< Mithali 22 >

1 Jina jema huchaguliwa dhidi ya utajiri mwingi na fadhila ni bora kuliko fedha na dhahabu.
De naam is uitgelezener dan grote rijkdom, de goede gunst dan zilver en dan goud.
2 Watu matajiri na masikini wanafanana katika hili - Yehova ni muumba wao wote.
Rijken en armen ontmoeten elkander; de HEERE heeft hen allen gemaakt.
3 Mtu mwenye hekima huiona taabu na kujificha mwenyewe, bali mjinga huendelea mbele na huumia kwa ajili yake.
Een kloekzinnig mens ziet het kwaad, en verbergt zich; maar de slechten gaan henen door, en worden gestraft.
4 Thawabu ya unyenyekevu na kumcha Yehova ni utajiri, heshima na uzima.
Het loon der nederigheid, met de vreze des HEEREN, is rijkdom, en eer, en leven.
5 Miiba na mitego hulala katika njia ya wakaidi; yeye anayelinda maisha yake atakuwa mbali navyo.
Doornen en strikken, zijn in den weg des verkeerden; die zijn ziel bewaart, zal zich verre van die maken.
6 Mfundishe mtoto njia inayompasa na wakati akiwa mzee hatayaacha mafundisho hayo.
Leer den jongen de eerste beginselen naar den eis zijns wegs; als hij ook oud zal geworden zijn, zal hij daarvan niet afwijken.
7 Watu matajiri huwatawala watu masikini na mwenye kukopa ni mtumwa wa yule anayekopesha.
De rijke heerst over de armen; en die ontleent, is des leners knecht.
8 Yule anayepanda udhalimu atavuna taabu na fimbo ya hasira yake itanyauka.
Die onrecht zaait, zal moeite maaien; en de roede zijner verbolgenheid zal een einde nemen.
9 Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa, maana anashiriki mkate wake pamoja na masikini.
Die goed van oog is, die zal gezegend worden; want hij heeft van zijn brood den armen gegeven.
10 Mfukuze mbali mwenye dhihaka, na ugomvi utaondoka, mashindano na matukano yatakoma.
Drijf den spotter uit, en het gekijf zal weggaan, en het geschil met de schande zal ophouden.
11 Anayependa moyo safi na mwenye maneno ya neema, atakuwa rafiki yake mfalme.
Die de reinheid des harten liefheeft, wiens lippen aangenaam zijn, diens vriend is de koning.
12 Macho ya Yehova huyaangalia maarifa, bali huyapindua maneno ya wadanganyifu.
De ogen des HEEREN bewaren de wetenschap; maar de zaken des trouwelozen zal Hij omkeren.
13 Mtu mvivu husema, “Kuna simba mtaani! Nitauwawa sehemu za njia.”
De luiaard zegt: Er is een leeuw buiten; ik mocht op het midden der straten gedood worden!
14 Kinywa cha malaya ni shimo lenye kina kirefu; hasira ya Yehova huchochewa dhidi ya yule anayetumbukia ndani yake.
De mond der vreemde vrouwen is een diepe gracht; op welken de HEERE vergramd is, zal daarin vallen.
15 Upumbavu umefungwa katika moyo wa mtoto, lakini marudi ya fimbo huutoa.
De dwaasheid is in het hart des jongen gebonden; de roede der tucht zal ze verre van hem wegdoen.
16 Anayewanyanyasa watu masikini ili kuongeza mali yake, au kuwapa matajiri, atakuwa masikini.
Die den arme verdrukt, om het zijne te vermeerderen, en den rijke geeft, komt zekerlijk tot gebrek.
17 Tega sikio lako na usikilize maneno ya wenye busara na utumia moyo wako katika maarifa yangu,
Neig uw oor, en hoor de woorden der wijzen, en stel uw hart tot mijn wetenschap;
18 maana itakuwa furaha kwako kama utayaweka ndani yako, kama yote yatakuwa katika midomo yako.
Want het is liefelijk, als gij die in uw binnenste bewaart; zij zullen samen op uw lippen gepast worden.
19 Basi tumaini lako liwe kwa Yehova, ninayafundisha kwako leo- hata kwako.
Opdat uw vertrouwen op den HEERE zij, maak ik u die heden bekend; gij ook maak ze bekend.
20 Sijakuandikia wewe misemo thelathini ya mafundisho na maarifa,
Heb ik u niet heerlijke dingen geschreven van allerlei raad en wetenschap?
21 kwa kukufundisha kweli katika maneno haya yenye uaminifu, ili uwe na majibu yenye kutegemewa kwa waliokutuma?
Om u bekend te maken de zekerheid van de redenen der waarheid; opdat gij de redenen der waarheid antwoorden moogt dengenen, die u zenden.
22 Usimwibie masikini kwa sababu ni masikini, au kumponda kwenye lango,
Beroof den arme niet, omdat hij arm is; en verbrijzel den ellendige niet in de poort.
23 maana Yehova ataitetea kesi yao, na atawaibia uzima wale waliowaibia masikini.
Want de HEERE zal hun twistzaak twisten, en Hij zal dengenen, die hen beroven, de ziel roven.
24 Usifanye urafiki na mtu mwenye kutawaliwa na hasira na wala usiambatane pamoja na mwenye hasira kali,
Vergezelschap u niet met een grammoedige, en ga niet om met een zeer grimmig man;
25 au utajifunza njia zake na utakuwa chambo kwa nafsi yako.
Opdat gij zijn paden niet leert, en een strik over uw ziel haalt.
26 Usiwe miongoni mwao wapigao mikono, mwenye kuahidi madeni.
Wees niet onder degenen, die in de hand klappen, onder degenen, die voor schulden borg zijn.
27 Kama umekosa njia za kulipa, nini kitaweza kuzuia mtu kuchukua kitanda chako chini yako?
Zo gij niet hadt om te betalen, waarom zou men uw bed van onder u wegnemen?
28 Usiondoe jiwe la mpaka la wahenga ambalo baba zako wameweka.
Zet de oude palen niet terug, die uw vaderen gemaakt hebben.
29 Je umemwona mtu aliyeuwawa kwenye kazi yake? Atasimama mbele ya wafalme; hatasimama mbele ya watu wa kawaida.
Hebt gij een man gezien, die vaardig in zijn werk is? Hij zal voor het aangezicht der koningen gesteld worden; voor het aangezicht der ongeachte lieden zal hij niet gesteld worden.

< Mithali 22 >