< Mithali 22 >

1 Jina jema huchaguliwa dhidi ya utajiri mwingi na fadhila ni bora kuliko fedha na dhahabu.
Лучше имя доброе, неже богатство много, паче же сребра и злата благодать благая.
2 Watu matajiri na masikini wanafanana katika hili - Yehova ni muumba wao wote.
Богат и нищь сретоста друг друга, обоих же Господь сотвори.
3 Mtu mwenye hekima huiona taabu na kujificha mwenyewe, bali mjinga huendelea mbele na huumia kwa ajili yake.
Худог, видев лукаваго мучима крепко, сам наказуется: безумнии же мимошедше отщетишася.
4 Thawabu ya unyenyekevu na kumcha Yehova ni utajiri, heshima na uzima.
Род премудрости страх Господень, и богатство и слава и живот.
5 Miiba na mitego hulala katika njia ya wakaidi; yeye anayelinda maisha yake atakuwa mbali navyo.
Волчцы и сети на путех стропотных, храняй же свою душу избежит их.
6 Mfundishe mtoto njia inayompasa na wakati akiwa mzee hatayaacha mafundisho hayo.
Богатии убогими имут обладати,
7 Watu matajiri huwatawala watu masikini na mwenye kukopa ni mtumwa wa yule anayekopesha.
и раби своим господем взаим дадут.
8 Yule anayepanda udhalimu atavuna taabu na fimbo ya hasira yake itanyauka.
Сеявый злая пожнет злая, язву же дел своих совершит.
9 Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa, maana anashiriki mkate wake pamoja na masikini.
Мужа тиха и даятеля любит Господь, суету же дел его скончает.
10 Mfukuze mbali mwenye dhihaka, na ugomvi utaondoka, mashindano na matukano yatakoma.
Милуяй нищаго сам препитается: от своих бо хлебов даде убогому. Победу и честь устрояет даяй дары, обаче душу погубляет стяжавших.
11 Anayependa moyo safi na mwenye maneno ya neema, atakuwa rafiki yake mfalme.
Изжени от сонмища губителя, и изыдет с ним прение: егда бо сядет в сонмищи, всех безчестит.
12 Macho ya Yehova huyaangalia maarifa, bali huyapindua maneno ya wadanganyifu.
Любит Господь преподобная сердца, приятни же Ему вси непорочнии в путех своих: устнама пасет царь (люди своя).
13 Mtu mvivu husema, “Kuna simba mtaani! Nitauwawa sehemu za njia.”
Очи Господни соблюдают чувство: презирает словеса законопреступный.
14 Kinywa cha malaya ni shimo lenye kina kirefu; hasira ya Yehova huchochewa dhidi ya yule anayetumbukia ndani yake.
Вины ищет и глаголет ленивый: лев на стезях, на путех же разбойницы.
15 Upumbavu umefungwa katika moyo wa mtoto, lakini marudi ya fimbo huutoa.
Яма глубока уста законопреступных: возненавиденый же от Господа впадется в ню. Суть путие злии пред мужем, и не любит возвратитися от них: возвратитися же подобает от пути стропотна и злаго.
16 Anayewanyanyasa watu masikini ili kuongeza mali yake, au kuwapa matajiri, atakuwa masikini.
Безумие висит на сердцы юнаго: жезл же и наказание далече (отгонит) от него.
17 Tega sikio lako na usikilize maneno ya wenye busara na utumia moyo wako katika maarifa yangu,
Обидяй убогаго многая себе зла творит, дает же богатому во оскудение (себе).
18 maana itakuwa furaha kwako kama utayaweka ndani yako, kama yote yatakuwa katika midomo yako.
Ко словесем мудрых прилагай твое ухо, и услыши моя словеса: свое же сердце утверди (к ним), да разумееши, яко добра суть.
19 Basi tumaini lako liwe kwa Yehova, ninayafundisha kwako leo- hata kwako.
И аще вложиши я в сердце твое, возвеслят тебе купно во твоих устнех.
20 Sijakuandikia wewe misemo thelathini ya mafundisho na maarifa,
Да будет ти на Господа надежда, и покажет ти путь Свой.
21 kwa kukufundisha kweli katika maneno haya yenye uaminifu, ili uwe na majibu yenye kutegemewa kwa waliokutuma?
Ты же напиши я себе трижды, на совет и смысл и разум, на широте сердца твоего: учу бо тя истинному словеси, и разума благаго слушати на ответы словесем истинным предлагаемым тебе.
22 Usimwibie masikini kwa sababu ni masikini, au kumponda kwenye lango,
Не насильствуй нищаго, зане убог есть, и не досаждай немощному во вратех:
23 maana Yehova ataitetea kesi yao, na atawaibia uzima wale waliowaibia masikini.
Господь бо имать судити его суд, и избавиши твою безбедную душу.
24 Usifanye urafiki na mtu mwenye kutawaliwa na hasira na wala usiambatane pamoja na mwenye hasira kali,
Не бывай друг мужу гневливу и со другом жестокосердым не соводворяйся:
25 au utajifunza njia zake na utakuwa chambo kwa nafsi yako.
да не когда научишися путем его и приимеши тенета души твоей.
26 Usiwe miongoni mwao wapigao mikono, mwenye kuahidi madeni.
Не вдавайся в поручение, стыдяся лица:
27 Kama umekosa njia za kulipa, nini kitaweza kuzuia mtu kuchukua kitanda chako chini yako?
егда бо не будеши имети чим искупитися, возмут постелю, яже под ребры твоими.
28 Usiondoe jiwe la mpaka la wahenga ambalo baba zako wameweka.
Не прелагай предел вечных, яже положиша отцы твои.
29 Je umemwona mtu aliyeuwawa kwenye kazi yake? Atasimama mbele ya wafalme; hatasimama mbele ya watu wa kawaida.
Прозрителну человеку и острому в делех своих пред царьми подобает стояти, и не стояти пред мужми простыми.

< Mithali 22 >