< Mithali 2 >
1 Mwanangu, kama ukiyapokea maneno yangu na kuzitunza amri zangu,
FIGLIUOL mio, se tu ricevi i miei detti, E riponi appo te i miei comandamenti,
2 usikilize hekima na utaelekeza moyo wako katika ufahamu.
Rendendo il tuo orecchio attento alla Sapienza; [Se] tu inchini il tuo cuore all'intendimento,
3 kama utalilia ufahamu na kupaza sauti yako kwa ajili ya ufahamu,
E se tu chiami la prudenza, [E] dài fuori la tua voce all'intendimento;
4 kama utautafuta kama fedha na kupekua ufahamu kama unatafuta hazina iliyojificha,
Se tu la cerchi come l'argento, E l'investighi come i tesori;
5 ndipo utakapofahamu hofu ya Yehova na utapata maarifa ya Mungu.
Allora tu intenderai il timor del Signore, E troverai la conoscenza di Dio.
6 Kwa kuwa Yohova hutoa hekima, katika kinywa chake hutoka maarifa na ufahamu.
Perciocchè il Signore dà la sapienza; Dalla sua bocca [procede] la scienza e l'intendimento.
7 Yeye huhifadhi sauti ya hekima kwa wale wampendezao, yeye ni ngao kwa wale waendao katika uadilifu,
Egli riserba la ragione a' diritti; [Egli è] lo scudo di quelli che camminano in integrità;
8 huongoza katika njia za haki na atalinda njia ya waaminifu kwake.
Per guardare i sentieri di dirittura, E custodire la via de' suoi santi.
9 Ndipo utakapoelewa wema, haki, usawa na kila njia njema.
Allora tu intenderai giustizia, giudicio, E dirittura, [ed] ogni buon sentiero.
10 Maana hekima itaingia moyoni mwako na maarifa yataipendeza nafsi yako.
Quando la sapienza sarà entrata nel cuor tuo, E la scienza sarà dilettevole all'anima tua;
11 Busara itakulinda, ufahamu utakuongoza.
L'avvedimento ti preserverà, La prudenza ti guarderà;
12 Vitakuokoa kutoka katika njia ya uovu, kutoka kwa wale waongeao mambo potovu.
Per liberarti dalla via malvagia, Dagli uomini che parlano di cose perverse;
13 Ambao huziacha njia za wema na kutembea katika njia za giza.
I quali lasciano i sentieri della dirittura, Per camminar per le vie delle tenebre;
14 Hufurahia wanapotenda maovu na hupendezwa katika upotovu.
I quali si rallegrano di far male, [E] festeggiano nelle perversità di malizia;
15 Hufuata njia za udanganyifu na kwa kutumia ghilba huficha mapito yao.
I quali [son] torti nelle lor vie, E traviati ne' lor sentieri.
16 Busara na hekima zitakuokoa kutoka kwa mwanamke malaya, kutoka kwa mwanamke anayetafuta visa na mwenye maneno ya kubembeleza.
Per iscamparti [ancora] dalla donna straniera; Dalla forestiera [che] parla vezzosamente;
17 Yeye humwacha mwenzi wa ujana wake na kusahau agano la Mungu wake.
La quale ha abbandonato il conduttor della sua giovanezza, Ed ha dimenticato il patto del suo Dio.
18 Maana nyumba yake huinama na kufa na mapito yake yatakupeleka kwa wale walioko kaburini.
Conciossiachè la casa di essa dichini alla morte, Ed i suoi sentieri a' morti.
19 Wote waiendeao njia yake hawatarudi tena na wala hawataziona njia za uzima.
Niuno di coloro ch'entrano da essa non ne ritorna, E non riprende i sentieri della vita.
20 kwa hiyo utatembea katika njia ya watu wema na kufuata njia za wale watendao mema.
Acciocchè [ancora] tu cammini per la via de' buoni, Ed osservi i sentieri de' giusti.
21 Kwa wale watendao mema watafanya makazi yao katika nchi, na wale wenye uadilifu watadumu katika nchi.
Perciocchè gli [uomini] diritti abiteranno la terra, E gli [uomini] intieri rimarranno in essa.
22 Lakini waovu wataondolewa katika nchi na wale wasioamini wataondolewa katika nchi.
Ma gli empi saranno sterminati dalla terra, E i disleali ne saranno divelti.