< Mithali 21 >
1 Moyo wa mfalme ni mfereji wa maji katika mkono wa Yehova; anaugeuza popote anakopenda.
Siangpahrang lungthin teh tui ka lawng e patetlah ao teh, BAWIPA kut dawk ao dawkvah, a ngainae koe lah a lawng sak.
2 Kila njia ya mtu ni sawa katika macho yake mwenyewe, lakini ni Yehova anayeipima mioyo.
Ma e hmunae dawk teh mae hringnuen heh a lan telah pouk awh, hatei BAWIPA ni lungthin heh yawcu dawk a khing.
3 Kutenda haki na adili hukubaliwa zaidi na Yehova kuliko sadaka.
Lannae hoi kânging lah sak e heh thuengnae hlak BAWIPA ni a ngaihnawn.
4 Macho ya kiburi na moyo wa majivuno- taa ya waovu- ni dhambi.
Kâoupnae minhmai hoi lunglennae lungthin hoi tamikathoutnaw e hmaiim teh yon doeh.
5 Mipango ya mwenye juhudi huelekea kwenye mafanikio tu, bali kila mtu anayetenda kwa haraka huelekea umasikini.
Tami ka hratbat e pouknae ni tawntannae a tâcokhai, hatei kâhruetcuet hoeh e pouknae ni voutnae a tâcokhai.
6 Kujipatia utajiri kwa ulimi wa uongo ni mvuke unaopita upesi na mtego ambao unafisha.
Laithoe dei laihoi hmu e hnopai teh duenae ka tawng ni teh kahmat e patetlah ao.
7 Vurugu ya waovu itawaburuta mbali, maana wanakataa kutenda haki.
Tamikathoutnaw e lawpnae ni amamouh a raphoe han, bangkongtetpawiteh kânginglah lawkcengnae hah a pahnawt awh.
8 Njia ya mwenye hatia ni ukatiri, bali mwenye usafi hutenda yaliyo ya haki.
Tamikayon e lamthung teh a longkawi, hatei tamikalan hanelah teh a tawk e hah kalan e doeh.
9 Bora kuishi kwenye kona ya juu darini kuliko katika nyumba pamoja na mke mgonvi.
Ka hrawang e yu hoi im kalen dawk o hlak teh, lemphu imtakin koe awm pawiteh bet ahawihnawn.
10 Hamu ya mwovu ni uchu wa mabaya; jirani yake haoni ukarimu katika macho yake.
Tamikathout hringnae ni hnokathout a ngai, a imrinaw ni ahnie pahrennae hmawt awh hoeh.
11 Mwenye dhihaka anapoadhibiwa mjinga hupata busara, na mtu mwenye busara anapofundishwa, anaongeza maarifa.
Kadudame taminaw reknae dawkvah kamawngrame ni lungang a kâla awh, hatei tamilungkaangnaw cangkhai navah panuenae a hmu awh.
12 Atendaye haki huilinda nyumba ya mwovu; huwashusha waovu kwenye uharibifu.
Tamikalan ni tamikathout imthung hah kahawicalah a pouk, hatei Cathut ni tamikathoutnaw teh amamae thoenae lahoi a tâkhawng.
13 Anayeziba masikio yake kwenye kilio cha masikini, pia atalia, lakini hatajibiwa.
Tamimathoe hramnae lawk thai ngai laipalah a hnâ ka tabuem e teh, ama hai a hram toteh apinihai thai pouh mahoeh.
14 Zawadi ya siri hutuliza hasira na zawadi ya kificho hutuliza ghadhabu kuu.
Arulahoi poe e poehno ni lungphuennae, a lungtabue dawk poe e tadawnghno ni puenghoi lungkhueknae a roum sak.
15 Haki ikitendeka, huleta furaha kwa mwenye kutenda wema, lakini huleta hofu kubwa kwa watenda mabaya.
Kalan lah lawkcengnae e teh tamikalan hanelah konawmnae doeh, hatei yonnae kasaknaw teh rawknae koe a pha awh han.
16 Yule anayezurura kutoka kwenye njia ya ufahamu, atapumzika kwenye kusanyiko la wafu.
Thaipanueknae lam kaphennaw teh tamikadoutnaw kamkhuengnae koe a kâhat van han.
17 Anayependa raha atakuwa masikini; anayependa divai na mafuta hawezi kuwa tajiri.
Nawmnae dueng ka ngai e teh a mathoe han, misurtui hoi satui ka ngai poung e teh tawnta mahoeh.
18 Mtu mbaya ni fidia kwa yule atendaye haki, na mdanganyifu ni fidia kwa waaminifu.
Tamikathout teh tamikalan hanelah, Yuemkamcuhoeh e teh tamikalan ratangnae lah ao.
19 Bora kuishi jangwani kuliko kuishi pamoja na mwanamke ambaye huchochea sana ugomvi na malalamiko.
A lungkaduem ni teh ka hrawang e yu hoi o hlak teh, ramkenae koe awm pawiteh bet ahawihnawn.
20 Hazina yenye thamani na mafuta vipo nyumbani kwa mwenye busara, bali mtu mpumbavu huviharibu.
Tamilungkaang onae koe hno ngai kaawm hoi satui ao teh, tamipathu ni teh a kaseikasak.
21 Mtu atendaye haki na mwema -huyu mtu hupata uzima, haki na heshima.
Lannae hoi lungmanae katawngnaw ni hringnae hoi lannae hoi barinae ouk a hmu awh.
22 Mtu mwenye busara huupima mji wa mashujaa, na huiangusha ngome wanayoitumaini.
Tamilungkaang ni kacakpounge khopui dawk a kâen teh, khocanaw ni a kângue e rapanim hah a tip sak.
23 Anayelinda kinywa chake na ulimi wake hujilinda mwenyewe na taabu.
A laihoi a pahni ka ring e teh runae thung hoi a hringnae ouk a hlout.
24 Mtu mwenye kiburi na maringo- “Dhihaka” ndilo jina lake - hutenda kwa majivuno na kujidai.
Tami moikai hoi kâoup e teh a min patenghai dudamkung telah a phung awh teh, kâoup lungkhuek laihoi ouk a kâroe.
25 Shauku ya mtu mvivu itamuua, maana mikono yake hukataa kufanya kazi.
Tami ka pangak e teh thaw a tawk ngaihoeh dawkvah, a doun e ni ama a thei.
26 Kwa siku nzima hupatwa na uchu na uchu zaidi, lakini atendaye haki hutoa na wala hazuii.
Hnintangkuem nôe laihoi ao, hatei tamikalan niteh pasai laipalah a poe.
27 Sadaka ya mwovu ni chukizo; huwa ni chukizo zaidi anapoileta kwa nia mbaya.
Tamikathout e thuengnae teh panuet a tho, hnokathout ngainae lungthin hoi thuengnae teh panuet hoe a tho.
28 Shahidi wa uongo ataangamia, bali anayesikiliza ataongea kwa muda wote.
Kapanuekkhaikung kaphawk teh takhoe lah ao han, hatei kapanuekkhaikung katang ni a panue e patetlah a dei e teh dâw lah ao han.
29 Mtu mwovu huufanya uso wake kuwa mgumu, bali mtu mwadilifu ni thabiti juu ya njia zake.
Tamikathout ni a minhmai tamundun lah a ta, hatei tamikalan ni a lamthung a cak sak.
30 Hakuna hekima, hakuna ufahamu, na hakuna shauri linaloweza kusimama kinyume na Yehova.
BAWIPA taranlahoi lungangnae, thaipanueknae, hoi kâpankhainae awm hoeh.
31 Farasi hutayarishwa kwa siku ya mapigano, lakini ushindi hupatikana kwa Yehova.
Marangtan teh tarantuk hnin hanelah rakueng lah ao, tânae teh BAWIPA e doeh.