< Mithali 21 >
1 Moyo wa mfalme ni mfereji wa maji katika mkono wa Yehova; anaugeuza popote anakopenda.
Le cœur du roi est comme un ruisseau dans la main de l’Eternel; il le dirige partout où il veut.
2 Kila njia ya mtu ni sawa katika macho yake mwenyewe, lakini ni Yehova anayeipima mioyo.
Aux yeux de l’homme, toutes ses voies paraissent droites, mais Dieu sonde les cœurs.
3 Kutenda haki na adili hukubaliwa zaidi na Yehova kuliko sadaka.
Pratiquer la charité et la justice est plus agréable à Dieu que le sacrifice.
4 Macho ya kiburi na moyo wa majivuno- taa ya waovu- ni dhambi.
Des yeux hautains, un cœur gonflé, tout l’éclat des méchants n’est que péché.
5 Mipango ya mwenye juhudi huelekea kwenye mafanikio tu, bali kila mtu anayetenda kwa haraka huelekea umasikini.
Les projets de l’homme actif tournent à son avantage; être impatient de s’enrichir, c’est aboutir au dénuement.
6 Kujipatia utajiri kwa ulimi wa uongo ni mvuke unaopita upesi na mtego ambao unafisha.
Les trésors acquis par une langue menteuse sont un souffle qui se dissipe, un piège mortel.
7 Vurugu ya waovu itawaburuta mbali, maana wanakataa kutenda haki.
La violence des méchants les entraîne eux-mêmes, car ils se refusent à pratiquer la justice.
8 Njia ya mwenye hatia ni ukatiri, bali mwenye usafi hutenda yaliyo ya haki.
Perverse est la voie de l’homme immoral; l’œuvre de celui qui est pur est droite.
9 Bora kuishi kwenye kona ya juu darini kuliko katika nyumba pamoja na mke mgonvi.
Mieux vaut habiter l’angle d’un toit que de partager sa demeure avec une femme acariâtre.
10 Hamu ya mwovu ni uchu wa mabaya; jirani yake haoni ukarimu katika macho yake.
L’Âme du méchant aspire au mal; même son ami ne trouve pas grâce à ses yeux.
11 Mwenye dhihaka anapoadhibiwa mjinga hupata busara, na mtu mwenye busara anapofundishwa, anaongeza maarifa.
Punissez le railleur, le niais en sera assagi; instruisez le sage, il fera accueil au savoir.
12 Atendaye haki huilinda nyumba ya mwovu; huwashusha waovu kwenye uharibifu.
Un Dieu juste observe la demeure du méchant et culbute les pervers pour leur malheur.
13 Anayeziba masikio yake kwenye kilio cha masikini, pia atalia, lakini hatajibiwa.
Qui se bouche les oreilles devant les supplications du pauvre, criera à son tour et ne sera pas exaucé.
14 Zawadi ya siri hutuliza hasira na zawadi ya kificho hutuliza ghadhabu kuu.
Un présent glissé furtivement fait tomber la colère: un cadeau offert en secret, le plus violent courroux.
15 Haki ikitendeka, huleta furaha kwa mwenye kutenda wema, lakini huleta hofu kubwa kwa watenda mabaya.
Pratiquer la justice est une joie pour l’homme de bien et un supplice pour les artisans d’iniquité.
16 Yule anayezurura kutoka kwenye njia ya ufahamu, atapumzika kwenye kusanyiko la wafu.
L’Homme qui s’égare hors de la voie de la raison ira reposer dans. la troupe des trépassés.
17 Anayependa raha atakuwa masikini; anayependa divai na mafuta hawezi kuwa tajiri.
Qui aime les plaisirs deviendra besogneux; qui a un faible pour le vin et l’huile ne fera pas fortune.
18 Mtu mbaya ni fidia kwa yule atendaye haki, na mdanganyifu ni fidia kwa waaminifu.
Le méchant sert de rançon pour le juste; le perfide sera pris pour les hommes droits.
19 Bora kuishi jangwani kuliko kuishi pamoja na mwanamke ambaye huchochea sana ugomvi na malalamiko.
Mieux vaut demeurer dans un pays désert qu’avec une femme acariâtre et irascible.
20 Hazina yenye thamani na mafuta vipo nyumbani kwa mwenye busara, bali mtu mpumbavu huviharibu.
Dans la maison du sage se conservent trésors précieux et huile; un homme sot engloutit tout.
21 Mtu atendaye haki na mwema -huyu mtu hupata uzima, haki na heshima.
Mettez-vous en quête de la justice et de la bonté: vous trouverez vie, salut et honneur.
22 Mtu mwenye busara huupima mji wa mashujaa, na huiangusha ngome wanayoitumaini.
Le sage escalade une ville pleine de guerriers et fait tomber la citadelle où elle mettait sa confiance.
23 Anayelinda kinywa chake na ulimi wake hujilinda mwenyewe na taabu.
Mettre un frein à sa bouche et à sa langue, c’est se préserver de bien des tourments.
24 Mtu mwenye kiburi na maringo- “Dhihaka” ndilo jina lake - hutenda kwa majivuno na kujidai.
Un insolent qui se pavane, son nom est "moqueur"; il agit avec une arrogance sans borne.
25 Shauku ya mtu mvivu itamuua, maana mikono yake hukataa kufanya kazi.
Les désirs du paresseux le tuent, car ses mains se refusent à agir.
26 Kwa siku nzima hupatwa na uchu na uchu zaidi, lakini atendaye haki hutoa na wala hazuii.
Sans cesse on conçoit de nouveaux désirs; mais le juste donne et ne compte pas.
27 Sadaka ya mwovu ni chukizo; huwa ni chukizo zaidi anapoileta kwa nia mbaya.
Le sacrifice des impies est une abomination, d’autant plus qu’ils l’offrent avec une arrière-pensée.
28 Shahidi wa uongo ataangamia, bali anayesikiliza ataongea kwa muda wote.
Un témoin mensonger se perd; l’homme qui sait écouter aura toujours le droit de parler.
29 Mtu mwovu huufanya uso wake kuwa mgumu, bali mtu mwadilifu ni thabiti juu ya njia zake.
L’Homme pervers paie d’audace; l’homme de bien choisit avec soin sa direction.
30 Hakuna hekima, hakuna ufahamu, na hakuna shauri linaloweza kusimama kinyume na Yehova.
Il n’y a ni sagesse, ni prudence, ni résolution qui vaillent contre l’Eternel.
31 Farasi hutayarishwa kwa siku ya mapigano, lakini ushindi hupatikana kwa Yehova.
On équipe le cheval pour le jour du combat, mais c’est l’Eternel qui est maître de la victoire.