< Mithali 20 >

1 Divai ni dhihaka na kinywaji kikali ni mgomvi; anayepotea kwa kunywa hana busara.
Wino [jest] szydercą, mocny trunek – wrzaskliwy, a każdy, kto zostaje zwiedziony przez nie, jest niemądry.
2 Kumwogopa mfalme ni kama kumwogopa simba kijana aungurumaye, yeyote anayemkasirisha hutoa fidia ya maish yake.
Strach, [który budzi] król, jest jak ryk lwa; kto go rozgniewa, grzeszy przeciwko swojej duszy.
3 Ni heshima kwa mtu yeyote kujiepusha na mafarakano, bali kila mpumbavu hurukia kwenye mabishano.
Zaprzestać sporu jest zaszczytem dla człowieka, ale [każdy] głupiec się w niego wdaje.
4 Mtu mvivu halimi majira ya kipupwe; hutafuta mazao wakati wa mavuno lakini hapati kitu.
Leniwy nie orze z powodu zimna; dlatego będzie żebrać we żniwa, ale nic nie [otrzyma].
5 Makusudi ndani ya moyo wa mtu ni kama maji yenye kina, bali mtu mwenye ufahamu huyateka.
Rada w sercu człowieka jest jak głęboka woda, lecz człowiek roztropny zaczerpnie jej.
6 Mara nyingi mtu husema yeye ni mwaminifu, lakini ni nani awezaye kumpata yule mwaminifu?
Większość ludzi przechwala się swoją dobrocią, ale wiernego człowieka któż znajdzie?
7 Mtu atendaye haki hutembea katika uaminifu wake na wana wake wanaofuata baada yake wanafuraha.
Sprawiedliwy postępuje uczciwie, błogosławione [są] po nim jego dzieci.
8 Mfalme anayeketi kwenye kiti cha hukumu akifanya kazi za kuhukumu hupembua kwa macho yake mabaya yote yaliyoko mbele yake.
Król siedzący na swoim sędziowskim tronie rozprasza swoimi oczami wszelkie zło.
9 Nani anayeweza kusema, “Nimeuweka safi moyo wangu; nipo huru na dhambi zangu”?
Któż może powiedzieć: Oczyściłem swoje serce, jestem czysty od swego grzechu?
10 Mizani tofauti na vipimo visivyosawa - Yehova huvichukia vyote.
Dwojakie odważniki i dwojaka miara – obydwa budzą odrazę w PANU.
11 Hata kijana hujulikana kwa matendo yake, kwa mwenendo wake kama ni safi na uadilifu.
Nawet dziecko poznaje się po uczynkach, czy jego czyn jest czysty i prawy.
12 Masikio yanayosikia na macho yanayoona- Yehova aliyafanya yote.
Ucho, które słyszy, i oko, które widzi, oba uczynił PAN.
13 Usipende usingizi au utakuwa masikini; fumbua macho yako na utakuwa na vyakula tele.
Nie kochaj spania, byś nie zubożał; otwórz oczy, a nasycisz się chlebem.
14 “Mbaya! Mbaya!” anasema mnunuzi, lakini akiondoka anajisifu.
[To] liche, [to] liche, mówi kupujący, ale chwali się, gdy odchodzi.
15 Ipo dhahabu na mawe ya thamani, lakini midomo yenye maarifa ni kito cha thamani.
Istnieje złoto i obfitość pereł, ale wargi rozumne są kosztownym klejnotem.
16 Chukua vazi kama mmiliki wake ataweka fedha kama dhamana kwa deni la mgeni, na lichukue kama anaweka dhamana kwa uzinifu.
Zabierz szatę tego, [który ręczył] za obcego, a od tego, [który ręczył] za cudzą kobietę, zabierz zastaw.
17 Mkate uliopatikana kwa ulaghai unaladha tamu, lakini baadaye kinywa chake kitajaa kokoto.
Chleb oszustwa smakuje człowiekowi, ale potem jego usta będą napełnione piaskiem.
18 Mipango huimarishwa kwa ushauri na kwa mwongozo wa busara utapigana vita.
Zamysły są utwierdzone dzięki radzie, a wojnę prowadź z rozwagą.
19 Mmbea hufunua siri na kwa hiyo hupaswi kushirikiana na watu ambao huongea sana.
Plotkarz zdradza tajemnice; dlatego nie zadawaj się z tym, który pochlebia wargami.
20 Kama mtu atamlaani baba yake au mama yake, taa yake itapulizwa katikati ya giza.
Kto złorzeczy swemu ojcu albo matce, tego pochodnia zgaśnie w gęstych ciemnościach.
21 Urithi uliopatikana mwanzoni kwa haraka utakuwa na mema kidogo mwishoni.
Dziedzictwo prędko nabyte na początku nie będzie błogosławione na końcu.
22 Usiseme “Mimi nitakulipiza kwa kosa hili” Msubiri Yehova na yeye atakuokoa.
Nie mów: Odpłacę złem. Czekaj na PANA, a wybawi cię.
23 Yehova huchukia mizani isiyo sawa na vipimo vya udanganyifu si vizuri.
Dwojakie odważniki budzą odrazę w PANU, a fałszywa waga nie jest dobra.
24 Hatua za mtu huongozwa na Yehova; namna gani basi ataifahamu njia yake?
Od PANA pochodzą drogi człowieka; jakże może człowiek zrozumieć własną drogę?
25 Ni mtego kwa mtu kusema kwa pupa, “Kitu hiki ni kitakatifu” na kuanza kufikiri juu yake kwamba kina maana gani baada ya kufanya kiapo.
Sidłem dla człowieka jest pożreć to, co święte, i zastanowić się dopiero po złożeniu ślubów.
26 Mfalme mwenye busara huwapepeta waovu na huligeuza juu yao gurudumu la kupuria.
Mądry król rozprasza niegodziwych i wywiera na nich zemstę.
27 Roho ya mtu ni taa ya Yehova, hutafiti sehemu zake zote za ndani kabisa.
Duch człowieka [jest] pochodnią PANA, [która] bada wszystkie skrytości wnętrza.
28 Agano la uaminifu na udhamini humhifadhi mfalme; kiti chake cha enzi hufanywa thabiti kwa upendo.
Miłosierdzie i prawda strzegą króla, a jego tron oparty jest na miłosierdziu.
29 Utukufu wa watu vijana ni nguvu zao na fahari ya watu wazee ni mvi zao.
Chlubą młodzieńców jest ich siła, a ozdobą starców – sędziwość.
30 Mapigo yanayoleta kidonda huusafisha ubaya na vichapo hufanya sehemu za ndani kabisa kuwa safi.
Siność ran oczyszcza zło, a razy – głębię wnętrza.

< Mithali 20 >