< Mithali 22 >

1 Jina jema huchaguliwa dhidi ya utajiri mwingi na fadhila ni bora kuliko fedha na dhahabu.
La réputation est préférable à de grandes richesses, Et la grâce vaut mieux que l’argent et que l’or.
2 Watu matajiri na masikini wanafanana katika hili - Yehova ni muumba wao wote.
Le riche et le pauvre se rencontrent; C’est l’Éternel qui les a faits l’un et l’autre.
3 Mtu mwenye hekima huiona taabu na kujificha mwenyewe, bali mjinga huendelea mbele na huumia kwa ajili yake.
L’homme prudent voit le mal et se cache, Mais les simples avancent et sont punis.
4 Thawabu ya unyenyekevu na kumcha Yehova ni utajiri, heshima na uzima.
Le fruit de l’humilité, de la crainte de l’Éternel, C’est la richesse, la gloire et la vie.
5 Miiba na mitego hulala katika njia ya wakaidi; yeye anayelinda maisha yake atakuwa mbali navyo.
Des épines, des pièges sont sur la voie de l’homme pervers; Celui qui garde son âme s’en éloigne.
6 Mfundishe mtoto njia inayompasa na wakati akiwa mzee hatayaacha mafundisho hayo.
Instruis l’enfant selon la voie qu’il doit suivre; Et quand il sera vieux, il ne s’en détournera pas.
7 Watu matajiri huwatawala watu masikini na mwenye kukopa ni mtumwa wa yule anayekopesha.
Le riche domine sur les pauvres, Et celui qui emprunte est l’esclave de celui qui prête.
8 Yule anayepanda udhalimu atavuna taabu na fimbo ya hasira yake itanyauka.
Celui qui sème l’iniquité moissonne l’iniquité, Et la verge de sa fureur disparaît.
9 Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa, maana anashiriki mkate wake pamoja na masikini.
L’homme dont le regard est bienveillant sera béni, Parce qu’il donne de son pain au pauvre.
10 Mfukuze mbali mwenye dhihaka, na ugomvi utaondoka, mashindano na matukano yatakoma.
Chasse le moqueur, et la querelle prendra fin; Les disputes et les outrages cesseront.
11 Anayependa moyo safi na mwenye maneno ya neema, atakuwa rafiki yake mfalme.
Celui qui aime la pureté du cœur, Et qui a la grâce sur les lèvres, a le roi pour ami.
12 Macho ya Yehova huyaangalia maarifa, bali huyapindua maneno ya wadanganyifu.
Les yeux de l’Éternel gardent la science, Mais il confond les paroles du perfide.
13 Mtu mvivu husema, “Kuna simba mtaani! Nitauwawa sehemu za njia.”
Le paresseux dit: Il y a un lion dehors! Je serai tué dans les rues!
14 Kinywa cha malaya ni shimo lenye kina kirefu; hasira ya Yehova huchochewa dhidi ya yule anayetumbukia ndani yake.
La bouche des étrangères est une fosse profonde; Celui contre qui l’Éternel est irrité y tombera.
15 Upumbavu umefungwa katika moyo wa mtoto, lakini marudi ya fimbo huutoa.
La folie est attachée au cœur de l’enfant; La verge de la correction l’éloignera de lui.
16 Anayewanyanyasa watu masikini ili kuongeza mali yake, au kuwapa matajiri, atakuwa masikini.
Opprimer le pauvre pour augmenter son bien, C’est donner au riche pour n’arriver qu’à la disette.
17 Tega sikio lako na usikilize maneno ya wenye busara na utumia moyo wako katika maarifa yangu,
Prête l’oreille, et écoute les paroles des sages; Applique ton cœur à ma science.
18 maana itakuwa furaha kwako kama utayaweka ndani yako, kama yote yatakuwa katika midomo yako.
Car il est bon que tu les gardes au-dedans de toi, Et qu’elles soient toutes présentes sur tes lèvres.
19 Basi tumaini lako liwe kwa Yehova, ninayafundisha kwako leo- hata kwako.
Afin que ta confiance repose sur l’Éternel, Je veux t’instruire aujourd’hui, oui, toi.
20 Sijakuandikia wewe misemo thelathini ya mafundisho na maarifa,
N’ai-je pas déjà pour toi mis par écrit Des conseils et des réflexions,
21 kwa kukufundisha kweli katika maneno haya yenye uaminifu, ili uwe na majibu yenye kutegemewa kwa waliokutuma?
Pour t’enseigner des choses sûres, des paroles vraies, Afin que tu répondes par des paroles vraies à celui qui t’envoie?
22 Usimwibie masikini kwa sababu ni masikini, au kumponda kwenye lango,
Ne dépouille pas le pauvre, parce qu’il est pauvre, Et n’opprime pas le malheureux à la porte;
23 maana Yehova ataitetea kesi yao, na atawaibia uzima wale waliowaibia masikini.
Car l’Éternel défendra leur cause, Et il ôtera la vie à ceux qui les auront dépouillés.
24 Usifanye urafiki na mtu mwenye kutawaliwa na hasira na wala usiambatane pamoja na mwenye hasira kali,
Ne fréquente pas l’homme colère, Ne va pas avec l’homme violent,
25 au utajifunza njia zake na utakuwa chambo kwa nafsi yako.
De peur que tu ne t’habitues à ses sentiers, Et qu’ils ne deviennent un piège pour ton âme.
26 Usiwe miongoni mwao wapigao mikono, mwenye kuahidi madeni.
Ne sois pas parmi ceux qui prennent des engagements, Parmi ceux qui cautionnent pour des dettes;
27 Kama umekosa njia za kulipa, nini kitaweza kuzuia mtu kuchukua kitanda chako chini yako?
Si tu n’as pas de quoi payer, Pourquoi voudrais-tu qu’on enlève ton lit de dessous toi?
28 Usiondoe jiwe la mpaka la wahenga ambalo baba zako wameweka.
Ne déplace pas la borne ancienne, Que tes pères ont posée.
29 Je umemwona mtu aliyeuwawa kwenye kazi yake? Atasimama mbele ya wafalme; hatasimama mbele ya watu wa kawaida.
Si tu vois un homme habile dans son ouvrage, Il se tient auprès des rois; Il ne se tient pas auprès des gens obscurs.

< Mithali 22 >