< Mithali 18 >
1 Yule ambaye hujitenga hutafuta matakwa yake mwenyewe na hupingana na hukumu zote za kweli.
L’Homme qui s’isole ne fait que suivre ses caprices: il s’insurge contre tout ce qui est raisonnable.
2 Mpumbavu hapati raha katika ufahamu, lakini hufunua kile kilichopo katika moyo wake.
Le fou ne veut pas de la raison: il ne demande qu’à mettre à nu son cœur.
3 Mtu mwovu anapokuja, dharau huja pamoja naye- sambamba na aibu na shutuma.
Le méchant entraîne le mépris à sa suite; la honte accompagne le manque de dignité.
4 Maneno ya kinywa cha mtu ni maji yenye kina kirefu; chemchemi ya hekima ni mkondo unaotiririka.
Ce sont des eaux profondes que les paroles d’une bouche humaine, un torrent jaillissant, une source de sagesse.
5 Si vema kuwa na upendeleo kwa mwovu, wala haifai kukana haki kwa wale watendao mema.
Prendre parti pour le méchant, évincer le juste de ses droits, est bien mal agir.
6 Midomo ya mpumbavu huletea mafarakano na kinywa chake hukaribisha mapigo.
Les lèvres du sot entraînent des disputes, et sa bouche appelle les coups.
7 Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake na hujinasa mwenye kwa midomo yake.
La bouche du sot cause sa ruine, et ses lèvres sont un piège pour sa personne.
8 Maneno ya mmbea ni kama chembe tamu na hushuka katika sehema za ndani sana kwenye mwili.
Les paroles d’un boutefeu sont comme des coups qui retentissent au plus profond des entrailles.
9 Basi, ambaye ni mzembe katika kazi yake ni ndugu yake anayeharibu wengi.
Apporter de la négligence dans son travail suffit pour être l’émule d’un artisan de ruines.
10 Jina la Yehova ni mnara imara; atendaye haki hukimbilia na kuwa salama.
Le nom du Seigneur est une tour fortifiée: le juste s’y réfugie et est hors d’atteinte.
11 Mali ya tajiri ni mji wake imara na katika fikira zake ni kama ukuta mrefu.
La fortune est une place forte pour le riche, un rempart tutélaire, à ce qu’il s’imagine.
12 Moyo wa mtu huwa na kiburi kabla ya anguko lake, bali unyenyekevu hutangulia kabla ya heshima.
Lorsque s’enfle le cœur de l’homme, sa ruine est proche; l’honneur suit de près l’humilité.
13 Anayejibu kabla ya kusikiliza- ni upuuzi na aibu yake.
Répondre avant d’avoir entendu, c’est une folie et une cause de confusion.
14 Roho ya mtu itajinusuru na madhara, bali roho iliyopondeka nani anaweza kuivumilia?
Un esprit viril sait supporter la maladie; mais un esprit abattu, qui le soutiendra?
15 Moyo wa mwenye akili hujipatia maarifa na usikivu wa mwenye busara huitafuta.
Le cœur bien inspiré acquiert la science; l’oreille des sages est avide de savoir.
16 Zawadi ya mtu inaweza kufungua njia na kumleta mbele ya mtu muhimu.
Les cadeaux ouvrent un facile accès à l’homme et le font arriver jusqu’aux grands.
17 Wa kwanza kujitetea katika shitaka lake huonekana kuwa na haki hadi mpinzani wake aje na kumuuliza maswali.
Qui parle le premier dans un procès a raison; vienne la partie adverse, on approfondit la cause.
18 Kupiga kura kunamaliza mabishano na kuwatawanya wapinzani imara.
Le sort met fin aux disputes et tranche le débat entre les puissants.
19 Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kushawishiwa kuliko mji wenye nguvu, na kugombana ni kama makomeo ya ngome.
Un frère infidèle est pire qu’une ville forte, les disputes, que les verrous d’un château-fort.
20 Tumbo la mtu litashiba kutoka kwenye tunda la kinywa chake; atatoshelezwa kwa mavuno ya midomo yake.
De l’usage de la parole dépend la nourriture de l’homme; il s’alimente du produit de ses lèvres.
21 Uzima na kifo hutawaliwa kwa ulimi, na wale wenye kuupenda ulimi watakula tunda lake.
La mort et la vie sont au pouvoir de la langue; ceux qui aiment l’exercer en goûtent les fruits.
22 Yeye apataye mke anapata kitu chema na kupokea fadhila kutoka kwa Yehova.
Qui a trouvé une femme distinguée a trouvé le bonheur et a obtenu une faveur de l’Eternel.
23 Mtu masikini huomba rehema, lakini mtu tajiri hujibu kwa ukali.
Le pauvre parle en suppliant, le riche répond avec dureté.
24 Anayejidai kwa marafiki wengi watamleta katika uharibifu, bali yupo rafiki ambaye huwa karibu kuliko ndugu.
Avoir beaucoup d’amis nuit; mais tel ami est plus attaché qu’un frère.