< Mithali 16 >

1 Mipango ya moyo ni ya mtu, bali Yehova hutoa jawabu kutoka kwenye ulimi wake.
İnsan aklıyla çok şey tasarlayabilir, Ama dilin vereceği yanıt RAB'dendir.
2 Njia zote za mtu ni safi kwenye macho yake mwenyewe, bali Yehova huipima mioyo.
İnsan her yaptığını temiz sanır, Ama niyetlerini tartan RAB'dir.
3 Kabidhi kwa Yehova kazi zako zote na mipango yako itafanikiwa.
Yapacağın işleri RAB'be emanet et, O zaman tasarıların gerçekleşir.
4 Yehova alifanya kila kitu kwa kusudi lake, hata waovu kwa ajili ya siku ya taabu.
RAB her şeyi amacına uygun yapar, Kötü kişinin yıkım gününü de O hazırlar.
5 Yehova anamchukia kila mtu mwenye moyo wa majivuno, ingawa wanasimama imara, hawakosi kupata adhabu.
RAB yüreği küstah olandan iğrenir, Bilin ki, öyleleri cezasız kalmaz.
6 Kwa agano la uaminifu na udhamini uovu husafishwa na kwa kumcha Yehova watu hujitenga na ubaya.
Sevgi ve bağlılık suçları bağışlatır, RAB korkusu insanı kötülükten uzaklaştırır.
7 Njia za mtu zinapompendeza Yehova, huwafanya hata adui zake huyo mtu wawe na amani naye.
RAB kişinin yaşayışından hoşnutsa Düşmanlarını bile onunla barıştırır.
8 Bora kitu kidogo pamoja na haki, kuliko mapato makubwa pamoja na udhalimu.
Doğrulukla kazanılan az şey Haksızlıkla kazanılan büyük gelirden iyidir.
9 Katika moyo wake mtu hunuia njia yake, bali Yehova huziongoza hatua zake.
Kişi yüreğinde gideceği yolu tasarlar, Ama adımlarını RAB yönlendirir.
10 Mshauri yupo katika midimo ya mfalme, katika hukumu kinywa chake hakisemi kwa udanganyifu.
Tanrı buyruklarını kralın ağzıyla açıklar, Bu nedenle kral adaleti çiğnememelidir.
11 Vipimo vya kweli hutoka kwa Yehova; uzito wote kwenye gunia ni kazi yake.
Doğru terazi ve baskül RAB'bindir, Bütün tartı ağırlıklarını O belirler.
12 Wafalme wanapofanya mambo maovu, hicho ni kitu cha kudharauliwa, kwa maana utawala huimarishwa kwa kutenda haki.
Krallar kötülükten iğrenir, Çünkü tahtın güvencesi adalettir.
13 Mfalme hufurahia midomo ambayo husema haki na anampenda mwenye kusema waziwazi.
Kral doğru söyleyenden hoşnut kalır, Dürüst konuşanı sever.
14 Hasira ya mfalme ni mjumbe wa mauti lakini mtu mwenye busara atajaribu kutuliza hasira yake.
Kralın öfkesi ölüm habercisidir, Ama bilge kişi onu yatıştırır.
15 Katika nuru ya uso wa mfalme ni uzima na fadhila yake ni kama wingu linaloleta mvua ya masika.
Kralın yüzü gülüyorsa, yaşam demektir. Lütfu son yağmuru getiren bulut gibidir.
16 Ni bora kiasi gani kupata hekima kuliko dhahabu. Kuchagua kupata ufahamu ni zaidi kuliko fedha.
Bilgelik kazanmak altından daha değerlidir, Akla sahip olmak da gümüşe yeğlenir.
17 Njia kuu ya watu waadilifu hujitenga na ubaya; mwenye kuyahifadhi maisha yake huilinda njia yake.
Dürüstlerin tuttuğu yol kötülükten uzaklaştırır, Yoluna dikkat eden, canını korur.
18 Kiburi hutangulia kabla ya uharibifu na moyo wa kujivuna kabla ya maangamizi.
Gururun ardından yıkım, Kibirli ruhun ardından da düşüş gelir.
19 Ni bora kunyenyekea miongoni mwa watu masikini kuliko kugawana ngawira pamoja watu wenye kiburi.
Mazlumlar arasında alçakgönüllü biri olmak, Kibirlilerle çapul malı paylaşmaktan iyidir.
20 Mwenye kutafakari yaliyofundishwa hupata kilicho chema na wenye kumtumaini Yehova watafurahi.
Öğüde kulak veren başarıya ulaşır, RAB'be güvenen mutlu olur.
21 Mwenye hekima moyoni anaitwa ufuhamu na utamu wa hotuba huongeza uwezo wa kufundisha.
Bilge yüreklilere akıllı denir, Tatlı söz ikna gücünü artırır.
22 Ufahamu ni chemchemi ya uzima kwake ambaye nayo, bali adhabu ya wapumbavu ni upumbavu wao.
Sağduyu, sahibine yaşam kaynağı, Ahmaklıksa ahmaklara cezadır.
23 Moyo wa mtu mwenye hekima hutoa busara katika kinywa chake na huongeza ushawishi katika midomo yake.
Bilgenin aklı diline yön verir, Dudaklarının ikna gücünü artırır.
24 Maneno yenye kufaa ni sega la asali -matamu kwenye nafsi na huponya mifupa.
Hoş sözler petek balı gibidir, Cana tatlı ve bedene şifadır.
25 Kuna njia ambayo huonekana sawa kwa mtu, bali mwisho wake ni njia ya mauti.
Öyle yol var ki, insana düz gibi görünür, Ama sonu ölümdür.
26 Hamu ya kibarua humfanyia kazi; njaa yake humsihi kuendelea.
Emekçinin iştahıdır onu çalıştıran, Çünkü açlığı onu kamçılar.
27 Mtu duni huchimba madhara na usemi wake ni kama moto unaounguza.
Alçaklar başkalarına kötülük tasarlar, Konuşmaları kavurucu ateş gibidir.
28 Mtu mkaidi huchochea mafarakano na umbeya huwafarakanisha marafiki.
Huysuz kişi çekişmeyi körükler, Dedikoducu can dostları ayırır.
29 Mtu wa vurugu humdanganya jirani yake na kumwongoza kwenye mapito ambayo si mema.
Zorba kişi başkalarını ayartır Ve onları olumsuz yola yöneltir.
30 Yule anayekonyeza kwa jicho anapanga njama za mambo ya ukaidi; wenye kuandama midomo yao watapitisha mabaya.
Göz kırpmak düzenbazlığa, Sinsi gülücükler kötülüğe işarettir.
31 Mvi ni taji ya utukufu; hupatikana kwa kuishi katika njia ya haki.
Ağarmış saçlar onur tacıdır, Doğru yaşayışla kazanılır.
32 Ni bora kukawia kuwa na hasira kuliko kuwa shujaa na mwenye kutawala roho yake ni imara zaidi kuliko yule anayeuteka mji.
Sabırlı kişi yiğitten üstündür, Kendini denetleyen de kentler fethedenden üstündür.
33 Kura hurushwa kwenye mkunjo, bali maamuzi hutoka kwa Yehova.
İnsan kura atar, Ama her kararı RAB verir.

< Mithali 16 >