< Mithali 20 >

1 Divai ni dhihaka na kinywaji kikali ni mgomvi; anayepotea kwa kunywa hana busara.
Wino czyni pośmiewcę, a napój mocny zwajcę; przetoż każdy, co się w nim kocha, nie bywa mądrym.
2 Kumwogopa mfalme ni kama kumwogopa simba kijana aungurumaye, yeyote anayemkasirisha hutoa fidia ya maish yake.
Strach królewski jest jako, ryk lwięcia; kto go rozgniewa, grzeszy przeciwko duszy swojej.
3 Ni heshima kwa mtu yeyote kujiepusha na mafarakano, bali kila mpumbavu hurukia kwenye mabishano.
Uczciwa rzecz każdemu, poprzestać zwady; ale głupim jest, co się w nią wdaje.
4 Mtu mvivu halimi majira ya kipupwe; hutafuta mazao wakati wa mavuno lakini hapati kitu.
Dla zimna leniwy nie orze; przetoż żebrać będzie we żniwa, ale nic nie otrzyma.
5 Makusudi ndani ya moyo wa mtu ni kama maji yenye kina, bali mtu mwenye ufahamu huyateka.
Rada w sercu męża jest jako woda głęboka: jednak mąż rozumny naczerpnie jej.
6 Mara nyingi mtu husema yeye ni mwaminifu, lakini ni nani awezaye kumpata yule mwaminifu?
Większa część ludzi przechwala się uczynnością swoją; ale w samej rzeczy, któż takiego znajdzie?
7 Mtu atendaye haki hutembea katika uaminifu wake na wana wake wanaofuata baada yake wanafuraha.
Sprawiedliwy chodzi w uprzejmości swojej; błogosławieni synowie jego po nim.
8 Mfalme anayeketi kwenye kiti cha hukumu akifanya kazi za kuhukumu hupembua kwa macho yake mabaya yote yaliyoko mbele yake.
Król siedząc na stolicy sądowej rozgania oczyma swemi wszystko złe.
9 Nani anayeweza kusema, “Nimeuweka safi moyo wangu; nipo huru na dhambi zangu”?
Któż rzecze: Oczyściłem serce moje? czystym jest od grzechu mego?
10 Mizani tofauti na vipimo visivyosawa - Yehova huvichukia vyote.
Dwojaki gwicht i dwojaka miara, to oboje obrzydliwością jest Panu.
11 Hata kijana hujulikana kwa matendo yake, kwa mwenendo wake kama ni safi na uadilifu.
Po zabawach swych poznane bywa i dziecię, jeźli czysty i prawy uczynek jego.
12 Masikio yanayosikia na macho yanayoona- Yehova aliyafanya yote.
Ucho, które słyszy, i oko, które widzi, Pan to oboje uczynił.
13 Usipende usingizi au utakuwa masikini; fumbua macho yako na utakuwa na vyakula tele.
Nie kochaj się w spaniu, byś snać nie zubożał, otwórz oczy swoje, a nasycisz się chlebem.
14 “Mbaya! Mbaya!” anasema mnunuzi, lakini akiondoka anajisifu.
Złe to, złe to, mówi ten, co kupuje, a odszedłszy, ali się chlubi.
15 Ipo dhahabu na mawe ya thamani, lakini midomo yenye maarifa ni kito cha thamani.
Wargi umiejętne są jako złoto i obfitość pereł, i kosztowne klejnoty.
16 Chukua vazi kama mmiliki wake ataweka fedha kama dhamana kwa deni la mgeni, na lichukue kama anaweka dhamana kwa uzinifu.
Weźmij szatę tego, któryć ręczył za obcego; a od tego, który ręczył za cudzoziemkę, weźmij zastaw jego.
17 Mkate uliopatikana kwa ulaghai unaladha tamu, lakini baadaye kinywa chake kitajaa kokoto.
Smaczny jest drugiemu chleb kłamstwa; ale potem piaskiem napełnione będą usta jego.
18 Mipango huimarishwa kwa ushauri na kwa mwongozo wa busara utapigana vita.
Myśli radami utwierdzaj, a wojnę prowadź opatrznie.
19 Mmbea hufunua siri na kwa hiyo hupaswi kushirikiana na watu ambao huongea sana.
Kto objawia tajemnicę, zdradliwie się obchodzi; przetoż z tymy, którzy pochlebiają wargami swemi, nie miej towarzystwa.
20 Kama mtu atamlaani baba yake au mama yake, taa yake itapulizwa katikati ya giza.
Kto złorzeczy ojcu swemu albo matce swojej, zgaśnie pochodnia jego w gęstych ciemnościach.
21 Urithi uliopatikana mwanzoni kwa haraka utakuwa na mema kidogo mwishoni.
Dziedzictwu prędko z początku nabytemu naostatek błogosławić nie będą.
22 Usiseme “Mimi nitakulipiza kwa kosa hili” Msubiri Yehova na yeye atakuokoa.
Nie mów: Oddam złem. Oczekuj na Pana, a wybawi cię.
23 Yehova huchukia mizani isiyo sawa na vipimo vya udanganyifu si vizuri.
Obrzydliwością Panu dwojaki gwicht, a szale fałszywe nie podobają mu się.
24 Hatua za mtu huongozwa na Yehova; namna gani basi ataifahamu njia yake?
Od Pana bywają sprawowane drogi męża; ale człowiek jakoż zrozumie drogę jego?
25 Ni mtego kwa mtu kusema kwa pupa, “Kitu hiki ni kitakatifu” na kuanza kufikiri juu yake kwamba kina maana gani baada ya kufanya kiapo.
Pożreć rzecz poświęconą, jest człowiekowi sidłem; a poślubiwszy co, tego zaś szukać, jakoby tego ujść.
26 Mfalme mwenye busara huwapepeta waovu na huligeuza juu yao gurudumu la kupuria.
Król mądry rozprasza niezbożnych, i przywodzi na nich pomstę.
27 Roho ya mtu ni taa ya Yehova, hutafiti sehemu zake zote za ndani kabisa.
Dusza ludzka jest pochodnią Pańską, która doświadcza wszystkich skrytości wnętrznych.
28 Agano la uaminifu na udhamini humhifadhi mfalme; kiti chake cha enzi hufanywa thabiti kwa upendo.
Miłosierdzie i prawda króla strzegą, a stolica jego miłosierdziem wsparta bywa.
29 Utukufu wa watu vijana ni nguvu zao na fahari ya watu wazee ni mvi zao.
Ozdoba młodzieńców jest siła ich, a sędziwość poczciwością starców.
30 Mapigo yanayoleta kidonda huusafisha ubaya na vichapo hufanya sehemu za ndani kabisa kuwa safi.
Złemu są lekarstwem siności ran, i razy przenikające do wnętrzności żywota jego.

< Mithali 20 >