< Mithali 22 >

1 Jina jema huchaguliwa dhidi ya utajiri mwingi na fadhila ni bora kuliko fedha na dhahabu.
Mieux vaux une bonne renommée que beaucoup de richesses: au-dessus de l’argent et de l’or est la bonne amitié.
2 Watu matajiri na masikini wanafanana katika hili - Yehova ni muumba wao wote.
Le riche et le pauvre se sont rencontrés. Le créateur de l’un et de l’autre, c’est le Seigneur.
3 Mtu mwenye hekima huiona taabu na kujificha mwenyewe, bali mjinga huendelea mbele na huumia kwa ajili yake.
l’homme habile a vu le mal et s’est caché: le simple a passé outre et il a souffert du dommage.
4 Thawabu ya unyenyekevu na kumcha Yehova ni utajiri, heshima na uzima.
La fin de la modestie est la crainte du Seigneur, les richesses, la gloire et la vie.
5 Miiba na mitego hulala katika njia ya wakaidi; yeye anayelinda maisha yake atakuwa mbali navyo.
Des armes et des glaives se trouvent sur la voie du pervers; mais celui qui garde son âme s’en retire bien loin.
6 Mfundishe mtoto njia inayompasa na wakati akiwa mzee hatayaacha mafundisho hayo.
C’est un proverbe: Le jeune homme suit sa voie; lors même qu’il sera vieux, il ne s’en écartera pas.
7 Watu matajiri huwatawala watu masikini na mwenye kukopa ni mtumwa wa yule anayekopesha.
Le riche commande aux pauvres; et celui qui emprunte est l’esclave de celui qui prête.
8 Yule anayepanda udhalimu atavuna taabu na fimbo ya hasira yake itanyauka.
Celui qui sème l’iniquité moissonnera des maux, et par la verge de sa colère il sera détruit.
9 Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa, maana anashiriki mkate wake pamoja na masikini.
Celui qui est porté à la miséricorde sera béni: il a donné de son pain au pauvre. Il obtiendra la victoire et l’honneur, celui qui fait des présents; mais il ravit l’âme de ceux qui les reçoivent.
10 Mfukuze mbali mwenye dhihaka, na ugomvi utaondoka, mashindano na matukano yatakoma.
Chasse le railleur, et s’en ira avec lui la querelle, et cesseront les plaintes et les outrages.
11 Anayependa moyo safi na mwenye maneno ya neema, atakuwa rafiki yake mfalme.
Celui qui aime la pureté du cœur, à cause de la grâce de ses lèvres, aura pour ami le roi.
12 Macho ya Yehova huyaangalia maarifa, bali huyapindua maneno ya wadanganyifu.
Les yeux du Seigneur gardent la science; mais les paroles de l’homme inique sont confondues.
13 Mtu mvivu husema, “Kuna simba mtaani! Nitauwawa sehemu za njia.”
Le paresseux dit: Le lion est dehors, au milieu des rues je dois être tué.
14 Kinywa cha malaya ni shimo lenye kina kirefu; hasira ya Yehova huchochewa dhidi ya yule anayetumbukia ndani yake.
C’est une fosse profonde que la bouche de l’étrangère; celui contre qui le Seigneur est irrité y tombera.
15 Upumbavu umefungwa katika moyo wa mtoto, lakini marudi ya fimbo huutoa.
La folie est liée au cœur de l’enfant, et la verge de la discipline la fera fuir.
16 Anayewanyanyasa watu masikini ili kuongeza mali yake, au kuwapa matajiri, atakuwa masikini.
Celui qui opprime le pauvre pour augmenter ses richesses donnera lui-même à un plus riche et sera dans la détresse.
17 Tega sikio lako na usikilize maneno ya wenye busara na utumia moyo wako katika maarifa yangu,
Incline ton oreille, et écoute les paroles des sages; applique ton cœur à ma doctrine.
18 maana itakuwa furaha kwako kama utayaweka ndani yako, kama yote yatakuwa katika midomo yako.
Elle sera belle pour toi, lorsque tu la garderas au fond de ton cœur, et elle se répandra sur tes lèvres;
19 Basi tumaini lako liwe kwa Yehova, ninayafundisha kwako leo- hata kwako.
Afin que ta confiance soit dans le Seigneur: c’est pour cela que je te l’ai montrée aujourd’hui,
20 Sijakuandikia wewe misemo thelathini ya mafundisho na maarifa,
Voilà que je te l’ai décrite triplement, avec réflexion et science;
21 kwa kukufundisha kweli katika maneno haya yenye uaminifu, ili uwe na majibu yenye kutegemewa kwa waliokutuma?
Afin de te montrer la certitude et les paroles de la vérité, pour répondre à ceux qui t’ont envoyé.
22 Usimwibie masikini kwa sababu ni masikini, au kumponda kwenye lango,
Ne fais point violence au pauvre, parce qu’il est pauvre: et ne brise pas l’indigent à la porte;
23 maana Yehova ataitetea kesi yao, na atawaibia uzima wale waliowaibia masikini.
Parce que le Seigneur jugera sa cause, et il percera ceux qui ont percé son âme.
24 Usifanye urafiki na mtu mwenye kutawaliwa na hasira na wala usiambatane pamoja na mwenye hasira kali,
Ne sois pas ami d’un homme colère, et ne marche pas avec un homme furieux;
25 au utajifunza njia zake na utakuwa chambo kwa nafsi yako.
De peur que tu n’apprennes ses voies, et que tu n’en retires un scandale pour ton âme.
26 Usiwe miongoni mwao wapigao mikono, mwenye kuahidi madeni.
Ne sois point avec ceux qui engagent leurs mains, et qui se rendent caution des dettes;
27 Kama umekosa njia za kulipa, nini kitaweza kuzuia mtu kuchukua kitanda chako chini yako?
Car si tu n’as pas de quoi rendre, quel motif y a-t-il pour qu’il emporte la couverture de ton lit?
28 Usiondoe jiwe la mpaka la wahenga ambalo baba zako wameweka.
Ne dépasse pas les anciennes bornes qu’ont posées tes pères.
29 Je umemwona mtu aliyeuwawa kwenye kazi yake? Atasimama mbele ya wafalme; hatasimama mbele ya watu wa kawaida.
As-tu vu un homme prompt dans son œuvre? il se tiendra devant les rois, et il ne sera pas devant les hommes obscurs.

< Mithali 22 >