< Mithali 18 >
1 Yule ambaye hujitenga hutafuta matakwa yake mwenyewe na hupingana na hukumu zote za kweli.
Busca coisas desejáveis aquele que se separa e se entremete em toda a sabedoria.
2 Mpumbavu hapati raha katika ufahamu, lakini hufunua kile kilichopo katika moyo wake.
Não toma prazer o tolo na inteligência, senão em que se descubra o seu coração.
3 Mtu mwovu anapokuja, dharau huja pamoja naye- sambamba na aibu na shutuma.
Vindo o ímpio, vem também o desprezo, e com a vergonha a ignomínia.
4 Maneno ya kinywa cha mtu ni maji yenye kina kirefu; chemchemi ya hekima ni mkondo unaotiririka.
águas profundas são as palavras da boca do homem, e ribeiro trasbordante é a fonte da sabedoria.
5 Si vema kuwa na upendeleo kwa mwovu, wala haifai kukana haki kwa wale watendao mema.
Não é bom ter respeito à pessoa do ímpio para derribar o justo em juízo.
6 Midomo ya mpumbavu huletea mafarakano na kinywa chake hukaribisha mapigo.
Os beiços do tolo entram na contenda, e a sua boca por acoites brada.
7 Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake na hujinasa mwenye kwa midomo yake.
A boca do tolo é a sua própria destruição, e os seus lábios um laço para a sua alma.
8 Maneno ya mmbea ni kama chembe tamu na hushuka katika sehema za ndani sana kwenye mwili.
As palavras do assoprador são como doces bocados; e elas descem ao intimo do ventre.
9 Basi, ambaye ni mzembe katika kazi yake ni ndugu yake anayeharibu wengi.
Também o negligente na sua obra é irmão do desperdiçador.
10 Jina la Yehova ni mnara imara; atendaye haki hukimbilia na kuwa salama.
Torre forte é o nome do Senhor; a ele correrá o justo, e estará em alto retiro.
11 Mali ya tajiri ni mji wake imara na katika fikira zake ni kama ukuta mrefu.
A fazenda do rico é a cidade da sua fortaleza, e como um muro alto na sua imaginação.
12 Moyo wa mtu huwa na kiburi kabla ya anguko lake, bali unyenyekevu hutangulia kabla ya heshima.
Antes de ser quebrantado eleva-se o coração do homem; e diante da honra vai a humildade.
13 Anayejibu kabla ya kusikiliza- ni upuuzi na aibu yake.
O que responde antes de ouvir, estultícia lhe é, e vergonha.
14 Roho ya mtu itajinusuru na madhara, bali roho iliyopondeka nani anaweza kuivumilia?
O espírito do homem sosterá a sua enfermidade, mas ao espírito abatido quem levantará?
15 Moyo wa mwenye akili hujipatia maarifa na usikivu wa mwenye busara huitafuta.
O coração do entendido adquire o conhecimento, e o ouvido dos sábios busca o conhecimento.
16 Zawadi ya mtu inaweza kufungua njia na kumleta mbele ya mtu muhimu.
O presente do homem lhe alarga o caminho e o leva diante dos grandes.
17 Wa kwanza kujitetea katika shitaka lake huonekana kuwa na haki hadi mpinzani wake aje na kumuuliza maswali.
O que primeiro começa o seu pleito justo é; porém vem o seu companheiro, e o examina.
18 Kupiga kura kunamaliza mabishano na kuwatawanya wapinzani imara.
A sorte faz cessar os pleitos, e faz separação entre os poderosos.
19 Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kushawishiwa kuliko mji wenye nguvu, na kugombana ni kama makomeo ya ngome.
O irmão ofendido é mais difícil de conquistar do que uma cidade forte; e as contendas são como os ferrolhos dum palácio.
20 Tumbo la mtu litashiba kutoka kwenye tunda la kinywa chake; atatoshelezwa kwa mavuno ya midomo yake.
Do fruto da boca de cada um se fartará o seu ventre: dos renovos dos seus lábios se fartará.
21 Uzima na kifo hutawaliwa kwa ulimi, na wale wenye kuupenda ulimi watakula tunda lake.
A morte e a vida estão no poder da língua; e aquele que a ama comerá do seu fruto.
22 Yeye apataye mke anapata kitu chema na kupokea fadhila kutoka kwa Yehova.
O que acha mulher acha o bem e alcança a benevolência do Senhor.
23 Mtu masikini huomba rehema, lakini mtu tajiri hujibu kwa ukali.
O pobre fala com rogos, mas o rico responde com durezas.
24 Anayejidai kwa marafiki wengi watamleta katika uharibifu, bali yupo rafiki ambaye huwa karibu kuliko ndugu.
O homem que tem amigos haja-se amigavelmente, e há amigo mais chegado do que um irmão.