< Mithali 21 >
1 Moyo wa mfalme ni mfereji wa maji katika mkono wa Yehova; anaugeuza popote anakopenda.
Hina Gode da hano ea logo hamosa. Amo defele E da hina bagade dunu ilia asigi dawa: su ouligisu dawa:
2 Kila njia ya mtu ni sawa katika macho yake mwenyewe, lakini ni Yehova anayeipima mioyo.
Dia dawa: loba da dia hamobe da molole hamosayale dawa: sa. Be mae gogolema! Hina Gode da dia adi baiga hamobeyale, Ea ba: sa.
3 Kutenda haki na adili hukubaliwa zaidi na Yehova kuliko sadaka.
Hina Gode da gobele salasu iasu hou fonobahadi hahawane ba: sa. Be di da moloiwane hamosea, amola eno dunuma molole hamosea, Hina Gode da amo hou baligili bagade hahawane ba: sa.
4 Macho ya kiburi na moyo wa majivuno- taa ya waovu- ni dhambi.
Wadela: i gasa fi hou da wadela: i dunu ilima hina agoai gala. Amo da wadela: i houdafa.
5 Mipango ya mwenye juhudi huelekea kwenye mafanikio tu, bali kila mtu anayetenda kwa haraka huelekea umasikini.
Noga: le ilegelalu hamosea, di da bagade gagui ba: mu. Be dia momabo hamosea, di da defele gagui hame ba: mu.
6 Kujipatia utajiri kwa ulimi wa uongo ni mvuke unaopita upesi na mtego ambao unafisha.
Di ogogole lai liligi bagade gagui galea, dia gagui da hedolo fisi dagoi ba: mu. Ogogole lai liligi da dima medosu sani agoai gala.
7 Vurugu ya waovu itawaburuta mbali, maana wanakataa kutenda haki.
Wadela: i hamosu dunu da mosolasu hamobeba: le, hobeamu logo hame ba: mu. Ilia da moloi hou hamomu higasa.
8 Njia ya mwenye hatia ni ukatiri, bali mwenye usafi hutenda yaliyo ya haki.
Molole hame labe dunu da guga: loi logo amoga ahoa. Be molole dawa: su dunu ilia da molole ahoana.
9 Bora kuishi kwenye kona ya juu darini kuliko katika nyumba pamoja na mke mgonvi.
Dunu e da gesa: gesa: i udala gilisili fimu da gasa bagade. Dunu hisu diasu dabua mogoa gado fifi lamu amo ea hou da baligisa.
10 Hamu ya mwovu ni uchu wa mabaya; jirani yake haoni ukarimu katika macho yake.
Wadela: le hamosu dunu da eso huluane wadela: i hou hamomusa: bagade hanai gala. E da dunu huluane ilima hamedafa asigisa.
11 Mwenye dhihaka anapoadhibiwa mjinga hupata busara, na mtu mwenye busara anapofundishwa, anaongeza maarifa.
Gasa fi dunu da se iasu lasea, dunu huluane amola hame dawa: su dunu da dawa: lasa. Nowa da dawa: su galea, e da amo hou ba: sea, dawa: lamu.
12 Atendaye haki huilinda nyumba ya mwovu; huwashusha waovu kwenye uharibifu.
Moloidafa Gode, E da wadela: i hamosu dunu ilia diasu ganodini hamobe, amo huluane ba: lala. Ea da wadela: i hamosu dunu huluane dafama: ne gugunufinisimu.
13 Anayeziba masikio yake kwenye kilio cha masikini, pia atalia, lakini hatajibiwa.
Hame gagui dunu da se nabawane dinanawane fidima: ne dima wesea, di da nabimu higasea, eso enoga eno dunu da dia disa webe amo hame nabimu.
14 Zawadi ya siri hutuliza hasira na zawadi ya kificho hutuliza ghadhabu kuu.
Dunu eno da dima mihanai galea, defea, udigili iasu liligi amo wamowane ema ima. Amasea, e da ea hou bu olofomu.
15 Haki ikitendeka, huleta furaha kwa mwenye kutenda wema, lakini huleta hofu kubwa kwa watenda mabaya.
Dunu da moloidafa fofada: su hou hamosea, noga: i dunu da hahawane ba: sa. Be wadela: i dunu da amo moloidafa fofada: su ba: sea, bagadewane heawini da: i dioiba: le, bu esalumu hihi agoai ba: sa.
16 Yule anayezurura kutoka kwenye njia ya ufahamu, atapumzika kwenye kusanyiko la wafu.
Nowa dunu da asigi dawa: su moloidafa amo yolesili ahoasea, bogosu da ema doaga: mu galebe.
17 Anayependa raha atakuwa masikini; anayependa divai na mafuta hawezi kuwa tajiri.
Di da bagade gagui ba: mu hanai galea, osobo bagade liligi noga: i amola ha: i nasu ida: iwane amola waini ida: iwane amo lama: ne, dia muni mae galagama.
18 Mtu mbaya ni fidia kwa yule atendaye haki, na mdanganyifu ni fidia kwa waaminifu.
Wadela: le hamosu dunu da moloidafa dunu ilima se imunusa: dawa: lala. Be ilila: da amo se nabimu.
19 Bora kuishi jangwani kuliko kuishi pamoja na mwanamke ambaye huchochea sana ugomvi na malalamiko.
Dunu amola gesa: gesa: i uda ela gilisili esalumu da da: i dioi bagade liligi. Dunu hisu da hafoga: i gibu hame dasu sogega esalumu da defea.
20 Hazina yenye thamani na mafuta vipo nyumbani kwa mwenye busara, bali mtu mpumbavu huviharibu.
Noga: le momodale dawa: su dunu ilia da liligi bagade gaguiwane esala. Be momodale hame dawa: su dunu ilia da muni amola liligi lale, hedolo galagasa.
21 Mtu atendaye haki na mwema -huyu mtu hupata uzima, haki na heshima.
Di da asigidafa hou amola moloidafa hou amo ganodini ahoasea, di da ode bagohame esalumu. Amola eno dunu da dima nodone amola moloidafa hou dima hamomu.
22 Mtu mwenye busara huupima mji wa mashujaa, na huiangusha ngome wanayoitumaini.
Bagade dawa: su dadi gagui bisilua dunu da moilai bai bagade amo gasa bagade dunuga gaga: i, wadela: lesimusa: dawa: Gasa bagade dunu da ilia moilai gagoi da ili noga: le gagili sali dawa: i galu. Be e da amo wadela: lesisa.
23 Anayelinda kinywa chake na ulimi wake hujilinda mwenyewe na taabu.
Di da mosolasu hame ba: musa: hanai galea, di noga: le dawa: lu sia: ma.
24 Mtu mwenye kiburi na maringo- “Dhihaka” ndilo jina lake - hutenda kwa majivuno na kujidai.
Gasa fi dunu da nimi bagade amola hi hou da baligi bagade hi dawa: , amola e da eno dunuma hame asigisa.
25 Shauku ya mtu mvivu itamuua, maana mikono yake hukataa kufanya kazi.
Hihi dabuli dunu da hawa: hamosu hihiba: le, hina: bogomusa: logo fodosa.
26 Kwa siku nzima hupatwa na uchu na uchu zaidi, lakini atendaye haki hutoa na wala hazuii.
Hihi dabuli dunu da hi hanai liligi lamusa: fawane dawa: lala. Be moloi dunu da eno dunuma liligi bagadewane iaha.
27 Sadaka ya mwovu ni chukizo; huwa ni chukizo zaidi anapoileta kwa nia mbaya.
Wadela: i dunu da gobele salasu Godema iasea, Hina Gode da amo higasa. Be ilia da wadela: i hou hamomusa: , Ema iasea, E da baligili bagade higasa.
28 Shahidi wa uongo ataangamia, bali anayesikiliza ataongea kwa muda wote.
Dunu ilia da ogogosu dunu ea sia: dafawaneyale hame dawa: sa. Be nowa moloi dunu da noga: le dadawa: lalu sia: sea, amo ea sia: ilia da dafawaneyale dawa: sa.
29 Mtu mwovu huufanya uso wake kuwa mgumu, bali mtu mwadilifu ni thabiti juu ya njia zake.
Moloidafa dunu da ilia hamobe ilisu dawa: digisa. Be wadela: i hamosu dunu da hina: hou hi dawa: , amo ogogole sia: sa.
30 Hakuna hekima, hakuna ufahamu, na hakuna shauri linaloweza kusimama kinyume na Yehova.
Osobo bagade dunu bagohame da osobo bagade asigi dawa: su noga: iwane gala. Be Hina Gode da ilima ha lai galea, amo hou da ili hame fidisa.
31 Farasi hutayarishwa kwa siku ya mapigano, lakini ushindi hupatikana kwa Yehova.
Di da gegemusa: gini, hosi amola gegesu liligi momagemu da defea. Be Hina Gode Hi fawane da hasalasu hou iaha.