< Mithali 18 >

1 Yule ambaye hujitenga hutafuta matakwa yake mwenyewe na hupingana na hukumu zote za kweli.
무리에게서 스스로 나뉘는 자는 자기 소욕을 따르는 자라 온갖 참 지혜를 배척하느니라
2 Mpumbavu hapati raha katika ufahamu, lakini hufunua kile kilichopo katika moyo wake.
미련한 자는 명철을 기뻐하지 아니하고 자기의 의사를 드러내기만 기뻐하느니라
3 Mtu mwovu anapokuja, dharau huja pamoja naye- sambamba na aibu na shutuma.
악한 자가 이를 때에는 멸시도 따라오고 부끄러운 것이 이를 때에는 능욕도 함께 오느니라
4 Maneno ya kinywa cha mtu ni maji yenye kina kirefu; chemchemi ya hekima ni mkondo unaotiririka.
명철한 사람의 입의 말은 깊은 물과 같고 지혜의 샘은 솟쳐 흐르는 내와 같으니라
5 Si vema kuwa na upendeleo kwa mwovu, wala haifai kukana haki kwa wale watendao mema.
악인을 두호하는 것과 재판할 때에 의인을 억울하게 하는 것이 선하지 아니하니라
6 Midomo ya mpumbavu huletea mafarakano na kinywa chake hukaribisha mapigo.
미련한 자의 입술은 다툼을 일으키고 그 입은 매를 자청하느니라
7 Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake na hujinasa mwenye kwa midomo yake.
미련한 자의 입은 그의 멸망이 되고 그 입술은 그의 영혼의 그물이 되느니라
8 Maneno ya mmbea ni kama chembe tamu na hushuka katika sehema za ndani sana kwenye mwili.
남의 말하기를 좋아하는 자의 말은 별식과 같아서 뱃 속 깊은 데로 내려가느니라
9 Basi, ambaye ni mzembe katika kazi yake ni ndugu yake anayeharibu wengi.
자기의 일을 게을리 하는 자는 패가 하는 자의 형제니라
10 Jina la Yehova ni mnara imara; atendaye haki hukimbilia na kuwa salama.
여호와의 이름은 견고한 망대라 의인은 그리로 달려가서 안전함을 얻느니라
11 Mali ya tajiri ni mji wake imara na katika fikira zake ni kama ukuta mrefu.
부자의 재물은 그의 견고한 성이라 그가 높은 성벽 같이 여기느니라
12 Moyo wa mtu huwa na kiburi kabla ya anguko lake, bali unyenyekevu hutangulia kabla ya heshima.
사람의 마음의 교만은 멸망의 선봉이요 겸손은 존귀의 앞잡이니라
13 Anayejibu kabla ya kusikiliza- ni upuuzi na aibu yake.
사연을 듣기 전에 대답하는 자는 미련하여 욕을 당하느니라
14 Roho ya mtu itajinusuru na madhara, bali roho iliyopondeka nani anaweza kuivumilia?
사람의 심령은 그 병을 능히 이기려니와 심령이 상하면 그것을 누가 일으키겠느냐
15 Moyo wa mwenye akili hujipatia maarifa na usikivu wa mwenye busara huitafuta.
명철한 자의 마음은 지식을 얻고 지혜로운 자의 귀는 지식을 구하느니라
16 Zawadi ya mtu inaweza kufungua njia na kumleta mbele ya mtu muhimu.
선물은 그 사람의 길을 너그럽게 하며 또 존귀한 자의 앞으로 그를 인도하느니라
17 Wa kwanza kujitetea katika shitaka lake huonekana kuwa na haki hadi mpinzani wake aje na kumuuliza maswali.
송사에 원고의 말이 바른 것 같으나 그 피고가 와서 밝히느니라
18 Kupiga kura kunamaliza mabishano na kuwatawanya wapinzani imara.
제비 뽑는 것은 다툼을 그치게 하여 강한 자 사이에 해결케 하느니라
19 Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kushawishiwa kuliko mji wenye nguvu, na kugombana ni kama makomeo ya ngome.
노엽게 한 형제와 화목하기가 견고한 성을 취하기 보다 어려운즉 이러한 다툼은 산성 문빗장 같으니라
20 Tumbo la mtu litashiba kutoka kwenye tunda la kinywa chake; atatoshelezwa kwa mavuno ya midomo yake.
사람은 입에서 나오는 열매로 하여 배가 부르게 되나니 곧 그 입술에서 나는 것으로하여 만족케 되느니라
21 Uzima na kifo hutawaliwa kwa ulimi, na wale wenye kuupenda ulimi watakula tunda lake.
죽고 사는 것이 혀의 권세에 달렸나니 혀를 쓰기 좋아하는 자는 그 열매를 먹으리라
22 Yeye apataye mke anapata kitu chema na kupokea fadhila kutoka kwa Yehova.
아내를 얻는 자는 복을 얻고 여호와께 은총을 받는 자니라
23 Mtu masikini huomba rehema, lakini mtu tajiri hujibu kwa ukali.
가난한 자는 간절한 말로 구하여도 부자는 엄한 말로 대답하느니라
24 Anayejidai kwa marafiki wengi watamleta katika uharibifu, bali yupo rafiki ambaye huwa karibu kuliko ndugu.
많은 친구를 얻는 자는 해를 당하게 되거니와 어떤 친구는 형제보다 친밀하니라

< Mithali 18 >