< Mithali 22 >
1 Jina jema huchaguliwa dhidi ya utajiri mwingi na fadhila ni bora kuliko fedha na dhahabu.
Dobro je ime bolje od velika bogatstva, i bolja je naklonost od srebra i zlata.
2 Watu matajiri na masikini wanafanana katika hili - Yehova ni muumba wao wote.
Bogataš se i siromah sreću: obojicu ih Jahve stvori.
3 Mtu mwenye hekima huiona taabu na kujificha mwenyewe, bali mjinga huendelea mbele na huumia kwa ajili yake.
Pametan čovjek vidi zlo i skrije se, a glupaci idu bezbrižno i trpe kaznu.
4 Thawabu ya unyenyekevu na kumcha Yehova ni utajiri, heshima na uzima.
Nagrada je poniznosti strah Gospodnji, bogatstvo, čast i život.
5 Miiba na mitego hulala katika njia ya wakaidi; yeye anayelinda maisha yake atakuwa mbali navyo.
Trnje i zamke su na putu varalici: tko čuva život svoj, daleko je od oboga.
6 Mfundishe mtoto njia inayompasa na wakati akiwa mzee hatayaacha mafundisho hayo.
Upućuj dijete prema njegovu putu, pa kad i ostari, neće odstupiti od njega.
7 Watu matajiri huwatawala watu masikini na mwenye kukopa ni mtumwa wa yule anayekopesha.
Bogataš vlada nad siromasima, a dužnik je sluga vjerovniku.
8 Yule anayepanda udhalimu atavuna taabu na fimbo ya hasira yake itanyauka.
Tko sije nepravdu, žanje nesreću, i šiba njegova gnjeva udarit će njega samog.
9 Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa, maana anashiriki mkate wake pamoja na masikini.
Milostivo se oko blagoslivlje, jer daje od svog kruha siromahu.
10 Mfukuze mbali mwenye dhihaka, na ugomvi utaondoka, mashindano na matukano yatakoma.
Otjeraj podsmjevača i prestat će svađe i nestat će nesloga i pogrda.
11 Anayependa moyo safi na mwenye maneno ya neema, atakuwa rafiki yake mfalme.
Jahve ljubi čisto srce, i tko je ljubeznih usana, kralj mu je prijatelj.
12 Macho ya Yehova huyaangalia maarifa, bali huyapindua maneno ya wadanganyifu.
Pogled Jahvin čuva znanje, Jahve pomućuje riječi bezbožnika.
13 Mtu mvivu husema, “Kuna simba mtaani! Nitauwawa sehemu za njia.”
Lijenčina veli: “Lav je vani, nasred trga poginuo bih.”
14 Kinywa cha malaya ni shimo lenye kina kirefu; hasira ya Yehova huchochewa dhidi ya yule anayetumbukia ndani yake.
Duboka jama usta su preljubnice, i na koga se Jahve srdi, pada onamo.
15 Upumbavu umefungwa katika moyo wa mtoto, lakini marudi ya fimbo huutoa.
Ludost prianja uza srce djetinje: šiba pouke otklanja je od njega.
16 Anayewanyanyasa watu masikini ili kuongeza mali yake, au kuwapa matajiri, atakuwa masikini.
Tko tlači siromaha, taj mu koristi; tko daje bogatašu, samo mu šteti.
17 Tega sikio lako na usikilize maneno ya wenye busara na utumia moyo wako katika maarifa yangu,
Riječi mudraca: Prigni uho svoje i čuj riječi moje i upravi svoje srce mojem znanju,
18 maana itakuwa furaha kwako kama utayaweka ndani yako, kama yote yatakuwa katika midomo yako.
jer milina je ako ih čuvaš u nutrini svojoj, i kad ti budu sve spremne na usnama tvojim.
19 Basi tumaini lako liwe kwa Yehova, ninayafundisha kwako leo- hata kwako.
Da bi uzdanje tvoje bilo u Jahvi, upućujem danas i tebe.
20 Sijakuandikia wewe misemo thelathini ya mafundisho na maarifa,
Napisah ti trideset što savjeta što pouka
21 kwa kukufundisha kweli katika maneno haya yenye uaminifu, ili uwe na majibu yenye kutegemewa kwa waliokutuma?
da te poučim riječima istine, da uzmogneš pouzdanim riječima odgovoriti onomu tko te zapita.
22 Usimwibie masikini kwa sababu ni masikini, au kumponda kwenye lango,
Nemoj pljačkati siromaha zato što je siromah i ne gazi ubogoga na sudu.
23 maana Yehova ataitetea kesi yao, na atawaibia uzima wale waliowaibia masikini.
Jer će Jahve parbiti parbu njihovu i otet će život onima koji ga njima otimlju.
24 Usifanye urafiki na mtu mwenye kutawaliwa na hasira na wala usiambatane pamoja na mwenye hasira kali,
Ne druži se sa srditim i ne idi s čovjekom jedljivim
25 au utajifunza njia zake na utakuwa chambo kwa nafsi yako.
da se ne bi privikao na staze njegove i namjestio zamku duši svojoj.
26 Usiwe miongoni mwao wapigao mikono, mwenye kuahidi madeni.
Ne budi među onima koji daju ruku, koji jamče za dugove:
27 Kama umekosa njia za kulipa, nini kitaweza kuzuia mtu kuchukua kitanda chako chini yako?
ako nemaš čime nadoknaditi, zašto da ti oduzmu i postelju ispod tebe?
28 Usiondoe jiwe la mpaka la wahenga ambalo baba zako wameweka.
Ne pomiči prastare međe koju su postavili oci tvoji.
29 Je umemwona mtu aliyeuwawa kwenye kazi yake? Atasimama mbele ya wafalme; hatasimama mbele ya watu wa kawaida.
Jesi li vidio čovjeka vična poslu svom: takav ima pristup kraljevima i ne služi prostacima.