< Mithali 18 >

1 Yule ambaye hujitenga hutafuta matakwa yake mwenyewe na hupingana na hukumu zote za kweli.
آدم خودخواه خود را از دیگران کنار می‌کشد و با عقاید درستشان مخالفت می‌ورزد.
2 Mpumbavu hapati raha katika ufahamu, lakini hufunua kile kilichopo katika moyo wake.
نادان برای حکمت ارزش قائل نیست و فقط دوست دارد خود را دانا نشان دهد.
3 Mtu mwovu anapokuja, dharau huja pamoja naye- sambamba na aibu na shutuma.
گناه ننگ و رسوایی به بار می‌آورد.
4 Maneno ya kinywa cha mtu ni maji yenye kina kirefu; chemchemi ya hekima ni mkondo unaotiririka.
سخنان شخص دانا مانند اقیانوس عمیق است و مثل چشمه گوارا.
5 Si vema kuwa na upendeleo kwa mwovu, wala haifai kukana haki kwa wale watendao mema.
طرفداری از مجرمی که باعث می‌شود حق بی‌گناه پایمال شود کار نادرستی است.
6 Midomo ya mpumbavu huletea mafarakano na kinywa chake hukaribisha mapigo.
سخنان شخص نادان، منجر به نزاع و کتک خوردنش می‌شود.
7 Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake na hujinasa mwenye kwa midomo yake.
زبان شخص نادان چون دامی است که او را به هلاکت می‌کشاند.
8 Maneno ya mmbea ni kama chembe tamu na hushuka katika sehema za ndani sana kwenye mwili.
سخنان آدم سخن‌چین مانند لقمه‌های لذیذی است که با لذت بلعیده می‌شود.
9 Basi, ambaye ni mzembe katika kazi yake ni ndugu yake anayeharibu wengi.
کسی که در کار سستی می‌کند به اندازهٔ یک خرابکار مخرب است.
10 Jina la Yehova ni mnara imara; atendaye haki hukimbilia na kuwa salama.
اسم خداوند قلعه‌ای است محکم که شخص درستکار به آن پناه می‌برد و در امان می‌ماند.
11 Mali ya tajiri ni mji wake imara na katika fikira zake ni kama ukuta mrefu.
اما قلعۀ شخص ثروتمند، ثروت اوست که گمان می‌کند او را محافظت خواهد کرد.
12 Moyo wa mtu huwa na kiburi kabla ya anguko lake, bali unyenyekevu hutangulia kabla ya heshima.
تکبر به سقوط می‌انجامد و فروتنی به سربلندی.
13 Anayejibu kabla ya kusikiliza- ni upuuzi na aibu yake.
چقدر زشت و ابلهانه است که انسان قبل از گوش دادن به سخنی، به آن جواب دهد.
14 Roho ya mtu itajinusuru na madhara, bali roho iliyopondeka nani anaweza kuivumilia?
وقتی انسان روحیه‌اش قوی است بیماری را تحمل می‌کند، اما روحیهٔ شکسته را چه کسی می‌تواند تحمل کند؟
15 Moyo wa mwenye akili hujipatia maarifa na usikivu wa mwenye busara huitafuta.
اشخاص دانا همیشه مشتاق و آماده کسب حکمتند.
16 Zawadi ya mtu inaweza kufungua njia na kumleta mbele ya mtu muhimu.
هدیه دادن راه را برای انسان باز می‌کند و او را به حضور اشخاص مهم می‌رساند.
17 Wa kwanza kujitetea katika shitaka lake huonekana kuwa na haki hadi mpinzani wake aje na kumuuliza maswali.
دلایل کسی که در دادگاه اول صحبت می‌کند به نظر درست می‌آید ولی این تا زمانی است که طرف مقابل هنوز دلایلش را ارائه نداده باشد.
18 Kupiga kura kunamaliza mabishano na kuwatawanya wapinzani imara.
قرعه، دعوا را می‌خواباند و به منازعهٔ بین حریفان زورمند خاتمه می‌دهد.
19 Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kushawishiwa kuliko mji wenye nguvu, na kugombana ni kama makomeo ya ngome.
به دست آوردن دل برادر رنجیده، سختتر از تصرف یک شهر حصاردار است. منازعه بین دو برادر، دیوار جدایی ایجاد می‌کند.
20 Tumbo la mtu litashiba kutoka kwenye tunda la kinywa chake; atatoshelezwa kwa mavuno ya midomo yake.
انسان نتیجهٔ سخنانی را که از دهانش بیرون می‌آید خواهد دید.
21 Uzima na kifo hutawaliwa kwa ulimi, na wale wenye kuupenda ulimi watakula tunda lake.
مرگ و زندگی در قدرت زبان است؛ کسانی که دوست می‌دارند حرف بزنند، عواقب سخنانشان را خواهند دید.
22 Yeye apataye mke anapata kitu chema na kupokea fadhila kutoka kwa Yehova.
وقتی مردی همسری پیدا می‌کند نعمتی می‌یابد. آن زن برای او برکتی است از جانب خداوند.
23 Mtu masikini huomba rehema, lakini mtu tajiri hujibu kwa ukali.
درخواست فقرا با التماس توأم است و پاسخ ثروتمندان با خشونت.
24 Anayejidai kwa marafiki wengi watamleta katika uharibifu, bali yupo rafiki ambaye huwa karibu kuliko ndugu.
هستند دوستانی که انسان را به نابودی می‌کشند، اما دوستی هم هست که از برادر نزدیکتر است.

< Mithali 18 >