< Mithali 2 >

1 Mwanangu, kama ukiyapokea maneno yangu na kuzitunza amri zangu,
Fis mwen an, si ou resevwa pawòl mwen yo, e gade kòmandman mwen yo nan kè ou,
2 usikilize hekima na utaelekeza moyo wako katika ufahamu.
e fè zòrèy ou atantif a sajès; e enkline zòrèy ou vè bon konprann,
3 kama utalilia ufahamu na kupaza sauti yako kwa ajili ya ufahamu,
wi, si ou leve vwa w pou sajès; e leve vwa ou vè bon konprann;
4 kama utautafuta kama fedha na kupekua ufahamu kama unatafuta hazina iliyojificha,
si ou chache li kon ajan, e fè rechèch dèyè li kon trezò ki kache;
5 ndipo utakapofahamu hofu ya Yehova na utapata maarifa ya Mungu.
nan lè sa a, ou va dekouvri lakrent SENYÈ a, e dekouvri konesans Bondye a.
6 Kwa kuwa Yohova hutoa hekima, katika kinywa chake hutoka maarifa na ufahamu.
Paske, SENYÈ a bay sajès. Nan bouch Li, soti konesans ak bon konprann.
7 Yeye huhifadhi sauti ya hekima kwa wale wampendezao, yeye ni ngao kwa wale waendao katika uadilifu,
Li mete sajès nan depo pou moun dwat la. Li se boukliye pou sila ki mache ak entegrite yo,
8 huongoza katika njia za haki na atalinda njia ya waaminifu kwake.
Ka p veye chemen lajistis yo, e pwoteje chemen a fidèl Li yo.
9 Ndipo utakapoelewa wema, haki, usawa na kila njia njema.
Konsa, ou va dekouvri ladwati ak jistis, e menm egalite avèk tout bon chemen yo.
10 Maana hekima itaingia moyoni mwako na maarifa yataipendeza nafsi yako.
Paske, sajès va antre nan kè ou, e konesans va fè ou alèz jis rive nan nanm ou.
11 Busara itakulinda, ufahamu utakuongoza.
Bon konprann va pwoteje ou, konesans va veye sou ou,
12 Vitakuokoa kutoka katika njia ya uovu, kutoka kwa wale waongeao mambo potovu.
pou pwoteje ou kont chemen mal la, kont lòm ki pale bagay pèvès yo.
13 Ambao huziacha njia za wema na kutembea katika njia za giza.
Kont sila ki kite chemen ladwati yo pou mache nan chemen fènwa yo;
14 Hufurahia wanapotenda maovu na hupendezwa katika upotovu.
ki pran plezi nan fè sa ki mal e rejwi nan mechanste mal la.
15 Hufuata njia za udanganyifu na kwa kutumia ghilba huficha mapito yao.
Chemen a sila ki vin kwochi yo e ki vin gaye kò yo nan tout sa yo fè.
16 Busara na hekima zitakuokoa kutoka kwa mwanamke malaya, kutoka kwa mwanamke anayetafuta visa na mwenye maneno ya kubembeleza.
Pou delivre ou soti nan men fanm etranje a, soti nan men fanm adiltè ki flate ak pawòl li;
17 Yeye humwacha mwenzi wa ujana wake na kusahau agano la Mungu wake.
ki kite konpanyen jenès li a, e ki bliye akò a Bondye li;
18 Maana nyumba yake huinama na kufa na mapito yake yatakupeleka kwa wale walioko kaburini.
paske lakay li mennen a lanmò e tras a pla pye li yo rive kote mò yo.
19 Wote waiendeao njia yake hawatarudi tena na wala hawataziona njia za uzima.
Pèsòn ki ale kote li menm, pa retounen ankò, ni yo pa jwenn pa lavi.
20 kwa hiyo utatembea katika njia ya watu wema na kufuata njia za wale watendao mema.
Akoz sa a, ou va mache nan chemen a sila ki bon yo, e swiv tras a moun ladwati yo.
21 Kwa wale watendao mema watafanya makazi yao katika nchi, na wale wenye uadilifu watadumu katika nchi.
Paske moun dwat yo va viv nan peyi a, e sila ki san tò yo va rete ladann;
22 Lakini waovu wataondolewa katika nchi na wale wasioamini wataondolewa katika nchi.
men mechan yo va koupe retire nèt de peyi a, e moun trèt yo va dechouke de li.

< Mithali 2 >