu unayependa kula chakula sana weka kisu kooni.
and to set: put knife in/on/with throat your if master: men soul: appetite you(m. s.)
3 Usitamani vinono vyake maana ni chakula cha uongo.
not (to desire *Q(K)*) to/for delicacy his and he/she/it food lie
4 Usifanye kazi sana ili kupata mali; uwe na busara ya kutosha ili ujue wakati wa kuacha.
not be weary/toil to/for to enrich from understanding your to cease
5 Je utaruhusu macho yako yaangaze juu yake? Itaondoka, maana itawaa mabawa kama tai na kuruka angani.
( to fly *Q(K)*) eye your in/on/with him and nothing he for to make to make to/for him wing like/as eagle (to fly *Q(K)*) [the] heaven
6 Usile chakula cha yule mwenye jicho baya- na usiwe na shauku ya vinono vyake,
not to feed on [obj] food: bread bad: evil eye: appearance and not (to desire *Q(K)*) to/for delicacy his
7 maana ni mtu mwenye kuhesabu gharama ya chakula. “Kula na kunywa!” anakuambia, lakini moyo wake haupo pamoja nawe.
for like to calculate in/on/with soul his so he/she/it to eat and to drink to say to/for you and heart his not with you
8 Utatapika kiasi kidogo ulichokula na utakuwa umepoteza sifa zako njema.
morsel your to eat to vomit her and to ruin word your [the] pleasant
9 Usiongee katika usikivu wa mpumbavu, maana atadharau hekima ya maneno yako.
in/on/with ear: hearing fool not to speak: speak for to despise to/for understanding speech your
10 Usihamishe jiwe la mpaka wa kale au kunyang'anya mashamba ya yatima,
not to remove border: boundary forever: antiquity and in/on/with land: country orphan not to come (in): come
11 maana Mkombozi wao ni imara na atatetea kesi yao dhidi yako.
for to redeem: redeem their strong he/she/it to contend [obj] strife their with you
12 Elekeza moyo wako katika mafundisho na masikio yako kwenye maneno ya maarifa.
to come (in): bring [emph?] to/for discipline: instruction heart your and ear your to/for word knowledge
13 Usizuie kuadilisha mtoto, maana ukimchapa kwa fimbo, hatakufa.
not to withhold from youth discipline for to smite him in/on/with tribe: staff not to die
14 Ni wewe unayepaswa kumchapa kwa fimbo na kuikoa nafsi yake kuzimu. (Sheol )
you(m. s.) in/on/with tribe: staff to smite him and soul his from hell: Sheol to rescue (Sheol )
15 Mwanangu, kama moyo wako una busara, basi moyo wangu utafurahi pia;
son: child my if be wise heart your to rejoice heart my also I
16 sehemu zangu ndani kabisa zitafurahi sana midomo yako inaponena haki.
and to exult kidney my in/on/with to speak: speak lips your uprightness
17 Usiruhusu moyo wako kuwahusudu wenye dhambi, lakini endelea kumcha Yehova siku zote.
not be jealous heart your in/on/with sinner that if: except if: except in/on/with fear LORD all [the] day
18 Hakika tumaini lako halitaondolewa na siku zako za hapo baadaye.
that if: except if: except there end and hope your not to cut: eliminate
19 Sikia- wewe! - mwanangu, na uwe mwenye busara na uelekeze moyo wako katika njia.
to hear: hear you(m. s.) son: child my and be wise and to bless in/on/with way: conduct heart your
20 Usishirikiane pamoja na walevi, au pamoja na walaji wa nyama walafi,
not to be in/on/with to imbibe wine in/on/with be vile flesh to/for them
21 maana mlevi na mlafi wanakuwa masikini na usingizi utawavika kwa matambara.
for to imbibe and be vile to possess: poor and rags to clothe drowsiness
22 Msikilize baba yako ambaye alikuzaa na usimdharau mama yako wakati akiwa mzee.
to hear: hear to/for father your this to beget you and not to despise for be old mother your
23 Inunue kweli, lakini usiiuze; nunua hekima, nidhamu, na ufahamu.
truth: true to buy and not to sell wisdom and discipline: instruction and understanding
24 Baba yake mwenye haki atafurahia sana, na yule amzaaye mtoto mwenye busara atamfurahia.
(to rejoice to rejoice *Q(k)*) father righteous (and to beget *Q(K)*) wise (to rejoice *Q(K)*) in/on/with to rejoice
25 Mfurahishe baba yako na mama yako na yule aliyekuzaa afurahie.
to rejoice father your and mother your and to rejoice to beget you
26 Mwanangu, nipe moyo wako na macho yako yachunguze njia zangu.
to give: give [emph?] son: child my heart your to/for me and eye your way: conduct my (to watch *Q(K)*)
27 Maana malaya ni shimo refu, na mke wa mume mwingine ni kisima chembamba.
for pit deep to fornicate and well narrow foreign
28 Anavizia kama mnyang'anyi na huongeza idadi ya wadanganyifu miongoni mwa wanadamu.
also he/she/it like/as robber to ambush and to act treacherously in/on/with man to add
29 Nani mwenye taabu? Nani mwenye huzuni? Nani mwenye mapigano? Nani mwenye malalamiko? Nani mwenye majeraha bila sababu? Nani mwenye macho mekundu?
to/for who? woe! to/for who? pain! to/for who? (contention *Q(K)*) to/for who? complaint to/for who? wound for nothing to/for who? dullness eye
30 Ni wale ambao huzengea kwenye mvinyo, wale wanaojaribu kuchanganya mvinyo.
to/for to delay upon [the] wine to/for to come (in): come to/for to search mixed drink
31 Usiutazame mvinyo ukiwa mwekundu, wakati unametameta kwenye kikombe na kutelemka kwa uraini.
not to see: see wine for to redden for to give: do (in/on/with cup *Q(K)*) eye his to go: went in/on/with uprightness
32 Mwisho wake unauma kama nyoka na sumu yake kama kifutu.
end his like/as serpent to bite and like/as serpent to pierce
33 Macho yako yataona vitu vigeni na moyo wako utatamka vitu vya ukaidi.
eye your to see: see be a stranger and heart your to speak: speak perversity
34 Utakuwa kama anayelala kwenye bahari au anayelala juu ya mlingoti. “
and to be like/as to lie down: lay down in/on/with heart sea and like/as to lie down: lay down in/on/with head: top mast
35 Wamenipiga,” utasema, “lakini sikuumia. Wamenichapa, lakini sikuwa na hisia. Nitaamka lini? Nitatafuta kinywaji kingine.”
to smite me not be weak: ill to smite me not to know how to awake to add to seek him still