< Mithali 22 >
1 Jina jema huchaguliwa dhidi ya utajiri mwingi na fadhila ni bora kuliko fedha na dhahabu.
to choose name from riches many from silver: money and from gold favor pleasant
2 Watu matajiri na masikini wanafanana katika hili - Yehova ni muumba wao wote.
rich and be poor to meet to make all their LORD
3 Mtu mwenye hekima huiona taabu na kujificha mwenyewe, bali mjinga huendelea mbele na huumia kwa ajili yake.
prudent to see: see distress: harm (and to hide *Q(K)*) and simple to pass and to fine
4 Thawabu ya unyenyekevu na kumcha Yehova ni utajiri, heshima na uzima.
consequence humility fear LORD riches and glory and life
5 Miiba na mitego hulala katika njia ya wakaidi; yeye anayelinda maisha yake atakuwa mbali navyo.
thorn snare in/on/with way: conduct twisted to keep: guard soul his to remove from them
6 Mfundishe mtoto njia inayompasa na wakati akiwa mzee hatayaacha mafundisho hayo.
to dedicate to/for youth upon lip: word way: conduct his also for be old not to turn aside: depart from her
7 Watu matajiri huwatawala watu masikini na mwenye kukopa ni mtumwa wa yule anayekopesha.
rich in/on/with be poor to rule and servant/slave to borrow to/for man to borrow
8 Yule anayepanda udhalimu atavuna taabu na fimbo ya hasira yake itanyauka.
to sow injustice (to reap *Q(k)*) evil: trouble and tribe: staff fury his to end: expend
9 Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa, maana anashiriki mkate wake pamoja na masikini.
pleasant eye he/she/it to bless for to give: give from food: bread his to/for poor
10 Mfukuze mbali mwenye dhihaka, na ugomvi utaondoka, mashindano na matukano yatakoma.
to drive out: drive out to mock and to come out: come strife and to cease judgment and dishonor
11 Anayependa moyo safi na mwenye maneno ya neema, atakuwa rafiki yake mfalme.
to love: lover (pure *Q(K)*) heart favor lip: words his neighbor his king
12 Macho ya Yehova huyaangalia maarifa, bali huyapindua maneno ya wadanganyifu.
eye LORD to watch knowledge and to pervert word to act treacherously
13 Mtu mvivu husema, “Kuna simba mtaani! Nitauwawa sehemu za njia.”
to say sluggish lion in/on/with outside in/on/with midst street/plaza to murder
14 Kinywa cha malaya ni shimo lenye kina kirefu; hasira ya Yehova huchochewa dhidi ya yule anayetumbukia ndani yake.
pit deep lip be a stranger be indignant LORD (to fall: fall *Q(k)*) there
15 Upumbavu umefungwa katika moyo wa mtoto, lakini marudi ya fimbo huutoa.
folly to conspire in/on/with heart youth tribe: staff discipline to remove her from him
16 Anayewanyanyasa watu masikini ili kuongeza mali yake, au kuwapa matajiri, atakuwa masikini.
to oppress poor to/for to multiply to/for him to give: give to/for rich surely to/for need
17 Tega sikio lako na usikilize maneno ya wenye busara na utumia moyo wako katika maarifa yangu,
to stretch ear your and to hear: hear word wise and heart your to set: make to/for knowledge my
18 maana itakuwa furaha kwako kama utayaweka ndani yako, kama yote yatakuwa katika midomo yako.
for pleasant for to keep: guard them in/on/with belly: body your to establish: prepare together upon lips your
19 Basi tumaini lako liwe kwa Yehova, ninayafundisha kwako leo- hata kwako.
to/for to be in/on/with LORD confidence your to know you [the] day also you(m. s.)
20 Sijakuandikia wewe misemo thelathini ya mafundisho na maarifa,
not to write to/for you (officer *Q(K)*) in/on/with counsel and knowledge
21 kwa kukufundisha kweli katika maneno haya yenye uaminifu, ili uwe na majibu yenye kutegemewa kwa waliokutuma?
to/for to know you truth word truth: true to/for to return: reply word truth: true to/for to send: depart you
22 Usimwibie masikini kwa sababu ni masikini, au kumponda kwenye lango,
not to plunder poor for poor he/she/it and not to crush afflicted in/on/with gate
23 maana Yehova ataitetea kesi yao, na atawaibia uzima wale waliowaibia masikini.
for LORD to contend strife their and to rob [obj] to rob them soul: life
24 Usifanye urafiki na mtu mwenye kutawaliwa na hasira na wala usiambatane pamoja na mwenye hasira kali,
not to accompany with master: men face: anger and with man rage not to come (in): come
25 au utajifunza njia zake na utakuwa chambo kwa nafsi yako.
lest to teach/learn (way his *Q(K)*) and to take: recieve snare to/for soul: myself your
26 Usiwe miongoni mwao wapigao mikono, mwenye kuahidi madeni.
not to be in/on/with to blow palm in/on/with to pledge loan
27 Kama umekosa njia za kulipa, nini kitaweza kuzuia mtu kuchukua kitanda chako chini yako?
if nothing to/for you to/for to complete to/for what? to take: take bed your from underneath: under you
28 Usiondoe jiwe la mpaka la wahenga ambalo baba zako wameweka.
not to remove border: boundary forever: antiquity which to make father your
29 Je umemwona mtu aliyeuwawa kwenye kazi yake? Atasimama mbele ya wafalme; hatasimama mbele ya watu wa kawaida.
to see man quick in/on/with work his to/for face: before king to stand not to stand to/for face: before obscure