< Mithali 23 >
1 Unapoketi kula pamoja na mtawala, angalia kwa uangalifu kilichopo mbele yako,
Di da mimogo dunu ali gilisili ha: i nasea, amo esega noga: le dawa: ma.
2 na kama ni mtu unayependa kula chakula sana weka kisu kooni.
Di da ha: i manu bagade manusa: dawa: sea, di ha: i buludili mae moma.
3 Usitamani vinono vyake maana ni chakula cha uongo.
E da dia hou ogogole adoba: sa: besa: le, mae uasuli moma.
4 Usifanye kazi sana ili kupata mali; uwe na busara ya kutosha ili ujue wakati wa kuacha.
Di da noga: le molole dawa: ma. Di da liligi bagade gagumu hanaiba: le hawa: hamonana, dia gasa gufia: ne gala: mu da defea hame.
5 Je utaruhusu macho yako yaangaze juu yake? Itaondoka, maana itawaa mabawa kama tai na kuruka angani.
Dia muni amo ea ebelebe da hedolodafa si abo gelebe agoai ba: sa. Amola amo da buhiba ea ougia hinabo aligili wa: leahoabe agoai.
6 Usile chakula cha yule mwenye jicho baya- na usiwe na shauku ya vinono vyake,
Di da gegenane uasuli nasu dunu amo ea ha: i manu ida: iwane mae uasuli moma.
7 maana ni mtu mwenye kuhesabu gharama ya chakula. “Kula na kunywa!” anakuambia, lakini moyo wake haupo pamoja nawe.
Amo gegenane uasuli nasu dunu da eso huluane amo ha: i manu ea bidi bagadega lai amo dawa: lala. E da aowalale amane sia: sa, “Defea! Bu bagade ha: i amola waini moma!” Be e da ogogole sia: sa. Ea houdafa da ea asigi dawa: su defele gala.
8 Utatapika kiasi kidogo ulichokula na utakuwa umepoteza sifa zako njema.
Di da dia mai liligi amo bu isole fasimu. Amola dia ema dabuagado ofa: su sia: da ogogole ofa: su sia: udigili ha: digi agoai ba: mu.
9 Usiongee katika usikivu wa mpumbavu, maana atadharau hekima ya maneno yako.
Di gagaoui dunuma moloi dawa: su sia: amo mae sia: ma. E da dia sia: ida: iwane dawa: mu da hamedei galebe.
10 Usihamishe jiwe la mpaka wa kale au kunyang'anya mashamba ya yatima,
Musa: soge alalo legei amo maedafa gua: ma. Amola guluba: mano ilia soge amo mae wamolama.
11 maana Mkombozi wao ni imara na atatetea kesi yao dhidi yako.
Bai Hina Gode da ilima gasa bagade Gaga: su dunu esala. E da ilimagale, dima fofada: mu.
12 Elekeza moyo wako katika mafundisho na masikio yako kwenye maneno ya maarifa.
Dia olelesu dunu amo ea olelebe hamugini nabima amola noga: le hamoma.
13 Usizuie kuadilisha mtoto, maana ukimchapa kwa fimbo, hatakufa.
Dia mano da wadela: le hamosea, ema hedolo se ima. Dawa: ma: ne fasea, amo mano da hame bogomu.
14 Ni wewe unayepaswa kumchapa kwa fimbo na kuikoa nafsi yake kuzimu. (Sheol )
Be amo dawa: ma: ne fasu da ea esalusu gaga: mu. (Sheol )
15 Mwanangu, kama moyo wako una busara, basi moyo wangu utafurahi pia;
Nagofe! Di da dawa: ida: iwane lasea, na da hahawane bagade ba: mu.
16 sehemu zangu ndani kabisa zitafurahi sana midomo yako inaponena haki.
Di da dawa: su ida: iwane sia: sia: sea, na da dima nodone dawa: mu.
17 Usiruhusu moyo wako kuwahusudu wenye dhambi, lakini endelea kumcha Yehova siku zote.
Wadela: i hamosu dunu ilia hamobe amoga hamomusa: , mae mudale hanama. Be eso huluane Hina Godema nodone dawa: ma.
18 Hakika tumaini lako halitaondolewa na siku zako za hapo baadaye.
Amaiwane hamosea, di da hahawane esalumu.
19 Sikia- wewe! - mwanangu, na uwe mwenye busara na uelekeze moyo wako katika njia.
Nagofe! Nabima! Molole dawa: ma amola dia esalusu noga: le ouligima.
20 Usishirikiane pamoja na walevi, au pamoja na walaji wa nyama walafi,
Di da adini bagade nasu dunu amola ha: i fufuluba nasu dunu ilima mae gilisima.
21 maana mlevi na mlafi wanakuwa masikini na usingizi utawavika kwa matambara.
Feloai dunu amola ha: i fufuluba nasu dunu da hedolo liligi hame gagui dunu agoai ba: mu. Dia da ha: i nasu amola golasu amo fawane hamosea, di da gagadelai abula amo fawane ga: i ba: mu.
22 Msikilize baba yako ambaye alikuzaa na usimdharau mama yako wakati akiwa mzee.
Nagofe! Dia ada ea sia: noga: le nabima! E da di hame hamoi ganiaba, di da hame esalala: loba. Dia ame da da: i hamosea, e da di noga: le ouligiba: le, ema nodoma.
23 Inunue kweli, lakini usiiuze; nunua hekima, nidhamu, na ufahamu.
Moloidafa hou, olelesu, molole dawa: su amola asigi dawa: su ida: iwane gala. Amo liligi bidiga lamu da defea. Be lai dagoiba: le, eno dunuma mae alofele lama. Bai amo liligi lasu defei da gadodafa.
24 Baba yake mwenye haki atafurahia sana, na yule amzaaye mtoto mwenye busara atamfurahia.
Dunu moloidafa ea ada da hahawane bagade. Dia gofe da molole dawa: su hou lai galea, di da ema nodone dawa: mu da defea.
25 Mfurahishe baba yako na mama yako na yule aliyekuzaa afurahie.
Nagofe! Dia ada amola ame da dia hou nodone ba: ma: ne, hou moloiwane hamoma. Dia ame hahawane ba: ma: ne hamoma.
26 Mwanangu, nipe moyo wako na macho yako yachunguze njia zangu.
Nagofe! Hamugini noga: le nabima. Na esalebe defele, dia esaloma.
27 Maana malaya ni shimo refu, na mke wa mume mwingine ni kisima chembamba.
Uda hina: da: i bidi lasu amola eno wadela: i hamosu uda da bogosu sani agoai gala.
28 Anavizia kama mnyang'anyi na huongeza idadi ya wadanganyifu miongoni mwa wanadamu.
Ilia da wamolasu dunu agoane di wadela: lesimusa: desega lela. Ilia agoane hamobeba: le, dunu bagohame da ilia udama baligi fa: sa.
29 Nani mwenye taabu? Nani mwenye huzuni? Nani mwenye mapigano? Nani mwenye malalamiko? Nani mwenye majeraha bila sababu? Nani mwenye macho mekundu?
Nowa dunu da waini hano bagade nasea amola gaheabolo adini hogoi helesea, e da bagade da: i diosa amola mosolasu hamosa, amola eso huluane egasa. Ea si da maga: me gasagala: i amola ea da: i da udigili fofonomane gagai.
30 Ni wale ambao huzengea kwenye mvinyo, wale wanaojaribu kuchanganya mvinyo.
31 Usiutazame mvinyo ukiwa mwekundu, wakati unametameta kwenye kikombe na kutelemka kwa uraini.
Waini hano da ulasuyei amola faigelei gelabo ganodini bubunuma heda: sa amola noga: le da: gisa. Be dafama: ne adoba: sa: besa: le, waini hano manusa: mae magesa: ima.
32 Mwisho wake unauma kama nyoka na sumu yake kama kifutu.
Waini hano nalu, diahabe, wa: legadole, di da saya: bega gasomai agoai ba: mu.
33 Macho yako yataona vitu vigeni na moyo wako utatamka vitu vya ukaidi.
Dia da: i da felowai agoai ba: le, noga: le dawa: le sia: mu gogolei ba: mu.
34 Utakuwa kama anayelala kwenye bahari au anayelala juu ya mlingoti. “
Di da dusagai ganodini fila heda: le ahoasea da dia hagomo sasaleabe, amo agoai ba: mu.
35 Wamenipiga,” utasema, “lakini sikuumia. Wamenichapa, lakini sikuwa na hisia. Nitaamka lini? Nitatafuta kinywaji kingine.”
Di da agoane sia: mu, “Na da enoga fabela: ? Be amo na da gogolei. Abuliba: le na da noga: le hame nedigisa. Na da adini eno manu galebe.”