< Mithali 22 >

1 Jina jema huchaguliwa dhidi ya utajiri mwingi na fadhila ni bora kuliko fedha na dhahabu.
Hnopai moikapap hlak hai minhawinae heh rawi hanelah ao, tangka hoi sui hlak hai ayâ ni pahrennae heh ngaihnawn hanelah ao.
2 Watu matajiri na masikini wanafanana katika hili - Yehova ni muumba wao wote.
Tami ka tawnta hoi tamimathoe rei a tawn roi e teh, BAWIPA teh bangpueng kasakkung doeh.
3 Mtu mwenye hekima huiona taabu na kujificha mwenyewe, bali mjinga huendelea mbele na huumia kwa ajili yake.
Kâhruetcuet e ni teh hnokathout a hmu navah a kâhro, hatei kamawngrame ni teh a ceisin teh rek e lah ouk ao.
4 Thawabu ya unyenyekevu na kumcha Yehova ni utajiri, heshima na uzima.
Kârahnoumnae hoi BAWIPA takinae ni tawntanae hoi barinae hoi hringnae a tâcokhai.
5 Miiba na mitego hulala katika njia ya wakaidi; yeye anayelinda maisha yake atakuwa mbali navyo.
Lam longkawi dawk teh pâkhing hoi karap ao teh, a hringnae lamthung ka ring e teh hotnaw hoi ahlanae koe doeh ao.
6 Mfundishe mtoto njia inayompasa na wakati akiwa mzee hatayaacha mafundisho hayo.
Camo ni a dawn hane lamthung pâtu haw, a matawng to hai phen mahoeh toe.
7 Watu matajiri huwatawala watu masikini na mwenye kukopa ni mtumwa wa yule anayekopesha.
Tami ka tawnta ni tamimathoe a uk, ka câwi e tami teh kacâwisakkung koe san lah ao.
8 Yule anayepanda udhalimu atavuna taabu na fimbo ya hasira yake itanyauka.
Payonpakainae cati ka tu e ni lungmathoenae a a vaiteh, a lungkhueknae sonron a khoe han.
9 Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa, maana anashiriki mkate wake pamoja na masikini.
Pahrennae mit ka tawn e teh yawhawi a coe han, bangkongtetpawiteh tamimathoenaw ouk a kawk toe.
10 Mfukuze mbali mwenye dhihaka, na ugomvi utaondoka, mashindano na matukano yatakoma.
Dudamnaw pâlei haw kâounnae tang a roum han, kâyuenae hoi kâpakungnae hai a roum han.
11 Anayependa moyo safi na mwenye maneno ya neema, atakuwa rafiki yake mfalme.
A lungthin ka thoung e teh, kamcu e lawk a dei dawkvah siangpahrang e hui kahawicalah ao han.
12 Macho ya Yehova huyaangalia maarifa, bali huyapindua maneno ya wadanganyifu.
BAWIPA mit ni panuenae a kountouk, hatei yuemnae ka tawn hoeh e lawk teh ouk a takhoe.
13 Mtu mvivu husema, “Kuna simba mtaani! Nitauwawa sehemu za njia.”
Ka pangak e tami ni alawilah sendek ao, lam vah na kei han doeh, ouk a ti.
14 Kinywa cha malaya ni shimo lenye kina kirefu; hasira ya Yehova huchochewa dhidi ya yule anayetumbukia ndani yake.
Napui kahawihoehe pahni teh kadunge tangkom doeh, BAWIPA ni a panuet e teh hawvah a bo han.
15 Upumbavu umefungwa katika moyo wa mtoto, lakini marudi ya fimbo huutoa.
Pathunae heh camo lungthin dawk a kâbet teh, yuenae bongpai ni ahlanae koe ouk a pâlei.
16 Anayewanyanyasa watu masikini ili kuongeza mali yake, au kuwapa matajiri, atakuwa masikini.
Ma mek nahanelah tamimathoenaw ka rektap e hoi, katawntanaw ka poe e tami teh hoehoe a mathoe han.
17 Tega sikio lako na usikilize maneno ya wenye busara na utumia moyo wako katika maarifa yangu,
Tamilungkaangnaw e lawk heh kahawicalah thai nateh, na lungthin hoi kaie lungangnae hah dâw haw.
18 maana itakuwa furaha kwako kama utayaweka ndani yako, kama yote yatakuwa katika midomo yako.
Bangkongtetpawiteh, na thung hoi na pâkuem pawiteh hothateh lunghawinae doeh, na pahni dawk pou awm seh.
19 Basi tumaini lako liwe kwa Yehova, ninayafundisha kwako leo- hata kwako.
Hottelahoi BAWIPA teh na kâuep thai han, sahnin vah nang koe na panuesak toe.
20 Sijakuandikia wewe misemo thelathini ya mafundisho na maarifa,
Kâpankhainae hoi panuenae kahawi poung e hah na thut pouh toe nahoehmaw.
21 kwa kukufundisha kweli katika maneno haya yenye uaminifu, ili uwe na majibu yenye kutegemewa kwa waliokutuma?
Nang ni lawkkatang katang na panue vaiteh, nang koe patoun e naw hah lawkkatang lawk bout na dei pouh thai han.
22 Usimwibie masikini kwa sababu ni masikini, au kumponda kwenye lango,
Mathoenaw e mathoenae hah thakâla hoi ahnie hno lawm hanh, ka cunathoehnaw hai kho longkha koe coungroe hanh.
23 maana Yehova ataitetea kesi yao, na atawaibia uzima wale waliowaibia masikini.
Bangkongtetpawiteh, BAWIPA ni ahnimae kong a pouk han doeh, ahnimae hno kalawmnaw e hringnae a lawp pouh van han.
24 Usifanye urafiki na mtu mwenye kutawaliwa na hasira na wala usiambatane pamoja na mwenye hasira kali,
A lungkaduem e tami hah kamyawngkhai hanh, a lungkhuek thai poung e tami hai kamyawngkhai hanh.
25 au utajifunza njia zake na utakuwa chambo kwa nafsi yako.
Ahnimae nuen na kamtu vaiteh, na hringnae a kâman han.
26 Usiwe miongoni mwao wapigao mikono, mwenye kuahidi madeni.
Kut tambei e taminaw hoi laiba patho pouh hanelah lawk kâkam e taminaw koe bawk van hanh.
27 Kama umekosa njia za kulipa, nini kitaweza kuzuia mtu kuchukua kitanda chako chini yako?
Patho nahane na tawn hoeh pawiteh, na ikhun tawm awh vaiteh oun na la pouh awh han nahoehmaw.
28 Usiondoe jiwe la mpaka la wahenga ambalo baba zako wameweka.
Na mintoenaw ni ung e khori hah takhoe hanh.
29 Je umemwona mtu aliyeuwawa kwenye kazi yake? Atasimama mbele ya wafalme; hatasimama mbele ya watu wa kawaida.
Thaw kahawicalah ka tawk ni teh ka cuem e na hmu boi ou, siangpahrangnaw hmalah hai a kangdue han doeh, tami rumram e hmalah kangdout mahoeh.

< Mithali 22 >